Ujirani mwingine ni kero tupu

Ujirani mwingine ni kero tupu

Kiukweli ni tabia mbaya sana kwa mtu kutokuwa na vipaumbele kwenye items muhimu sana kama panga, fyekeo, nyundo, plaiz nk
Nadhani ni tabia mbaya tu sio kwamba hawana uwezo. Kuna jirani yangu ana uwezo kuliko mimi lakini kutwa kuazima mpira wa maji, chepe na jembe kwangu.
 
Jirani unamuazima kiberiti harudishi.

Mwavuli wangu ulikuwa ukigusa kitufe unafyatuka, kumuazima jirani harudishi, kumdai kwa nguvu mwavuli unarudi ukiwa kiwa imepinda alafu kile kitufe hakifanyi kazi tena. Hadi nisukume mwavuli ndiyo ufunguke

Anaazima jagi la kupashia maji anarudisha likiwa haliwaki.

Anaazima brashi la kufulia harudishi.

Akichukua flash disc, Hadi umdai kwa Nguvu ndiyo arudishe ikiwa imemeguka kipande.

Ujirani mwingine ni kero tupu. Unaishije na jirani mpumbavu Kama huyu? Ana kipato kizuri lakini anapenda kuomba na kuharibu vitu vyangu tu
hujui kua kuna watu na viatu humu duniani?
Huenda huyo ni kiatu...
 
Jirani unamuazima kiberiti harudishi.

Mwavuli wangu ulikuwa ukigusa kitufe unafyatuka, kumuazima jirani harudishi, kumdai kwa nguvu mwavuli unarudi ukiwa kiwa imepinda alafu kile kitufe hakifanyi kazi tena. Hadi nisukume mwavuli ndiyo ufunguke

Anaazima jagi la kupashia maji anarudisha likiwa haliwaki.

Anaazima brashi la kufulia harudishi.

Akichukua flash disc, Hadi umdai kwa Nguvu ndiyo arudishe ikiwa imemeguka kipande.

Ujirani mwingine ni kero tupu. Unaishije na jirani mpumbavu Kama huyu? Ana kipato kizuri lakini anapenda kuomba na kuharibu vitu vyangu tu
Kwenye huu uzi kila mtu ni mtendwa, hakuna hata mmoja ambaye ni muazimaji. Kila mtu analalamika alimuazimisha mtu.

Au hao wanaoomba vitu hawapo humu na hawana smartphone? Kweli ubinadamu kazi
 
Jirani unamuazima kiberiti harudishi.

Mwavuli wangu ulikuwa ukigusa kitufe unafyatuka, kumuazima jirani harudishi, kumdai kwa nguvu mwavuli unarudi ukiwa kiwa imepinda alafu kile kitufe hakifanyi kazi tena. Hadi nisukume mwavuli ndiyo ufunguke

Anaazima jagi la kupashia maji anarudisha likiwa haliwaki.

Anaazima brashi la kufulia harudishi.

Akichukua flash disc, Hadi umdai kwa Nguvu ndiyo arudishe ikiwa imemeguka kipande.

Ujirani mwingine ni kero tupu. Unaishije na jirani mpumbavu Kama huyu? Ana kipato kizuri lakini anapenda kuomba na kuharibu vitu vyangu tu
Namnyima.

Kwanza ni uzembe wako mwenyewe mtu kukuzoea kiasi hicho cha kuvuka mipaka.
 
Kiukweli ni tabia mbaya sana kwa mtu kutokuwa na vipaumbele kwenye items muhimu sana kama panga, fyekeo, nyundo, plaiz nk
Bora hata panga na nyundo utasema vinatumika mara chache chache.
Yaani mtu anaazima jag la kuchemshia maji?
Unayekubali kumpa ndo mwenye matatizo.
 
Back
Top Bottom