Ujirani mwingine ni kero tupu

Ujirani mwingine ni kero tupu

Mpende jirani yako kama unavyojipenda wewe mwenyewe,imeandikwa
Jirani kama huyo fresh tu,na mimi nikifika kwake asbh sitoki mpaka nile chakula cha usiku ndio narudi kwangu
Win win situation philosophy [emoji1732][emoji16]
 
Jirani anaeazima kiberiti cha shilingi Mia huo ni uchawi,,,Bora aombe Moto tuu!!
Mkuu inatokea Huna hiyo shilingi 100 au unakuta unaenda kwa Mangi na 10k akupatie kiberiti cha sh 100 anakwambia chenji hana sasa utafanyaje kama siyo kwenda kuomba kwa jirani. Mkuu maisha ni kusaidiana Shida haichagui
 
Jirani unamuazima kiberiti harudishi.

Mwavuli wangu ulikuwa ukigusa kitufe unafyatuka, kumuazima jirani harudishi, kumdai kwa nguvu mwavuli unarudi ukiwa kiwa imepinda alafu kile kitufe hakifanyi kazi tena. Hadi nisukume mwavuli ndiyo ufunguke

Anaazima jagi la kupashia maji anarudisha likiwa haliwaki.

Anaazima brashi la kufulia harudishi.

Akichukua flash disc, Hadi umdai kwa Nguvu ndiyo arudishe ikiwa imemeguka kipande.

Ujirani mwingine ni kero tupu. Unaishije na jirani mpumbavu Kama huyu? Ana kipato kizuri lakini anapenda kuomba na kuharibu vitu vyangu tu
Muombe chezo, nwa wewe uharibu kifuniko chake
 
Jirani unamuazima kiberiti harudishi.

Mwavuli wangu ulikuwa ukigusa kitufe unafyatuka, kumuazima jirani harudishi, kumdai kwa nguvu mwavuli unarudi ukiwa kiwa imepinda alafu kile kitufe hakifanyi kazi tena. Hadi nisukume mwavuli ndiyo ufunguke

Anaazima jagi la kupashia maji anarudisha likiwa haliwaki.

Anaazima brashi la kufulia harudishi.

Akichukua flash disc, Hadi umdai kwa Nguvu ndiyo arudishe ikiwa imemeguka kipande.

Ujirani mwingine ni kero tupu. Unaishije na jirani mpumbavu Kama huyu? Ana kipato kizuri lakini anapenda kuomba na kuharibu vitu vyangu tu

Inaonekana unamazoea yaliyovuka mipaka. Hivi mtu anaanzaje kukuomba vitu kama hivyo?

Acha mazoea
 
Eneo unalokaa ndo shida, sio majirani, kama unaona sio eneo sahihi kwako, we hama, hamia kidogo chumba cha 65,000, hicho cha 30,000 lazima mshirikiane!!!!?? Ndo ujamaa kama tulivyoagizwa kwenye azimio la Arusha.
Tabia ni tabia tu atagonga tu nikama ngozi, anawashwa tu mpaka aombe au nikama ibada kwake.

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo roho ya ubinafsi ikutoke. Kiberiti sh 100 tu unalalamika kweli. Brush yabuku.???.
 
Nipo hapa,


Cha kushangaza huyu jiran yangu anazungumzia mapungufu yangu tu lkn ya kwake hayasemi kwa mfano mara kibao tu anakujaga kusonga ugali ktk gesi yangu akidai ya kwake imeisha na akimaliza hasafishi jiko na kila asubuh ananikurupusha nimpe lift ktk Toyota stout yangu ya mjin haijalish ninaratiba ya kutoka mapema au sina


Alitembelewa na nduguze walikuwa wanalala kwangu mwez mzima na muda mwingine misos nawasevia lkn mzee mzima nimekula buyu sijamwambia yoyote yule
Sasa kama unafanya yote hayo unashindwa nini kununua viberiti ukawa navyo kwako?

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu inatokea Huna hiyo shilingi 100 au unakuta unaenda kwa Mangi na 10k akupatie kiberiti cha sh 100 anakwambia chenji hana sasa utafanyaje kama siyo kwenda kuomba kwa jirani. Mkuu maisha ni kusaidiana Shida haichagui
Sasa ndiyo iwe kila siku? Wewe kila siku unapotumia huoni kama njiti zinapungua wakati unatumia kajiko kadogo ka gase?

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Sasa ndiyo iwe kila siku? Wewe kila siku unapotumia huoni kama njiti zinapungua wakati unatumia kajiko kadogo ka gase?

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Hivi kwa mf inatokea kiberiti chako kimelowa na maji na ukiangalia Huna hela ndgo, hivi utafanyaje kwa mfano eeeh? Ukizungumzia suala la kuomba kila siku hiyo na haiba ya mtu na mtu mkuu
 
Hivi kwa mf inatokea kiberiti chako kimelowa na maji na ukiangalia Huna hela ndgo, hivi utafanyaje kwa mfano eeeh? Ukizungumzia suala la kuomba kila siku hiyo na haiba ya mtu na mtu mkuu
Au wewe ndo jirani mwenyewe 🤣😆
 
Hivi kwa mf inatokea kiberiti chako kimelowa na maji na ukiangalia Huna hela ndgo, hivi utafanyaje kwa mfano eeeh? Ukizungumzia suala la kuomba kila siku hiyo na haiba ya mtu na mtu mkuu
Huyo mkuu kasema si kiberiti tu ni kila kitu, halafu ndiyo iwe kila mara?

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Mimi majirani zangu uwa hawanielewi.
Baada ya salam ndanii. Baada ya salam sipo nimetoka. kuna wakati bora nilale njaa lakini sio kuanza kujenga mazoea na majirani.
Utaambiwa unaringa na likitokea tukio lolote kama msiba hawakuambii
Wanafanya kukukomoa
 
Back
Top Bottom