Ujio wa Tundu Lissu na matokeo ya ajabu

Hebu sema umeandika nini..hiyo no ithibati pekee

Jr[emoji769]
Naona umedhihirisha ya kuwa wewe ni Muongo na unaandika mambo ambayo huyajui. Huu ni ushahidi dhidi yako ya kuwa ulichokiandika hunaushahidi nacho ila umeandika tu ilimradi umeandika. Huwezi kuniuliza tena mimi niandika nini wakati wewe umeshajua ya kuwa mimi sijaelewa nilicho kiandika.

Kauli yangu iko pale pale, ukionyesha kwamba sijaelewa nilicho kiandika, naomba uongozi wa "jf" waifungie hii "ID" na wewe utakuwa shahidi.

Ahsante.
 
Wenye mitego walishindwa kumnasa kicheche MLA kuku Na kumbatiza kwa jina asiyeonekana. Wenye kuku Na kuku wenyewe wanakosa imani na wenye mitego. Hapo ndipo Pana kitendawili. Sasa kuku akilia sana wanataka kumtisha wasijue kubwa kelele zake ni Dua, hofu Na shukurani
Jalada lilifungwa taarifa itapelekwa kwa nani?
 
Kwahiyo umeshindwa kusema umeandika mini? Mbona story zinazidi sass! Kwahiyo hii ni ithibati tosha kuwa hujui ulichoandika..ungejua ungejibu mara

Jr[emoji769]
 
Sasa mkuu 'Bujibuji', kweli una moyo wa kusamehe 'mtesi wako aliye above the law?" Huko itakuwa sio kusamehe, bali kukubali tu aendelee kukutesa kwa vile huna lolote la kufanya juu yake.
Mtu hawezi kumsamehe mtu ambaye amemzidi kwa kila kitu, hapo ni kwamba hana uwezo wa ku revenge.
 
Jitihada za serekali ni watuhumiwa wasijulikane, na hawatojulikana.
 
ila mkuu mshana wewe ni na
wewe ni nabii mkuu kabla sijajiunga rasmi hapa jamvin na kipindi lissu amepata shambulio upo uzi wako mmoja ulizungumzia kuwa mtu alipigwa risas na kupona huja badae kua mtu mkubwa na maarufu sana sasa nayaona kwa lissu
 
ila mkuu mshana wewe ni na
wewe ni nabii mkuu kabla sijajiunga rasmi hapa jamvin na kipindi lissu amepata shambulio upo uzi wako mmoja ulizungumzia kuwa mtu alipigwa risas na kupona huja badae kua mtu mkubwa na maarufu sana sasa nayaona kwa lissu
[emoji1545][emoji1534][emoji1548]

Jr[emoji769]
 
Kaka watu huwa hawaamini kwamba ulimwengu huu umeubwa kwa misingi ya HAKI na unatawaliwa kwa HAKI.

Hata Mwenyezi MUNGU mwenyewe pamoja na ukuu wake wote lakini anautawala huu Ulimwengu the same way.

Ni kweli...lazima upumbazwe ili nguvu zako zote za kimamlaka zikutoke wakati mfalme akirudi kukanyaga udongo wa nchi yake.

Karibu Lissu nyumbani...tutakupokea hiyo kesho, hakuna sheria ya kuzuia mapokezi kwa mgeni wako...!!
 
Mkuu, adhabu waliyokupa wanaCCM wenzako huko Kawe ipo sahihi kabisa. Hivi unadhani ni raia gani anaweza kufika pale Dodoma kwenye makazi ya Viongozi na kushambulia Tundu Lissu tena kwa kutumia SILAHA ZA KIVITA? Usijifanye mpuuzi hata kama bado unaendelea KUBEMBELEZA TEUZI.
 
Mambo kama haya yanakera sana, ndio sababu leo hii Wapemba WANASHEREHEKEA baada ya kifo cha MFITINI wao. Huwezi kudhulumu haki za watu kuishi kisha watu hao hao wahuzunishwe na kifo chako, tutaelewana tu huko mbeleni.
 
Lile shambulio kwa ujumla wake ni aibu kwa Taifa mbele ya dunia, serikali ilishindwa nini kufanya uchunguzi wa kina ili kubaini wahusika? Kitendo cha serikali kugoma kufanya uchunguzi ndicho kinachosababisha wananchi kui-suspect. Hakunaga kitu kinachoitwa 'wasiojulikana' mbele ya serikali kama ikiamua kufanya uchunguzi wa dhati.
 
Ikumbukwe pia zilitumika SILAHA ZA KIVITA, ni Mwananchi gani anaweza kwenda kwenye makazi ya Viongozi MCHANA KWEUPE na kufanya shambulio la namna ile? Serikali hii ni ya WAHALIFU na inatawaliwa kwa mkono wa chuma, period.
 
Kwahiyo umeshindwa kusema umeandika mini? Mbona story zinazidi sass! Kwahiyo hii ni ithibati tosha kuwa hujui ulichoandika..ungejua ungejibu mara

Jr[emoji769]
Hakuna story hapo, naona unaendelea kuthibitisha ya kuwa unaandika tu ilimradi.

Mimi nimekwambia hivi ukionyesha ya kuwa nimeandika ambacho sikijui, nitaomba uongozi wa jf uifutilie mbali hii ID yangu, na hilu huliwezi mpaka unakufa.

Pili, nakufundisha sasa matumizi ya "nge" ni ishara ya kushindwa hoja na kuhamia katika ubahatishaji ambao hiyo "nge" huwezi kuithibitisha ukweli wake.

Tatu, usipende kuandika mambo ilimradi umeandika bali andika kile unachostahiki kuandika, matokeo yake ndiyo haya kukimbia kivuli chako.

Nipi .....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…