Rais ana ushawishi mkubwa, akilaani jambo hata asipotoa maagizo watendaji hulifanyia kazi, rejea kauli za pole2 juu ya huyo RC mtenguliwa, pia rejea kauli ya rais dhidhi ya majengo ya takukuru hv majuzi, vichwa 9 viliondoka na hayakuwa maagizo ya rais.mhhh we jamaa comment yako haina mantiki,,,kwani mwana(bintimfalme) ameangushwa na mkuu au na wajumbe???
Haya ni majibu ya mkosa hoja! Akili yako imegota!Wewe hujioni!!
Amevunjwa kiuno kabisa na hiyo taarifaNdio kusema hawezi jisimamia kwa chochotee labda kilicho nje na kutetea tumboo[emoji3][emoji3][emoji3].
Hivi kwanza ameshasikia balaza la habari walicho sema. ? [emoji3][emoji3][emoji3]
Muda ni mwalimu mzuri, wahenga walisema.Kuna watu udanganywa na waganga kwa kuaminishwa wanaweza kuwa juu ya dunia, Hakuna aliyeweza shindana na wakati
Hii kanuni ipo kabisa... Na iliandikwa na great thinker muitaliano Machiavelli .Marais wengi wa Afrika huwa wanatumia watu baki kutekeleza umafia ili wao wabaki kuwa clean
Nipe taratibu za kuwa mjumbe, nitapendekeza pawe na kura -0Waandishi wa habari kama huyu na chombo chake cha habari. Eti mara tuuu wanaibuka kuutaka ubunge wa kawe. Hivi sisi wajumbe mnatuchukuliaje lakini. ? .
Ndugu yangu pasikali kweli tukupe kura. ? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1517262
Acha upoyoyo, toa mfano wa rais mmoja aliyefanya hivyo! Ukiitwa utoe ushahidi wa kuhusika kwa Makonda utatoa ! Ujinga na chuki za kipumbavu ni vya hivyo Sana!Marais wengi wa Afrika huwa wanatumia watu baki kutekeleza umafia ili wao wabaki kuwa clean
[emoji3][emoji3][emoji3].mkuuu niliingia ujumbe kwa kukodiwa ili niwaonyoosheee vizabizanaa woteee wa kawe.Nipe taratibu za kuwa mjumbe, nitapendekeza pawe na kura -0
Hapa inakuwa Bora visipone, hata anaetumbua atachoka tuSh. 350/ pungufu unaongea. Ila radi ya kumtoa vijipu mtu mwili mzima inauzwa laki. Kikipona kijipu kimoja vinaota vingine saba
Wapi nimemtaja Makonda ?kenge weweAcha upoyoyo, toa mfano wa rais mmoja aliyefanya hivyo! Ukiitwa utoe ushahidi wa kuhusika kwa Makonda utatoa ! Ujinga na chuki za kipumbavu ni vya hivyo Sana!
Machiavelli anakwambia ukipata madaraka hakikisha unawapoteza wale wote waliokuwezesha kuyapata madaraka hayo.Hii kanuni ipo kabisa... Na iliandikwa na great thinker muitaliano Machiavelli .
Nakubaliana na wewe kabisa... Ili wasije kuwa potential threat baadaye kwenye madaraka yakoMachiavelli anakwambia ukipata madaraka hakikisha unawapoteza wale wote waliokuwezesha kuyapata madaraka hayo.
Kenge so ndio ww, kwani huu Uzi unahusu Nini, na we una'support Nini!?Wapi nimemtaja Makonda ?kenge wewe
Mganga anapopata uhakika wa kutafuna kuku zako ukuaminisha ana dawa ya kuzuia kifoMuda ni mwalimu mzuri, wahenga walisema.
Kaa kimyaKenge so ndio ww, kwani huu Uzi unahusu Nini, na we una'support Nini!?
Tulia dawa iingie ebo!Kaa kimya
Bashite mbwa sana.Kuna vitu vinatokea kwa namna ya kipekee na ajabu kabisa. Ujio wa Lissu kurejea nyumbani akiwa bukheri wa afya una mengi ya kusimulia
Lissu aliyeondoka mahututi hajitambui kwenye machela baada ya kunusurika kifo cha risasi 36, anarejea nchini akiwa mwenye tabasamu na matumaini mengi.
Mtuhumiwa wake kwenye shambulio husika wakati huo alikuwa mwenye mamlaka na nguvu nyingi akiivinjari nchi atakavyo huku akifanya atakayo bila kuguswa na yeyote yule.
Leo hii Lissu anaporejea nchini mtuhumiwa wake si lolote si chochote tena(labda huko mbeleni) mtuhumiwa wake sasa ni mwananchi wa kawaida kabisa mwenye msongo wa mawazo huku sintofahamu ikimtawala kuhusu future yake. Anachosubiri kwasasa ni huruma ya mkulu kama kwa bahati mbaya wakiweza kufanya figisu.
Imagine leo hii Lissu anapokaribia kabisa kurudi mwana bado angekuwa na yale maguvu yake, sipati picha ingekuwaje. Kuna maanguko huja kwa hatua. Wazungu wanasema: A day when everything went wrong. Waswahel wanasema siku imeanza vibaya, na siku ya kufa nyani miti yote huteleza.
Umeteleza wa ubunge kwenye kura za wajumbe, unaweza kuteleza kwenye uteuzi, ama kwenye viti maalum.
Mambo huja kinyume. Wakati Lissu atakapokuwa kwenye msafara wa hiari, mwana atakuwa kajificha mahali na remote mkononi akiangalia kwa uchungu live updates za mbaya wake mwenye na uso wa tabasamu kubwa.
Machiavellian believes in “who has the power/money has the say.”Tulia dawa iingie ebo!