Ujio wa magari ya gesi na umeme yameifanya Saudi Arabia wafocus mapato ya Hija . Waislamu wanaitajirisha nchi inayomiliki dini yao

Mpaka Mungu anatushangaa
Tuna kila kitu ambacho hao Saudia ni jangwa tupu lakini wamepambana tangu yamepatikana wakiwa bado masikini wa kutupwa ila akili wakiwa nazo.

Wakasaini mikataba wakiwa na akili

Sisi leo hata mito hatujui thamani yake
Thailand Bangkok kuna floating market nimeiona ambapo wakulima wanauza na kusafirisha matunda na mbogamboga kwenye Mto

Watalii wamejaa hapo
Sisi Mungu anatuona
 
Dini ilikuja na utamaduni we jiulize ingekuwa dini ya uislamu inatokea congo.wale watu wafupi wasingekuwa haramu kwa mfungo huu kuliwa
Ingetokea china mishkaki ya nyoka na konokono ingekuwa halal
 
Wajinga ndio wali wao πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Hijja ni tambiko la waarabu lililo asisiwa na ibrahim so muhhamad alizaliwa na kukuta huo utamaduni wa hilo tambiko ukiwa unafanyika alicho kifanya yeye nikupambana na kuchukua umiliki wa hilo eneo kisha aka wabrain wash watu zaidi na kuitangaza hiyo mila kimataifa ..

Kinacho nisikitisha ni kuona mpaka leo kuna watu wasio tambua kwamba ibada ya hijja ni tambiko la waarabu ambalo limegeuzwa kuwa ni utalii wa ndani kwa nchi ya saudi arabia na lengo lao kuu haswaa ni kukuza kipato cha nchi yao ule ni utalii
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜†πŸ˜€
 
Ibrahimu anasingiziwa ,na ni propaganda ya waislamu ili kupata uhalali wa kupiga pesa

Uislamu ulibidi ulijinasibishe na ibrahimu na Uyahudi ili UPATE popularity bila hivo Uislamu ungebaki Uarabuni sawa na Ubudha ,Shinto ulivyobaki Asia

Shiva ,Shinto ,budha wangejinasibisha na dini ya kiyahudi na manabii wa kiyahudi ,Leo wangekuwa Hadi namtumbo
 
Ww ni kubwa jinga,kwanza unatakiwa ujue nan anastahiki kwenda hijja
Hijja ni tambiko la waarabu , Muhammad alilipora hilo tambiko kutoka kwa wapagani ,akalivisha vazi la dini kuwa ibrahimu anahusika ,Kisha akaanza kupiga pesa

Muhammad alikuwa mfanya biashara
 
Saudi Arabia na hija Nini kimeanza?
 
Hijja ni tambiko la waarabu , Muhammad alilipora hilo tambiko kutoka kwa wapagani ,akalivisha vazi la dini kuwa ibrahimu anahusika ,Kisha akaanza kupiga pesa

Muhammad alikuwa mfanya biashara
Alisikika kubwa jinga mmoja kutoka kwa mpalange.
 
Saudi Arabia na hija Nini kimeanza?
Hijja ni ya wapagani wa kikureshi ,

Ndio maana kabla ya Muhammad kumsingizia ibrahimu alifanya upagani hapo,hakuna historia wala dalili wala ushahidi wowote kuwa ibrahimu amewahi kufika hapo au kutambika hapo
 
Hijja ni zawadi ya Ibada kwa Waislamu wote duniani na pia ni zawadi ambayo ALLAH amewapa Watu wa Saudia Arabia iwafae kiuchumi.

Ibrahim aliiombea hiyo nchi iwe na neema tele.
Kabla ya mwaka 1932 hapakuwa na nchi inaitwa Saud Arabia....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…