Naona umedhihirisha ya kuwa wewe ni Muongo na unaandika mambo ambayo huyajui. Huu ni ushahidi dhidi yako ya kuwa ulichokiandika hunaushahidi nacho ila umeandika tu ilimradi umeandika. Huwezi kuniuliza tena mimi niandika nini wakati wewe umeshajua ya kuwa mimi sijaelewa nilicho kiandika.Hebu sema umeandika nini..hiyo no ithibati pekee
Jr[emoji769]
Jalada lilifungwa taarifa itapelekwa kwa nani?
Kwahiyo umeshindwa kusema umeandika mini? Mbona story zinazidi sass! Kwahiyo hii ni ithibati tosha kuwa hujui ulichoandika..ungejua ungejibu maraNaona umedhihirisha ya kuwa wewe ni Muongo na unaandika mambo ambayo huyajui. Huu ni ushahidi dhidi yako ya kuwa ulichokiandika hunaushahidi nacho ila umeandika tu ilimradi umeandika. Huwezi kuniuliza tena mimi niandika nini wakati wewe umeshajua ya kuwa mimi sijaelewa nilicho kiandika.
Kauli yangu iko pale pale, ukionyesha kwamba sijaelewa nilicho kiandika, naomba uongozi wa "jf" waifungie hii "ID" na wewe utakuwa shahidi.
Ahsante.
Mtu hawezi kumsamehe mtu ambaye amemzidi kwa kila kitu, hapo ni kwamba hana uwezo wa ku revenge.Sasa mkuu 'Bujibuji', kweli una moyo wa kusamehe 'mtesi wako aliye above the law?" Huko itakuwa sio kusamehe, bali kukubali tu aendelee kukutesa kwa vile huna lolote la kufanya juu yake.
Jitihada za serekali ni watuhumiwa wasijulikane, na hawatojulikana.Mkuu Mshana, hii haijakaa vizuri kwasababu kwenye shambulio la Lissu, ukiondoa uzushi wa mitaani na ramli chonganishi, hakuna mtuhumiwa yoyote rasmi, kufuatia shambulio hilo kufanywa na watu wasiojulikana, hivyo kitendo cha wewe kusema kuna mtuhumiwa, huku sheria zetu ziko wazi kabisa, kukitokea tukio lolote la jinai, kama kuna mtu yoyote mwenye taarifa zozote za mhusika au wahusika wa tukio hilo, anapaswa kuripoti kunakohusika na sio kutegenea uzushi wa mitaani na mitandaoni, vinginevyo na mada yako hii ni ramli chonganishi!
Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!
P
P Wacha kamba,swali langu bado unalipiga chenga. Wewe mwenyewe binafsi hukujipigia kura?allydou,
Hii ya kupata zero ni kweli na niliomba humu, msinicheke wala msinibeze kwa maana...
Uchaguzi 2020 - Wana JF, nipeni Pole. Msinicheke wala msinibeze; nimegombea ubunge Kawe kupitia CCM nimeambulia kura 1. Ama kweli CCM ina wenyewe!
P
wewe ni nabii mkuu kabla sijajiunga rasmi hapa jamvin na kipindi lissu amepata shambulio upo uzi wako mmoja ulizungumzia kuwa mtu alipigwa risas na kupona huja badae kua mtu mkubwa na maarufu sana sasa nayaona kwa lissuKuna vitu vinatokea kwa namna ya kipekee na ajabu kabisa. Ujio wa Lissu kurejea nyumbani akiwa bukheri wa afya una mengi ya kusimulia
Lissu aliyeondoka mahututi hajitambui kwenye machela baada ya kunusurika kifo cha risasi 36, anarejea nchini akiwa mwenye tabasamu na matumaini mengi.
Mtuhumiwa wake kwenye shambulio husika wakati huo alikuwa mwenye mamlaka na nguvu nyingi akiivinjari nchi atakavyo huku akifanya atakayo bila kuguswa na yeyote yule.
Leo hii Lissu anaporejea nchini mtuhumiwa wake si lolote si chochote tena(labda huko mbeleni) mtuhumiwa wake sasa ni mwananchi wa kawaida kabisa mwenye msongo wa mawazo huku sintofahamu ikimtawala kuhusu future yake. Anachosubiri kwasasa ni huruma ya mkulu kama kwa bahati mbaya wakiweza kufanya figisu.
Imagine leo hii Lissu anapokaribia kabisa kurudi mwana bado angekuwa na yale maguvu yake, sipati picha ingekuwaje. Kuna maanguko huja kwa hatua. Wazungu wanasema: A day when everything went wrong. Waswahel wanasema siku imeanza vibaya, na siku ya kufa nyani miti yote huteleza.
Umeteleza wa ubunge kwenye kura za wajumbe, unaweza kuteleza kwenye uteuzi, ama kwenye viti maalum.
Mambo huja kinyume. Wakati Lissu atakapokuwa kwenye msafara wa hiari, mwana atakuwa kajificha mahali na remote mkononi akiangalia kwa uchungu live updates za mbaya wake mwenye na uso wa tabasamu kubwa.
[emoji1545][emoji1534][emoji1548]ila mkuu mshana wewe ni na
wewe ni nabii mkuu kabla sijajiunga rasmi hapa jamvin na kipindi lissu amepata shambulio upo uzi wako mmoja ulizungumzia kuwa mtu alipigwa risas na kupona huja badae kua mtu mkubwa na maarufu sana sasa nayaona kwa lissu
Kaka watu huwa hawaamini kwamba ulimwengu huu umeubwa kwa misingi ya HAKI na unatawaliwa kwa HAKI.Kuna vitu vinatokea kwa namna ya kipekee na ajabu kabisa. Ujio wa Lissu kurejea nyumbani akiwa bukheri wa afya una mengi ya kusimulia
Lissu aliyeondoka mahututi hajitambui kwenye machela baada ya kunusurika kifo cha risasi 36, anarejea nchini akiwa mwenye tabasamu na matumaini mengi.
Mtuhumiwa wake kwenye shambulio husika wakati huo alikuwa mwenye mamlaka na nguvu nyingi akiivinjari nchi atakavyo huku akifanya atakayo bila kuguswa na yeyote yule.
Leo hii Lissu anaporejea nchini mtuhumiwa wake si lolote si chochote tena(labda huko mbeleni) mtuhumiwa wake sasa ni mwananchi wa kawaida kabisa mwenye msongo wa mawazo huku sintofahamu ikimtawala kuhusu future yake. Anachosubiri kwasasa ni huruma ya mkulu kama kwa bahati mbaya wakiweza kufanya figisu.
Imagine leo hii Lissu anapokaribia kabisa kurudi mwana bado angekuwa na yale maguvu yake, sipati picha ingekuwaje. Kuna maanguko huja kwa hatua. Wazungu wanasema: A day when everything went wrong. Waswahel wanasema siku imeanza vibaya, na siku ya kufa nyani miti yote huteleza.
Umeteleza wa ubunge kwenye kura za wajumbe, unaweza kuteleza kwenye uteuzi, ama kwenye viti maalum.
Mambo huja kinyume. Wakati Lissu atakapokuwa kwenye msafara wa hiari, mwana atakuwa kajificha mahali na remote mkononi akiangalia kwa uchungu live updates za mbaya wake mwenye na uso wa tabasamu kubwa.
Upunguza uwezo wa kufikiri,mwaka wao huuWalichelewa Ku renew
Jr[emoji769]
Mkuu, adhabu waliyokupa wanaCCM wenzako huko Kawe ipo sahihi kabisa. Hivi unadhani ni raia gani anaweza kufika pale Dodoma kwenye makazi ya Viongozi na kushambulia Tundu Lissu tena kwa kutumia SILAHA ZA KIVITA? Usijifanye mpuuzi hata kama bado unaendelea KUBEMBELEZA TEUZI.Mkuu Mshana, hii haijakaa vizuri kwasababu kwenye shambulio la Lissu, ukiondoa uzushi wa mitaani na ramli chonganishi, hakuna mtuhumiwa yoyote rasmi, kufuatia shambulio hilo kufanywa na watu wasiojulikana, hivyo kitendo cha wewe kusema kuna mtuhumiwa, huku sheria zetu ziko wazi kabisa, kukitokea tukio lolote la jinai, kama kuna mtu yoyote mwenye taarifa zozote za mhusika au wahusika wa tukio hilo, anapaswa kuripoti kunakohusika na sio kutegenea uzushi wa mitaani na mitandaoni, vinginevyo na mada yako hii ni ramli chonganishi!
Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!
P
allydou,
Hii ya kupata zero ni kweli na niliomba humu, msinicheke wala msinibeze kwa maana...
Uchaguzi 2020 - Wana JF, nipeni Pole. Msinicheke wala msinibeze; nimegombea ubunge Kawe kupitia CCM nimeambulia kura 1. Ama kweli CCM ina wenyewe!
P
Lile shambulio kwa ujumla wake ni aibu kwa Taifa mbele ya dunia, serikali ilishindwa nini kufanya uchunguzi wa kina ili kubaini wahusika? Kitendo cha serikali kugoma kufanya uchunguzi ndicho kinachosababisha wananchi kui-suspect. Hakunaga kitu kinachoitwa 'wasiojulikana' mbele ya serikali kama ikiamua kufanya uchunguzi wa dhati.Kwenye crime investigation pale ambapo third part alifanikiwa kufanya jambo na ghafla alipofanya tukawaza au kumsingizia fulani ambaye hakuwahi kuthibitishwa..huyu mtu wa tatu atakuwa huru, yuko huru, was never suspected..he worn that easily
Kama yupo huyo third part na yuko huru na hakuwahi kuwaziwa, ATAFANYA TENA, and this time, kama aliyefanya mwanzo alifanya kugombanisha wananchi na serikali...safari hii akifanya tena, hali itakuwa mbaya, kwanza wanaweza wasimwache hai
Kuanzia mwanzo wa swala hili, ulinzi pekee wa kumlinda Lissu ulitakuwa Lissu ajibanze au kukimbilia kwa rais!!! Hii inahitaji IQ ya hali ya juu sana
Rais angemlinda dhidi ya watesi wake.Naam kama rais ndie anahusika kumshambulia Lissu BADO STILL ingekuwa mpe mchawi amlelee mwanao, bado angepona. Rais asingekubali mtu apotee ambaye kaja kwake kwa ulinzi, we only live once.
Kama huyu third part yuko mtaani, anadunda hakuwahi kudhaniwa wala kutajwa.he will surely atrike it again
Kwa akili zangu za assassination, shambulio la Lissu was never planned na serikali, eti wauaji wamfuatilie kutoka dsm kwenda dodoma, wapige risasi 32 mchana kweupe kutisha watu...apelekwe hospitali ya serikali, apate kibali cha anga ndege impeleke Kenya, common.Kama ingekuwa ni Rais kasema afe, angekufa tu.
Rais wa Tanzania sio uchebe mme wa shilole
The one who did it is out there, probably very close to Lissu, na wakimuua watapata sympathy za kisiasa, au kuvuruga nchi
Ikumbukwe pia zilitumika SILAHA ZA KIVITA, ni Mwananchi gani anaweza kwenda kwenye makazi ya Viongozi MCHANA KWEUPE na kufanya shambulio la namna ile? Serikali hii ni ya WAHALIFU na inatawaliwa kwa mkono wa chuma, period.Lile shambulio kwa ujumla wake ni aibu kwa Taifa mbele ya dunia, serikali ilishindwa nini kufanya uchunguzi wa kina ili kubaini wahusika? Kitendo cha serikali kugoma kufanya uchunguzi ndicho kinachosababisha wananchi kui-suspect. Hakunaga kitu kinachoitwa 'wasiojulikana' mbele ya serikali kama ikiamua kufanya uchunguzi wa dhati.
Hakuna story hapo, naona unaendelea kuthibitisha ya kuwa unaandika tu ilimradi.Kwahiyo umeshindwa kusema umeandika mini? Mbona story zinazidi sass! Kwahiyo hii ni ithibati tosha kuwa hujui ulichoandika..ungejua ungejibu mara
Jr[emoji769]