Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Hakuna jipya chini ya jua.Bado haujasema...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna jipya chini ya jua.Bado haujasema...
Huwezi jua pengine jilani anatumia nguvu za kichawi kuomba basi mwenzangu na mimi anajikuta anatoa meno yote thelasini na nje ndani. Hii Dunia mkuu hii Acha tuuHuyo unamchekea!
Win win situation philosophy [emoji1732][emoji16]Mpende jirani yako kama unavyojipenda wewe mwenyewe,imeandikwa
Jirani kama huyo fresh tu,na mimi nikifika kwake asbh sitoki mpaka nile chakula cha usiku ndio narudi kwangu
Mkuu inatokea Huna hiyo shilingi 100 au unakuta unaenda kwa Mangi na 10k akupatie kiberiti cha sh 100 anakwambia chenji hana sasa utafanyaje kama siyo kwenda kuomba kwa jirani. Mkuu maisha ni kusaidiana Shida haichaguiJirani anaeazima kiberiti cha shilingi Mia huo ni uchawi,,,Bora aombe Moto tuu!!
Muombe chezo, nwa wewe uharibu kifuniko chakeJirani unamuazima kiberiti harudishi.
Mwavuli wangu ulikuwa ukigusa kitufe unafyatuka, kumuazima jirani harudishi, kumdai kwa nguvu mwavuli unarudi ukiwa kiwa imepinda alafu kile kitufe hakifanyi kazi tena. Hadi nisukume mwavuli ndiyo ufunguke
Anaazima jagi la kupashia maji anarudisha likiwa haliwaki.
Anaazima brashi la kufulia harudishi.
Akichukua flash disc, Hadi umdai kwa Nguvu ndiyo arudishe ikiwa imemeguka kipande.
Ujirani mwingine ni kero tupu. Unaishije na jirani mpumbavu Kama huyu? Ana kipato kizuri lakini anapenda kuomba na kuharibu vitu vyangu tu
Huyo Mchaga anakwama wapi?Ni kweli. Umejuaje?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukimuazima mke ndio usahau kabisaaa
Jirani unamuazima kiberiti harudishi.
Mwavuli wangu ulikuwa ukigusa kitufe unafyatuka, kumuazima jirani harudishi, kumdai kwa nguvu mwavuli unarudi ukiwa kiwa imepinda alafu kile kitufe hakifanyi kazi tena. Hadi nisukume mwavuli ndiyo ufunguke
Anaazima jagi la kupashia maji anarudisha likiwa haliwaki.
Anaazima brashi la kufulia harudishi.
Akichukua flash disc, Hadi umdai kwa Nguvu ndiyo arudishe ikiwa imemeguka kipande.
Ujirani mwingine ni kero tupu. Unaishije na jirani mpumbavu Kama huyu? Ana kipato kizuri lakini anapenda kuomba na kuharibu vitu vyangu tu
Kwamba?Huyo atakuwa ni mchaga.
Tabia ni tabia tu atagonga tu nikama ngozi, anawashwa tu mpaka aombe au nikama ibada kwake.Eneo unalokaa ndo shida, sio majirani, kama unaona sio eneo sahihi kwako, we hama, hamia kidogo chumba cha 65,000, hicho cha 30,000 lazima mshirikiane!!!!?? Ndo ujamaa kama tulivyoagizwa kwenye azimio la Arusha.
Sasa kama unafanya yote hayo unashindwa nini kununua viberiti ukawa navyo kwako?Nipo hapa,
Cha kushangaza huyu jiran yangu anazungumzia mapungufu yangu tu lkn ya kwake hayasemi kwa mfano mara kibao tu anakujaga kusonga ugali ktk gesi yangu akidai ya kwake imeisha na akimaliza hasafishi jiko na kila asubuh ananikurupusha nimpe lift ktk Toyota stout yangu ya mjin haijalish ninaratiba ya kutoka mapema au sina
Alitembelewa na nduguze walikuwa wanalala kwangu mwez mzima na muda mwingine misos nawasevia lkn mzee mzima nimekula buyu sijamwambia yoyote yule
Sasa ndiyo iwe kila siku? Wewe kila siku unapotumia huoni kama njiti zinapungua wakati unatumia kajiko kadogo ka gase?Mkuu inatokea Huna hiyo shilingi 100 au unakuta unaenda kwa Mangi na 10k akupatie kiberiti cha sh 100 anakwambia chenji hana sasa utafanyaje kama siyo kwenda kuomba kwa jirani. Mkuu maisha ni kusaidiana Shida haichagui
Hivi kwa mf inatokea kiberiti chako kimelowa na maji na ukiangalia Huna hela ndgo, hivi utafanyaje kwa mfano eeeh? Ukizungumzia suala la kuomba kila siku hiyo na haiba ya mtu na mtu mkuuSasa ndiyo iwe kila siku? Wewe kila siku unapotumia huoni kama njiti zinapungua wakati unatumia kajiko kadogo ka gase?
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Au wewe ndo jirani mwenyewe 🤣😆Hivi kwa mf inatokea kiberiti chako kimelowa na maji na ukiangalia Huna hela ndgo, hivi utafanyaje kwa mfano eeeh? Ukizungumzia suala la kuomba kila siku hiyo na haiba ya mtu na mtu mkuu
Huyo mkuu kasema si kiberiti tu ni kila kitu, halafu ndiyo iwe kila mara?Hivi kwa mf inatokea kiberiti chako kimelowa na maji na ukiangalia Huna hela ndgo, hivi utafanyaje kwa mfano eeeh? Ukizungumzia suala la kuomba kila siku hiyo na haiba ya mtu na mtu mkuu
Hapana siyo mimi ila nimejaribu kuvaa uhusikaAu wewe ndo jirani mwenyewe 🤣😆
Itakuwa ndiyo mwenyeweAu wewe ndo jirani mwenyewe [emoji1787][emoji38]
Utaambiwa unaringa na likitokea tukio lolote kama msiba hawakuambiiMimi majirani zangu uwa hawanielewi.
Baada ya salam ndanii. Baada ya salam sipo nimetoka. kuna wakati bora nilale njaa lakini sio kuanza kujenga mazoea na majirani.