Ujirani Mwema: Rais Samia akosoa uamuzi uliowahi kufanywa kuchoma vifaranga vya Kenya

Ujirani Mwema: Rais Samia akosoa uamuzi uliowahi kufanywa kuchoma vifaranga vya Kenya

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
1638134023520.png

Katika kongamano la biashara lililofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam ambalo limehusisha viongozi wawili wakubwa ambao ni Rais wa Uganda Yoweri Museveni na Rais wa Tanzania Samia Hassan Suluhu.

Rais wa Tanzania Samia Suluhu amesema kwamba hakukuwa na haja ya kuchoma vifaranga waliokamatwa nchini Tanzania kutoka nchi jirani.

ule ulikuwa ni upuuzi wa kiwango cha lami.

Kwa hili nampongeza mama
emoji1488.png
 
Huyu mama namuombea sana afanikiwe kwenye jitihada zake, nchi haiwezi kuendeshwa kwa chuki.
Kwasababu mnalazimisha mahusiano na Tanzania, tuliwaambia Kenya bila Tanzania uchumi hamuwezi kufanya lolote, ona jinsi mnavyojidhalilisha kwa kufurahi hadharani kutokana na uongozi wa nchi isiyokua yako.

Hamna ujanja, Uganda ambao walikua wanunuzi wakubwa wa bidhaa zenu wameachana na Ninyi Sasa hivi wamegeukia Tanzania, Ethiopia imekua ni "failed state", Somalia mnakaribia kupigana vita, South Sudan ni fujo kwa kwenda mbele, nchi pekee iliyobaki ni Tanzania.
Tony254
 
Kuna bidhaa nyingi zinateketezwa kwa kuingia nchini bila kufuata utaratibu kulinda maslahi ya nchi.zipo taasisi za serikali zinakagua na kudhibiti mali zote zinazoenda nje au kuingia ndani. Udhibiti huu unalinda nchi kutokana na athari za magonjwa kwa wanyama na binadamu.

Hakuna nchi duniani hata Marekani unaweza kuruhusiwa kuingiza mnyama hai bila kufuata utaratibu halafu hao wanyama hai wasiteketezwe. Udhaifu wa ukaguzi wa mazao na mifugo ndo ulisababisha kuingia kwa mdudu Dumuzi ambaye anashambulia mazao ghalani ambaye mpaka sasa wakulima wanatumia fedha nyingi kumdhibiti. Dumuzi inasemekana aliingia nchini na chakula cha msaada toka nje ya nchi.
 
Kuna bidhaa nyingi zinateketezwa kwa kuingia nchini bila kufuata utaratibu kulinda maslahi ya nchi.zipo taasisi za serikali zinakagua na kudhibiti mali zote zinazoenda nje au kuingia ndani.udhibiti huu unalinda nchi kutokana na athari za magonjwa kwa wanyama na binadamu.Hakuna nchi duniani hata Marekani unaweza kuruhusiwa kuingiza mnyama hai bila kufuata utaratibu halafu hao wanyama hai wasiteketezwe...udhaifu wa ukaguzi wa mazao na mifugo ndo ulisababisha kuingia kwa mdudu Dumuzi ambaye anashambulia mazao ghalani ambaye mpaka sasa wakulima wanatumia fedha nyingi kumdhibiti.Dumuzi inasemekana aliingia nchini na chakula cha msaada toka nje ya nchi.
Kwa nini hamkuwarudisha na vifaranga wao? Kutetea ukatili ule kunahtaji na wewe uwe na roho ya kikatili kama aliyokuwa nayo Bwana yule toka Chato.
 
Kwa nini hamkuwarudisha na vifaranga wao? Kutetea ukatili ule kunahtaji na wewe uwe na roho ya kikatili kama aliyokuwa nayo Bwana yule toka Chato.
Mbona bidhaa bandia zinateketezwa bila kurudishwa zilikotoka, mara ngapi bidhaa bandia zenye thamani ya manilioni ya pesa zimechomwa moto bila kurudishwa zilikotoka?, Mbona vifaranga 12,000 toka Malawi vilichomwa moto kipindi cha Kikwete na hapakua na kelele?
 
Lile jinga lilikuwa linachukia Kenya sana. Mungu si Athumani. Mwenyezi Mungu alituondolea balaa. Sasa urafiki kati ya Kenya na Tanzania unazidi kunoga.
Hahahaha, ona jinsi mnavyochukulia Tanzania Kama nchi yenu, "Mungu ametuondolea", kwani ni rais wenu?, Tanzania rules East and Central Africa, bila Tanzania uchumi wenu lazima usambaratike[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mbona bidhaa bandia zinateketezwa bila kurudishwa zilikotoka, mara ngapi bidhaa bandia zenye thamani ya manilioni ya pesa zimechomwa moto bila kurudishwa zilikotoka?, Mbona vifaranga 12,000 toka Malawi vilichomwa moto kipindi cha Kikwete na hapakua na kelele?
Tuonyeshe clip ya hivyo vifaranga wakati wa kikwete
 
Uchomaji wa vifaranga ulikuwa ni unyama wa hali ya juu,maana mwenye mzigo aliomba virejeshwe,pia alidai mtaji alikuwa amekopa,ndg yangu hatukusikia LA muazini wala mnadi swala sisi kibangi bangi tukavipiga moto,Kwa ushauri wa mkuu wa mamlaka,its was a shameful deed
Kazi ya kuviteketeza imefanyika ikishuhudiwa na maofisa wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), Wizara ya Mifugo, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na vyombo vingine vya ulinzi na usalama.

Akizungumza wakati wa kuteketeza vifaranga hivyo, ofisa mfawidhi wa kituo cha udhibiti wa magonjwa ya mifugo Kanda ya Kaskazini, Obedi Nyasebwa amesema kazi hiyo imefanyika kwa kuzingatia "Sheria ya Magonjwa ya Wanyama namba 17 ya mwaka 2003. Pia, amesema Serikali mwaka 2007 ilitoa tangazo kupiga marufuku kuingizwa nchini vifaranga vya kuku na mayai."
 
Tuonyeshe clip ya hivyo vifaranga wakati wa kikwete
Onyesha ni nchi gani ambayo ilishakamata wanyama hai wakiingizwa nchini bila kufuata Sheria na wakarudishwa walikotoka, soma Sheria ya Tanzania yakudhibiti magonjwa ya wanyama inasemaje endapo mtu atakamatwa akiingiza wanyama hai bila kufuata taratibu hukumu yake ni ipi? (Ninakutafutia taarifa ya vifaranga vya Malawi vilivyochomwa)
 
Onyesha ni nchi gani ambayo ilishakamata wanyama hai wakiingizwa nchini bila kufuata Sheria na wakarudishwa walikotoka, soma Sheria ya Tanzania yakudhibiti magonjwa ya wanyama inasemaje endapo mtu atakamatwa akiingiza wanyama hai bila kufuata taratibu hukumu yake ni ipi?(Ninakutafutia taarifa ya vifaranga vya Malawi vilivyochomwa)
Sisi tunataka tuone ushaidi wakati wa kikwete vifaranga vilichomwa, hatutaki porojo tu.
 
Aki jpm, I hope you are burning in hell because ulikua rais jinga sana kwa viwango zote.
 
Hahahaha, ona jinsi mnavyochukulia Tanzania Kama nchi yenu, "Mungu ametuondolea", kwani ni rais wenu?, Tanzania rules East and Central Africa, bila Tanzania uchumi wenu lazima usambaratike[emoji23][emoji23][emoji23]
Nafikiri umekalia propaganda zaidi kuliko uhalisia.

Tunategemeana sana nchi zote za EAC. Hakuna aliye bora kuliko mwingine. Zaidi Kenya wanatuzidi kiuchumi na mengine. Labda kama unafanya ligi za ki communist tu
 
Nafikiri umekalia propaganda zaidi kuliko uhalisia.

Tunategemeana sana nchi zote za EAC. Hakuna aliye bora kuliko mwingine. Zaidi Kenya wanatuzidi kiuchumi na mengine. Labda kama unafanya ligi za ki communist tu

Sisi tunataka tuone ushaidi wakati wa kikwete vifaranga vilichomwa, hatutaki porojo tu.
joto la jiwe leo naona unapigwa na Watanzania wenzako. Unaendelea kumtetea Magu lwa udi na uvumba. Hahahaha
 
Back
Top Bottom