Ujio wa magari ya gesi na umeme yameifanya Saudi Arabia wafocus mapato ya Hija . Waislamu wanaitajirisha nchi inayomiliki dini yao

Yan mleta mada Kaleta uzi af kakaa zake kimya😁 akiangalia mkanganyiko kila m2 akiisifia dini yake na kuiponda ya mwengne kuona wao wamekamilika kuliko wengne all in all mjadala kuhus din ni mpana sana kam unamuaminu yesu baki kwenye imani yako haina haja kucritisize wale tunaomuamin Allah na mtume wake na sie hatuna haja ya kucritisize dini za wengne maana weng wamesoma dini zao tu na sio za upande wa pili,, sasa unikute nacritisize ukristo kwa yale machache nnayoyackia ama kuyaona si ni kutokua na akili uko heshimun dini nyngne kila m2 abaki na imani yake
 
Mpaka Mungu anatushangaa
 
Haya ni maoni ya mwandishi au ni matokeo ya utafiti?

Haya aliyeleta hapa afanye challenge tena ya uchunguzi wake ,Ikiwa unadhani wanataka kuhamishia uchumi wao utegemee Hijja
Je unayajua matumizi ya siku moja za ile Misikiti miwili Makka & Madina kwa siku moja?

Je hivi unajua kwa hali ya Uchumi wa Kenya ,Uganda na Tanzania kwa pamona tukipewa nafasi ya kuiendesha ile Misikiti miwili hivi unaweza amini kuwa tusingeweza.
 
Waabudu sanamu ndio maana huitwa kondoo hawana wanalolijua
 
Mtoa mada unaweza Kuta ana familia pia ana wakwe zake wanamuona mtu wa maana dah
 
Yaani wasiweze kwanini? Acha utumwa
 
Nchi inayomiliki dini yao?
Nani kakwambia Uislamu unamilikiwa na nchi fulani?

Umeandika ujinga kama sio upumbavu hadi nimesikitika sana
Saudia wanaendaga kufanya nini? Uislam umeanzia wapi? Sio Saudia? Hapa duniani, kuna miji 2 tu ambayo kama sio member wa dini hiyo huruhusiwi kuitembelea, tena baadhi ya mitaa kwenye miji hiyo. Mecca na Madina na ipo Saudia, hadi hapo bado unabisha kwamba Saudia sio wamiliki wa dini hiyo?
 
Kuna watu wamewazidi akili wenzao. Hbr ya kwamba Mtume alikuwa kwao ni hadithi tu iliyotungwa na wajanja. Dini ina nguvu kubwa kuliko elimu dunia, Profesa wa chuo kikuu km Musa Assad mchallenge chochote kuhusu uislam na anaamini Kiarabu ni lugha ya mwenyenzi Mungu, huyo ni Profesa unategemea nini kwa wale wa MbagaLa
 
Hapa umemaliza ila Kwa kuwa makiristo hayaelewi ni km umempigia mbuzi gitaa tu,
Mi nipo naangalia wenye vipaji wanavyobishana nao.
 
Kama haumilikiwi na Saudia nenda kahiji Serengeti.

Vatican ni makao makuu ya Catholic only.Sasa hapo ukristo unamilikiwa vipi ?.
Hawa ndugu zetu wakitaka kushambulia Ukristo huwa wanadili na Wakatoliki tu.

Nafikiri ni matokeo ya kukosa elimu ya kutambua Imani, Dini na Dhehebu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…