Pre GE2025 Ujio wa Rais Samia Suluhu Hassan: Hadi sasa sijaona dalili yoyote ya utashi wa kuwepo kwa maridhiano ya kisiasa nchini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tunalilia Watanzania wenzetu na haswa Watoto walioachwa wakafe kwa sababu tu ionekane Magufuli anapendwa

Watoto wadogo wameikosea nini Serikali ya kidhalimu ya CCM?
Kila mtu ana muda wake, njia yake na sababu yake kutoweka hapa duniani.
 
Kwani ww ndo unatoa madaraka au wananchi kupitia sanduku la kura?

Unafikiri mtaweza kuiba kura miaka yote?!!!
Kwakua katiba mpya si kipaumbele cha serikali ya CCM, swala la upinzani kutawala litabaki kuwa ndoto.[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Maridhiano ya nini mzee? Kwani tulikua na Vita. Rais Samia endeleza moto ule ule hakuna kumkaribisha mtu Ikulu kunywa Juice
Ujinga wa kuwaita hawa nyumbu Ikulu hakuna tena...kazi kazi...tu!
 
Mungu kafanya yake tayari. Haangalii cha CCM, Chadema, CUF wala ACT.

Na Mungu ataendelea kuwapatiliza wengine ambao hawatajifunza kutokana na hili lililotokea. Mungu ni fundi!
Hakuna chochote utakachofanya hapa duniani kitakachokufanya ukwepe kifo. Wewe sio kama Magufuli, haya Jiulize kama utakufa ua hautakufa. Kama jibu ni kwamba utakufa, Jiulize tena kuna faida gani ya kuishi unavyoishi?
 
Bado mapema
 
Maridhiano ya nini mzee? Kwani tulikua na Vita. Rais Samia endeleza moto ule ule hakuna kumkaribisha mtu Ikulu kunywa Juice
Rais mpya Mama Samia hapendi upuuzi huu
Ndio maana alisema tufute machozi, tuanze upya
 
Hakuna chochote utakachofanya hapa duniani kitakachokufanya ukwepe kifo. Wewe sio kama Magufuli, haya Jiulize kama utakufa ua hautakufa. Kama jibu ni kwamba utakufa, Jiulize tena kuna faida gani ya kuishi unavyoishi?
Kuishi ni Kristo.
Kufa ni faida (lakini kama tu huna damu za watu zinazokulilia!)
 
Maridhiano ya nini mzee? Kwani tulikua na Vita. Rais Samia endeleza moto ule ule hakuna kumkaribisha mtu Ikulu kunywa Juice
Mama Samia hawezi kuhadaiwa na waganga njaa na watu wenye roho mbaya wenye tamaa ya kumwaga damu za watu.

Chapter ya Magufuli tushaifunga. Sasa tuko na mama. Atawanyoosha tu MATAGA!
 
Ni mtazamo wako pia
 
We mwl sidhani kama wanafunzi wako huwa wanafaulu masomo yako! Sibonhwa kabisa wewe!
 
Yaani hata week bado hajamaliza unamletea siredi? Tumezidi mno ujuaji sisi watz
 
Mijitu ya CHADEMA ni kuikazia hapo hapo tu na ikiwezekana zaidi. Hatuwezi achia hii nchi vibaraka wa mabeberu na mabwana zao waje kuifanya watakavyo.
Kama wanashida ya vilainishi visambazwe kwa wanachama wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…