Magezi bugaga
JF-Expert Member
- Jul 7, 2021
- 1,181
- 1,594
Vina mda basi hapa lazima itokee conflict of interest
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hiyo 702km alijenga kwa pesa za mkopo,Ila baada ya kuwa na utawala wa hovyo ndiyo mabeberu wakaanza kumbania mikopoAliijenga Kwa tabu sababu hakuwa anapewa hela za bwelelee kama bi. tozo! Imagine wazungu wangekuwa wanamjazia matrillion kila mwezi kama wafanyavyo Kwa Samia hali ingekuwaje.
Unaijua Tirion kwel.ikibeba abiria hao kwa mwaka ni tirion 18.
View attachment 3038329
Wafanyabiashara washahujumu reli huko nyuma bila hata thread.. Hata ile ya Moshi inasemekana inasua sua kutokana na wafanyabiashara..Hoja kama hizi ndo zitapelekea SGR kukwama kwa sababu wafanyabiashara wa mabasi watahisi inachukua wateja.
Ili nchi iendelee kuna baadhi ya hofu kama alizozileta mleta mada zisipewe nafasi. Train inakuja kwa lengo la kuongeza wigo wa usafiri na si kuathiri aina fulani ya usafiri.
Nchi zilizoendelea wanatumia usafiri wa mabasi kwa safari ndefu, train na ndege lakini hakuna anaelalamika kwamba anachukuliwa wasafiri wake.
Miji kama New York kuna mabasi ya safari za mitaa(daladala) na train za chini ya ardhi, na za juu ya ardhi ambazo zinafanya kazi ya kama daladala lakini hakuna hizo hofu.
Faida ni kwamba mtumiaji anakuwa na wigo mpana wa kuchagua aina ya usafiri kulingana na anakoenda na muda.
Tuache hizo hifu ndo uchawi wenyewe wa kuanza kuharibu miundo mbinu ya Reli.
Ndio shida hioHata hiyo 702km alijenga kwa pesa za mkopo,Ila baada ya kuwa na utawala wa hovyo ndiyo mabeberu wakaanza kumbania mikopo
Ulifeli hesabu za kusoma tarakimu kwa manenoikibeba abiria hao kwa mwaka ni tirion 18.
View attachment 3038329
kwel kabisaaaa daaah tatizo nilisomea kijijin sana kazi yangu ilikuwa kuiba miogo na mahindi ya shamba la shule yaan daaah n hatarUlifeli hesabu za kusoma tarakimu kwa maneno
Kwa hapa bongo sidhani😂ikibeba abiria hao kwa mwaka ni tirion 18.
View attachment 3038329
Hakina kama kwel ndo uko hivi Mungu anakupenda sana, Mungu amekubarikikwel aisee m n kiaz
Nadhani aboud aliliona hilo mapema, na ndio maana akaamua kutafuta routes nyingine mapema... Na si kutegemea Dar - Moro pekeeTaarifa ya TRC imesema kwasasa treni ya mwendokasi inabeba wastani wa abiria 4000 kwa siku, hizi ni sawa na trip 70 za mabasi yenye uwezo wa kubeba abiria 57 kwa wakati mmoja.
Kituo kinachofata kitakuwa Dodoma pale mambo yatakapokamilika. Abood na Shabiby nadhani watakuwa waathirika wakuu kwenye hii saga.
Kiuchumi ina-save muda wa wasafiri, usalama ukizingatia usafiri wa reli ni salama zaidi kuliko barabara, inapunguza uchakavu wa barabara hasa ikianza kusafirisha mizigo. Upande wa pili itafinya sekta binafsi ya usafirishaji kwa wamiliki na wote wanaofaidika na mzunguko huo kama wakata tiketi, wahudumu, madalali, madereva na wamiliki wake wa malori na mabasi.
Hofu yangu ni kubakisha standard na sabotage kutoka kwa wafanyabiashara wa mabasi na malori, TRC watatoboa kweli?
Nauli ndio itafanya mabasi yaendelee kuwepo. Badala ya kuwa cheap ni expensive kuliko basi hivyo watu watakomaa na basi tu maana kuna mtu hata 10,000 ni nyingi kwake plus hupandi na sandarusi.Taarifa ya TRC imesema kwasasa treni ya mwendokasi inabeba wastani wa abiria 4000 kwa siku, hizi ni sawa na trip 70 za mabasi yenye uwezo wa kubeba abiria 57 kwa wakati mmoja.
Kituo kinachofata kitakuwa Dodoma pale mambo yatakapokamilika. Abood na Shabiby nadhani watakuwa waathirika wakuu kwenye hii saga.
Kiuchumi ina-save muda wa wasafiri, usalama ukizingatia usafiri wa reli ni salama zaidi kuliko barabara, inapunguza uchakavu wa barabara hasa ikianza kusafirisha mizigo. Upande wa pili itafinya sekta binafsi ya usafirishaji kwa wamiliki na wote wanaofaidika na mzunguko huo kama wakata tiketi, wahudumu, madalali, madereva na wamiliki wake wa malori na mabasi.
Hofu yangu ni kubakisha standard na sabotage kutoka kwa wafanyabiashara wa mabasi na malori, TRC watatoboa kweli?
Unafikiri kwenda kujenga ufalme kwenye route mpya ni rahisi sio.Hawawezi kuathirika maana unahamisha tuu route, pia watu wanaongezeka ujue.
Mwisho Kila siku wanaongeza Mabasi mapya
asante kiaz nwenzangu........viaz tunajuana tu.Hakina kama kwel ndo uko hivi Mungu anakupenda sana, Mungu amekubariki
nje ya nchi kama Burundi na Malawi?yani ungekuwa unaishi nje ya nchi hii mada yako ingeonekana una akili za kitoto tena zile yule wa komedi kuoga ahaaa
soma komenti yako miezi 12 ijayo utaona maajabu.Ndio maana nimeweka wahanga wakuu mkuu, Shabiby na Abood.. Ni njia yao kuu ya mapato. Though wengine wataathirika, basi zitazokosa wateja Dar-Moro-Dom zitaenda kubanana kwenye njia mpya..
Hakuna trillion hapo wewe kilaza hiyo ni billionikibeba abiria hao kwa mwaka ni tirion 18.
View attachment 3038329