Ujio wa SGR tishio kwa mabasi? Inabeba abiria 4000 sawa na trip 70 za mabasi

Ujio wa SGR tishio kwa mabasi? Inabeba abiria 4000 sawa na trip 70 za mabasi

Treni haiendi kila mahali na haipo muda wote. Abiria wa mabasi wapo na wataendelea kuwepo. Ni vizuri tumepata mbadala mwingine.
 
Hawawezi kuathirika maana unahamisha tuu route, pia watu wanaongezeka ujue.

Mwisho Kila siku wanaongeza Mabasi mapya
Sidhani kama kuhamisha route ni kitu rahisi kwenye biashara ya mabasi, route utakayohamia unakuta kuna watu wapo miaka nenda rudi hivyo inabidi kupambana nao..

Tukubali mabasi yamepata mshindani mpya, kudumu au kutodumu inategemea na mshindani mwenyewe na wao wenyewe watakavyopambana
 
Taarifa ya TRC imesema kwasasa treni ya mwendokasi inabeba wastani wa abiria 4000 kwa siku, hizi ni sawa na trip 70 za mabasi yenye uwezo wa kubeba abiria 57 kwa wakati mmoja.

Kituo kinachofata kitakuwa Dodoma pale mambo yatakapokamilika. Abood na Shabiby nadhani watakuwa waathirika wakuu kwenye hii saga.


Kiuchumi ina-save muda wa wasafiri, usalama ukizingatia usafiri wa reli ni salama zaidi kuliko barabara, inapunguza uchakavu wa barabara hasa ikianza kusafirisha mizigo. Upande wa pili itafinya sekta binafsi ya usafirishaji kwa wamiliki na wote wanaofaidika na mzunguko huo kama wakata tiketi, wahudumu, madalali, madereva na wamiliki wake wa malori na mabasi.

Hofu yangu ni kubakisha standard na sabotage kutoka kwa wafanyabiashara wa mabasi na malori, TRC watatoboa kweli?
Kati ya hao abiria 4,000 huenda robotatu ni chawa wanaosafirishwa bure kwenda na kurudi Morogoro bila kulipa nauli, hii ni hujuma inayofanywa na CCM.
 
Taarifa ya TRC imesema kwasasa treni ya mwendokasi inabeba wastani wa abiria 4000 kwa siku, hizi ni sawa na trip 70 za mabasi yenye uwezo wa kubeba abiria 57 kwa wakati mmoja.

Kituo kinachofata kitakuwa Dodoma pale mambo yatakapokamilika. Abood na Shabiby nadhani watakuwa waathirika wakuu kwenye hii saga.


Kiuchumi ina-save muda wa wasafiri, usalama ukizingatia usafiri wa reli ni salama zaidi kuliko barabara, inapunguza uchakavu wa barabara hasa ikianza kusafirisha mizigo. Upande wa pili itafinya sekta binafsi ya usafirishaji kwa wamiliki na wote wanaofaidika na mzunguko huo kama wakata tiketi, wahudumu, madalali, madereva na wamiliki wake wa malori na mabasi.

Hofu yangu ni kubakisha standard na sabotage kutoka kwa wafanyabiashara wa mabasi na malori, TRC watatoboa kweli?
Tanzania bado ni kubwa sana. Sio kila kitu ni Dar Dodoma.

Wanaweza anzisha Route ya Dodoma Mwanza, musoma, Bukoba, Arusha, moshi,kigoma,katavi nk.
Zile route zinazopita Dodoma kuja Dar. Waishie Dodoma watu wapande treni

Kuhusu mizigo. Maroli yaishie Dodoma. Mizigo isafirishwe kuelekea Dar na treni za mizigo wakati wa usiku.
Dodoma itakuwa na real Capital city
 
Taarifa ya TRC imesema kwasasa treni ya mwendokasi inabeba wastani wa abiria 4000 kwa siku, hizi ni sawa na trip 70 za mabasi yenye uwezo wa kubeba abiria 57 kwa wakati mmoja.

Kituo kinachofata kitakuwa Dodoma pale mambo yatakapokamilika. Abood na Shabiby nadhani watakuwa waathirika wakuu kwenye hii saga.


Kiuchumi ina-save muda wa wasafiri, usalama ukizingatia usafiri wa reli ni salama zaidi kuliko barabara, inapunguza uchakavu wa barabara hasa ikianza kusafirisha mizigo. Upande wa pili itafinya sekta binafsi ya usafirishaji kwa wamiliki na wote wanaofaidika na mzunguko huo kama wakata tiketi, wahudumu, madalali, madereva na wamiliki wake wa malori na mabasi.

Hofu yangu ni kubakisha standard na sabotage kutoka kwa wafanyabiashara wa mabasi na malori, TRC watatoboa kweli?
Tanzania bado ni kubwa sana. Sio kila kitu ni Dar Dodoma.

Wanaweza anzisha Route ya Dodoma Mwanza, musoma, Bukoba, Arusha, moshi,kigoma,katavi nk.
Zile route zinazopita Dodoma kuja Dar. Waishie Dodoma watu wapande treni

Kuhusu mizigo. Maroli yaishie Dodoma. Mizigo isafirishwe kuelekea Dar na treni za mizigo wakati wa usiku.
Dodoma itakuwa na real Capital city
 
Ngoja utaona hujuma za mtanzania, kwa serikali hii dhaifu, hujuma zitaiua SGR.
Lakini Deep ni Upumbavu na ubinafsi wa hali ya juu.
Lakin Mungu anawapa adhabu kali watu kama hao.

Ukosefu wa exposure na elimu unachangia. Huko ulaya na marekani wamekuwa na treni toka miaka ya 1800 huko. Na hadi zinafanya kazi kwa ufasaha
 
Taarifa ya TRC imesema kwasasa treni ya mwendokasi inabeba wastani wa abiria 4000 kwa siku, hizi ni sawa na trip 70 za mabasi yenye uwezo wa kubeba abiria 57 kwa wakati mmoja.

Kituo kinachofata kitakuwa Dodoma pale mambo yatakapokamilika. Abood na Shabiby nadhani watakuwa waathirika wakuu kwenye hii saga.


Kiuchumi ina-save muda wa wasafiri, usalama ukizingatia usafiri wa reli ni salama zaidi kuliko barabara, inapunguza uchakavu wa barabara hasa ikianza kusafirisha mizigo. Upande wa pili itafinya sekta binafsi ya usafirishaji kwa wamiliki na wote wanaofaidika na mzunguko huo kama wakata tiketi, wahudumu, madalali, madereva na wamiliki wake wa malori na mabasi.

Hofu yangu ni kubakisha standard na sabotage kutoka kwa wafanyabiashara wa mabasi na malori, TRC watatoboa kweli?
serikali ijipange kupambana na wafanya biashara wa mabasi, wakitia mguu kutaka kuhujumu, washughulikiwe.
 
Haiwezekani sababu miji inakuwa na watu wanaongezeka, rejea mikakati ya kuongeza basi za mwendokasi. Walisema kuwa wanaua biashara kwa mabasi binafsi leo je, biashara imekufa?
 
Sidhani! Labda treni ioperate 24 hrs.
Hata hivyo mabasi ya Abood na Shabiby yana root nyingine ndefu mf.Dar-Mwz,Dar-Bukoba,nadhani hata Dar-Mbeya.
Sasa mpaka Serikali itakapo kamilisha SGR mpaka Kigoma na Mwanza siyo leo.
 
Back
Top Bottom