Mimi nitashauri vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kuwa bold kwenye hili.Subiri uone ulinzi siku hiyo utakuwa chini ya kina nani? Yaani IGP wetu atapangwa kulinda magari nje ya uzio wa ikulu. Na nina washauri wamerekani wasithubutu kukubali kulindwa na majizi ya kura.
Kwa akili yako umedhani sijui kama hawajui kumbe unajidanganya. Wanaweza kujua lakini experience watakayo ipata kuzurula humo mjengoni na kupiga picha kisirisiri au kwa uwazi ndiko nako kumaanisha sawa ewe mwenye akili?Y
Kwa akili yako unahisi hawaijui? π€£ π€£ Kazi mnayo.
Sio kwa Marekani boss, au unaofananisha ujio wa Makamu wa rais wa Marekani na ujio wa Museveni nini? Hivyo vyombo vyenu vitakuwa bold kwa majizi menzenu ya kura.Mimi nitashauri vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kuwa bold kwenye hili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio kwa Marekani boss, au unaofananisha ujio wa Makamu wa rais wa Marekani na ujio wa Museveni nini? Hivyo vyombo vyenu vitakuwa bold kwa majizi menzenu ya kura.
Mkuu umeandika kama vile umeona kitu.Tunafurahi kwa diplomasia nzuri ya kufungua nchi kwa dunia. Jitihada kubwa inayofanywa na mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kurejesha mahusiano na mataifa mbalimbali hususani ya Magharibi sio ya kubezwa ...ni jitihada kubwa na leadership style ya kipekee ambayo inaleta manufaa.
Tumewahi kupata ugeni mbalimbali kutoka mataifa makubwa lakini napenda kurajea ugeni wa Rais wa Marekani Barack Obama ambapo "inasemekana" kuwa masuala ya kiulinzi yaliingilia mifumo yetu ya kiulinzi pengine kwa kutoaminiwa sana kwa wataalamu wetu wa maswala ya ulinzi na usalama.
Iwapo suala hilo ni kweli basi hatuna namna bali kutoa angalizo...kwamba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ni imara na ni lazima viaminiwe kwa asilimia 100.Tusidanganywe kuwa hatuwezi bali discussion ifanyike kujua weak points ni zipi na hivyo zifanyiwe kazi.
Tunayo Ikulu mpya ya CHAMWINO Kamwe tusiruhusu mtoka mbali ndio ajidai kuwa ana uelewa wa kuilinda kuliko vyombo vyetu adhimu vya ulinzi na usalama.
Kamwe tusiruhusu details za Ikulu yetu mpya kuangukia mikononi mwa wageni, hili ni hatari sana na ni sawa na kuingilia uhuru na heshima ya nchi.
Otherwise karibu sana mgeni wetu na tuna value ujio wako.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Subiri uone ulinzi siku hiyo utakuwa chini ya kina nani? Yaani IGP wetu atapangwa kulinda magari nje ya uzio wa ikulu. Na nina washauri wamerekani wasithubutu kukubali kulindwa na majizi ya kura.
Bora aje puttin kuliko hawa mashogaTunafurahi kwa diplomasia nzuri ya kufungua nchi kwa dunia. Jitihada kubwa inayofanywa na mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kurejesha mahusiano na mataifa mbalimbali hususani ya Magharibi sio ya kubezwa ...ni jitihada kubwa na leadership style ya kipekee ambayo inaleta manufaa.
Tumewahi kupata ugeni mbalimbali kutoka mataifa makubwa lakini napenda kurajea ugeni wa Rais wa Marekani Barack Obama ambapo "inasemekana" kuwa masuala ya kiulinzi yaliingilia mifumo yetu ya kiulinzi pengine kwa kutoaminiwa sana kwa wataalamu wetu wa maswala ya ulinzi na usalama.
Iwapo suala hilo ni kweli basi hatuna namna bali kutoa angalizo...kwamba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ni imara na ni lazima viaminiwe kwa asilimia 100.Tusidanganywe kuwa hatuwezi bali discussion ifanyike kujua weak points ni zipi na hivyo zifanyiwe kazi.
Tunayo Ikulu mpya ya CHAMWINO Kamwe tusiruhusu mtoka mbali ndio ajidai kuwa ana uelewa wa kuilinda kuliko vyombo vyetu adhimu vya ulinzi na usalama.
Kamwe tusiruhusu details za Ikulu yetu mpya kuangukia mikononi mwa wageni, hili ni hatari sana na ni sawa na kuingilia uhuru na heshima ya nchi.
Otherwise karibu sana mgeni wetu na tuna value ujio wako.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Kwa akili yako umedhani sijui kama hawajui kumbe unajidanganya. Wanaweza kujua lakini experience watakayo ipata kuzurula humo mjengoni na kupiga picha kisirisiri au kwa uwazi ndiko nako kumaanisha sawa ewe mwenye akili?
Jiamini,waamini na jenga imani kwa vijana wetu.Zaidi toa ushauri kwao.ondoka katika fikra chafu za ukoloni.Sio kwa Marekani boss, au unaofananisha ujio wa Makamu wa rais wa Marekani na ujio wa Museveni nini? Hivyo vyombo vyenu vitakuwa bold kwa majizi menzenu ya kura.
ni kizazi cha vijana kama ilivyo kizazi cha vijana wetu...usijiweke kwenye upande wa upweke kamwe....waache vijana wetu waoneshe utofauti.Jamaa hawa wa vyombo vya ulinzi na usalama USA hata bila camera, moja ya sifa za wanaoajiriwa ktk vitengo vyao ni uwezo wa kukariri na kuhifadhi kwa usahihi ramani na kila kitu kwa kutumia bongo zao.
Hongera sana kwa kuishi vizuri na bibi na babu. Maana wamekufundisha kutunga hadithi zenye fiksi tele halafu unajikausha hivi! Hongera maana Rais mstaafu wakati anakabidhi ulikuwepo naye Ikulu.πππ. # Jengeni utaratibu kuamini nchi yenu inaweza kusimamia ulinzi na usalama wake to the maximum. πππMwaka 2013 Jakaya Kikwete alikabidhi passwords zote za ikulu kwa JESHI LA BARRACK OBAMA.
Barabara zikapigwa deki na kupuliziwa pafyumu.
FFU wa kitanganyika wakafichwa kotazi.
Wanatafuta nini kwenu huko,Kwa akili yako umedhani sijui kama hawajui kumbe unajidanganya. Wanaweza kujua lakini experience watakayo ipata kuzurula humo mjengoni na kupiga picha kisirisiri au kwa uwazi ndiko nako kumaanisha sawa ewe mwenye akili?
Aliyefurahi diplomasia kuzima na kufungwa leo anafurahi diplomasia kukua.π πTunafurahi kwa diplomasia nzuri ya kufungua nchi kwa dunia. Jitihada kubwa inayofanywa na mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kurejesha mahusiano na mataifa mbalimbali hususani ya Magharibi sio ya kubezwa ...ni jitihada kubwa na leadership style ya kipekee ambayo inaleta manufaa.
Tumewahi kupata ugeni mbalimbali kutoka mataifa makubwa lakini napenda kurajea ugeni wa Rais wa Marekani Barack Obama ambapo "inasemekana" kuwa masuala ya kiulinzi yaliingilia mifumo yetu ya kiulinzi pengine kwa kutoaminiwa sana kwa wataalamu wetu wa maswala ya ulinzi na usalama.
Iwapo suala hilo ni kweli basi hatuna namna bali kutoa angalizo...kwamba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ni imara na ni lazima viaminiwe kwa asilimia 100.Tusidanganywe kuwa hatuwezi bali discussion ifanyike kujua weak points ni zipi na hivyo zifanyiwe kazi.
Tunayo Ikulu mpya ya CHAMWINO Kamwe tusiruhusu mtoka mbali ndio ajidai kuwa ana uelewa wa kuilinda kuliko vyombo vyetu adhimu vya ulinzi na usalama.
Kamwe tusiruhusu details za Ikulu yetu mpya kuangukia mikononi mwa wageni, hili ni hatari sana na ni sawa na kuingilia uhuru na heshima ya nchi.
Otherwise karibu sana mgeni wetu na tuna value ujio wako.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Jiamini,waamini na jenga imani kwa vijana wetu.Zaidi toa ushauri kwao.ondoka katika fikra chafu za ukoloni.
Kuna watu hawajui Dunia inavyoenda.Acha kuongea vituko..π€£π€£π budget tu ya mishahara na ulinzi tunakopa kwao elimu ya ulinzi wanatupa wao kama msaada.
even vifaa vya ulinzi walivyotengeneza wao hatuwezi kununua maana hatuwezi kumudu gharama.
Kwa taarifa USA anataarifa zote za viongozi wa hii nchi...
Hiyo ni super power.
π π πHao vijana wenu acha waendelee kulinda maboxi ya wizi wa kura, sio zaidi ya hapo.
una evidence...au unabwata kwa ku-echo ujinga wa wahuni na wasaliti??