Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Tuna kila kitu ambacho hao Saudia ni jangwa tupu lakini wamepambana tangu yamepatikana wakiwa bado masikini wa kutupwa ila akili wakiwa nazo.Mpaka Mungu anatushangaa
N kweli cjui ndo mana nmeuliza, haya nijibu sasaHuna unacho kijua,ndio maana mnaitwa kondoo
Wanakuja kutushangaa ni aina gani ya binadamu hawa?Watalii wamejaa hapo
Inahuzunisha sana, halafu kuna watu wanatuongoza etiWanakuja kutushangaa ni aina gani ya binadamu hawa?
Ingetokea china mishkaki ya nyoka na konokono ingekuwa halalDini ilikuja na utamaduni we jiulize ingekuwa dini ya uislamu inatokea congo.wale watu wafupi wasingekuwa haramu kwa mfungo huu kuliwa
Liliwe jiwe jeusi jamaa wanaliabuduWaabudu sanamu ndio maana huitwa kondoo hawana wanalolijua
Kwahiyo wew ulivyo mweusi utapewa bikra 72 na pepo kuliko hao wa jangwani?Wale wamepewa Jangwa tupu ila wamepewa Hijja
Wewe Ikwiriri upo ardhi saafi yenye rutuba, umeifanyia nini?
Wajinga ndio wali wao πππDini ni biashara za watu wachache
Muhammad hapo akicheza kama Pele
Wakristo walipona pale Yesu aliposema ,Saa yaja hamtaabudu katika mlima huu ,maana wamuabuduo Mungu imewapasa kumuabudu katika roho na kweli
Bila hivo matapeli wangesema ni lazima kwenda Yerusalemu ili UPATE baraka
Matapeli sio watu wazuri
Imagine ππHata wanaposwali lazima waangalie uarabuni. Hao na wenye dini kwa nini lazima unifunze kiarabu ndo Uwe muislamu.
πWale wamepewa Jangwa tupu ila wamepewa Hijja
Wewe Ikwiriri upo ardhi saafi yenye rutuba, umeifanyia nini?
Kuna watu wamewazidi akili wenzao. Hbr ya kwamba Mtume alikuwa kwao ni hadithi tu iliyotungwa na wajanja. Dini ina nguvu kubwa kuliko elimu dunia, Profesa wa chuo kikuu km Musa Assad mchallenge chochote kuhusu uislam na anaamini Kiarabu ni lugha ya mwenyenzi Mungu, huyo ni Profesa unategemea nini kwa wale wa MbagaLa
π, umepainua Bashnet kinamna, sayitaa! π€£Bashneti
Ww ni kubwa jinga,kwanza unatakiwa ujue nan anastahiki kwenda hijjaZawadi inayokamua uchumi na kuendelea kuitajitisha [emoji1210]
Ibrahimu anasingiziwa ,na ni propaganda ya waislamu ili kupata uhalali wa kupiga pesaWajinga ndio wali wao πππ
Hijja ni tambiko la waarabu lililo asisiwa na ibrahim so muhhamad alizaliwa na kukuta huo utamaduni wa hilo tambiko ukiwa unafanyika alicho kifanya yeye nikupambana na kuchukua umiliki wa hilo eneo kisha aka wabrain wash watu zaidi na kuitangaza hiyo mila kimataifa ..
Kinacho nisikitisha ni kuona mpaka leo kuna watu wasio tambua kwamba ibada ya hijja ni tambiko la waarabu ambalo limegeuzwa kuwa ni utalii wa ndani kwa nchi ya saudi arabia na lengo lao kuu haswaa ni kukuza kipato cha nchi yao ule ni utalii
Hijja ni tambiko la waarabu , Muhammad alilipora hilo tambiko kutoka kwa wapagani ,akalivisha vazi la dini kuwa ibrahimu anahusika ,Kisha akaanza kupiga pesaWw ni kubwa jinga,kwanza unatakiwa ujue nan anastahiki kwenda hijja
Saudi Arabia na hija Nini kimeanza?Wajinga ndio wali wao πππ
Hijja ni tambiko la waarabu lililo asisiwa na ibrahim so muhhamad alizaliwa na kukuta huo utamaduni wa hilo tambiko ukiwa unafanyika alicho kifanya yeye nikupambana na kuchukua umiliki wa hilo eneo kisha aka wabrain wash watu zaidi na kuitangaza hiyo mila kimataifa ..
Kinacho nisikitisha ni kuona mpaka leo kuna watu wasio tambua kwamba ibada ya hijja ni tambiko la waarabu ambalo limegeuzwa kuwa ni utalii wa ndani kwa nchi ya saudi arabia na lengo lao kuu haswaa ni kukuza kipato cha nchi yao ule ni utalii
Alisikika kubwa jinga mmoja kutoka kwa mpalange.Hijja ni tambiko la waarabu , Muhammad alilipora hilo tambiko kutoka kwa wapagani ,akalivisha vazi la dini kuwa ibrahimu anahusika ,Kisha akaanza kupiga pesa
Muhammad alikuwa mfanya biashara
Huo ndio ukweli inabidi uupokee ,Alisikika kubwa jinga mmoja kutoka kwa mpalange.
Hijja ni ya wapagani wa kikureshi ,Saudi Arabia na hija Nini kimeanza?
Kabla ya mwaka 1932 hapakuwa na nchi inaitwa Saud Arabia....Hijja ni zawadi ya Ibada kwa Waislamu wote duniani na pia ni zawadi ambayo ALLAH amewapa Watu wa Saudia Arabia iwafae kiuchumi.
Ibrahim aliiombea hiyo nchi iwe na neema tele.