Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,926
- 6,422
Zindiko limekiukwa chochote chaweza tokea,sio kila siku ni jumapili,Kama nao ni wahanga je Ya Mungu mengi.Bado ninamashaka makubwa sana na tume hii ya uchaguzi. Itachakachua matokeo. Anga bado halijafunguka.
Nilipata kuandika humu...Ukiachana jina la Lissu je kuna mtu mwingine nimemtaja hapa? Au na wewe umetumia hisia zaidi kuliko mimi?
Hiyo sentensi imebezi kwenye conspiracy theories kupita kiasi bila kuwa na specifics. "Mwenye mamlaka na nguvu nyingi" anaweza kuwa mkuu wa wilaya, mkuu wa mkoa, kamanda wa polisi katika ngazi mbalimballi, mkuu wa jeshi, waziri yeyote, Waziri mkuu, Makamu wa rais au rais mwenyewe. Wewe umetupa jiwe gizani na hivyo kutokuwa na lengo.Kwanini?...kila jinai haikosi mtuhumiwa
KUFANIKISHA 16-NOT 126 REKEBISHO"wajumbe" wabaya! Kibaya UMMA unamhisi kupiga risasi 36! na kufanikisha 126![emoji848][emoji52][emoji46]
Na ajue hakuna siri!Kwanini?...kila jinai haikosi mtuhumiwa
Mzee wa kura moja natamani asome huu uzi yeye alisema lisu na dreva wake wameekt.Kuna vitu vinatokea kwa namna ya kipekee na ajabu kabisa. Ujio wa Lissu kurejea nyumbani akiwa bukheri wa afya una mengi ya kusimulia
Lissu aliyeondoka mahututi hajitambui kwenye machela baada ya kunusurika kifo cha risasi 36, anarejea nchini akiwa mwenye tabasamu na matumaini mengi.
Mtuhumiwa wake kwenye shambulio husika wakati huo alikuwa mwenye mamlaka na nguvu nyingi akiivinjari nchi atakavyo huku akifanya atakayo bila kuguswa na yeyote yule.
Leo hii Lissu anaporejea nchini mtuhumiwa wake si lolote si chochote tena(labda huko mbeleni) mtuhumiwa wake sasa ni mwananchi wa kawaida kabisa mwenye msongo wa mawazo huku sintofahamu ikimtawala kuhusu future yake. Anachosubiri kwasasa ni huruma ya mkulu kama kwa bahati mbaya wakiweza kufanya figisu.
Imagine leo hii Lissu anapokaribia kabisa kurudi mwana bado angekuwa na yale maguvu yake, sipati picha ingekuwaje. Kuna maanguko huja kwa hatua. Wazungu wanasema: A day when everything went wrong. Waswahel wanasema siku imeanza vibaya, na siku ya kufa nyani miti yote huteleza.
Umeteleza wa ubunge kwenye kura za wajumbe, unaweza kuteleza kwenye uteuzi, ama kwenye viti maalum.
Mambo huja kinyume. Wakati Lissu atakapokuwa kwenye msafara wa hiari, mwana atakuwa kajificha mahali na remote mkononi akiangalia kwa uchungu live updates za mbaya wake mwenye na uso wa tabasamu kubwa.
Nakuomba usome hii kitu tafadhali,nilijaribu kuiunda kujaribu kuelezea utuhumiwa wa hii kitu kwa vyombo vya umma!View attachment 1517077
Mshana Jr Huenda hukuwa na maana ya inayoonekana katika niliyoonyesha rangi kwani haina mantiki kabisa,
Mtia nia acha kumtetea ngosha mwezako pitia huzi nyuzi utapata jibu..Mkuu Mshana, hii haijakaa vizuri kwasababu kwenye shambulio la Lissu, ukiondoa uzushi wa mitaani na ramli chonganishi, hakuna mtuhumiwa yoyote rasmi, kufuatia shambulio hilo kufanywa na watu wasiojulikana, hivyo kitendo cha wewe kusema kuna mtuhumiwa, huku sheria zetu ziko wazi kabisa, kukitokea tukio lolote la jinai, kama kuna mtu yoyote mwenye taarifa zozote za mhusika au wahusika wa tukio hilo, anapaswa kuripoti kunakohusika na sio kutegenea uzushi wa mitaani na mitandaoni, vinginevyo na mada yako hii ni ramli chonganishi!
Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!
P
Hata mimi nimepanga hivyo.. na kazini nimeshaomba ruhusaTukitoka airport kumpokea Lissu ataenda moja kwa moja uwanja wa taifa kumwaga Mkapa
Mkuu Mshana, hii haijakaa vizuri kwasababu kwenye shambulio la Lissu, ukiondoa uzushi wa mitaani na ramli chonganishi, hakuna mtuhumiwa yoyote rasmi, kufuatia shambulio hilo kufanywa na watu wasiojulikana, hivyo kitendo cha wewe kusema kuna mtuhumiwa, huku sheria zetu ziko wazi kabisa, kukitokea tukio lolote la jinai, kama kuna mtu yoyote mwenye taarifa zozote za mhusika au wahusika wa tukio hilo, anapaswa kuripoti kunakohusika na sio kutegenea uzushi wa mitaani na mitandaoni, vinginevyo na mada yako hii ni ramli chonganishi!
Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!
P
Niimchukie Lissu kwa lipi?.Wewe unajulikana una chuki kwa Lissu na Chadema bora ukae kimya tu.
Asante, watu wanaitwa wajumbe..., we acha tuu!.Bado najizuia kucheka lakini nashindwa...my apology tena na tena..[emoji23] [emoji23]
Nimekupata vema thanks KichuguuHiyo sentensi imebezi kwenye conspiracy theories kupita kiasi bila kuwa na specifics. "Mwenye mamlaka na nguvu nyingi" anaweza kuwa mkuu wa wilaya, mkuu wa mkoa, kamanda wa polisi katika ngazi mbalimballi, mkuu wa jeshi, waziri yeyote, Waziri mkuu, Makamu wa rais au rais mwenyewe. Wewe umetupa jiwe gizani na hivyo kutokuwa na lengo.
TL atapata taabu sana asipobadilika na kusuka mipango yake kisiasa na siyo kisheria.Kuna vitu vinatokea kwa namna ya kipekee na ajabu kabisa. Ujio wa Lissu kurejea nyumbani akiwa bukheri wa afya una mengi ya kusimulia
Lissu aliyeondoka mahututi hajitambui kwenye machela baada ya kunusurika kifo cha risasi 36, anarejea nchini akiwa mwenye tabasamu na matumaini mengi.
Mtuhumiwa wake kwenye shambulio husika wakati huo alikuwa mwenye mamlaka na nguvu nyingi akiivinjari nchi atakavyo huku akifanya atakayo bila kuguswa na yeyote yule.
Leo hii Lissu anaporejea nchini mtuhumiwa wake si lolote si chochote tena(labda huko mbeleni) mtuhumiwa wake sasa ni mwananchi wa kawaida kabisa mwenye msongo wa mawazo huku sintofahamu ikimtawala kuhusu future yake. Anachosubiri kwasasa ni huruma ya mkulu kama kwa bahati mbaya wakiweza kufanya figisu.
Imagine leo hii Lissu anapokaribia kabisa kurudi mwana bado angekuwa na yale maguvu yake, sipati picha ingekuwaje. Kuna maanguko huja kwa hatua. Wazungu wanasema: A day when everything went wrong. Waswahel wanasema siku imeanza vibaya, na siku ya kufa nyani miti yote huteleza.
Umeteleza wa ubunge kwenye kura za wajumbe, unaweza kuteleza kwenye uteuzi, ama kwenye viti maalum.
Mambo huja kinyume. Wakati Lissu atakapokuwa kwenye msafara wa hiari, mwana atakuwa kajificha mahali na remote mkononi akiangalia kwa uchungu live updates za mbaya wake mwenye na uso wa tabasamu kubwa.