Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,913
- 5,318
Nadhani ni tabia mbaya tu sio kwamba hawana uwezo. Kuna jirani yangu ana uwezo kuliko mimi lakini kutwa kuazima mpira wa maji, chepe na jembe kwangu.Kiukweli ni tabia mbaya sana kwa mtu kutokuwa na vipaumbele kwenye items muhimu sana kama panga, fyekeo, nyundo, plaiz nk
Mfyuuu ππππ hapana sio hiyo
Mfyuuugu πMfyuuu πππ
Kwendraaaaaa πππMfyuuugu π
hujui kua kuna watu na viatu humu duniani?Jirani unamuazima kiberiti harudishi.
Mwavuli wangu ulikuwa ukigusa kitufe unafyatuka, kumuazima jirani harudishi, kumdai kwa nguvu mwavuli unarudi ukiwa kiwa imepinda alafu kile kitufe hakifanyi kazi tena. Hadi nisukume mwavuli ndiyo ufunguke
Anaazima jagi la kupashia maji anarudisha likiwa haliwaki.
Anaazima brashi la kufulia harudishi.
Akichukua flash disc, Hadi umdai kwa Nguvu ndiyo arudishe ikiwa imemeguka kipande.
Ujirani mwingine ni kero tupu. Unaishije na jirani mpumbavu Kama huyu? Ana kipato kizuri lakini anapenda kuomba na kuharibu vitu vyangu tu
Nipo jirani na ulipo hapa πKwendraaaaaa πππ
Jirani uko wapi ukaninulie biriani
Tule biriani tushibe jirani afu tukaianze weekend kwa dojo na domo kaya au sio??πππNipo jirani na ulipo hapa π
Kwenye huu uzi kila mtu ni mtendwa, hakuna hata mmoja ambaye ni muazimaji. Kila mtu analalamika alimuazimisha mtu.Jirani unamuazima kiberiti harudishi.
Mwavuli wangu ulikuwa ukigusa kitufe unafyatuka, kumuazima jirani harudishi, kumdai kwa nguvu mwavuli unarudi ukiwa kiwa imepinda alafu kile kitufe hakifanyi kazi tena. Hadi nisukume mwavuli ndiyo ufunguke
Anaazima jagi la kupashia maji anarudisha likiwa haliwaki.
Anaazima brashi la kufulia harudishi.
Akichukua flash disc, Hadi umdai kwa Nguvu ndiyo arudishe ikiwa imemeguka kipande.
Ujirani mwingine ni kero tupu. Unaishije na jirani mpumbavu Kama huyu? Ana kipato kizuri lakini anapenda kuomba na kuharibu vitu vyangu tu
Wewe tu jirani yangu πTule biriani tushibe jirani afu tukaianze weekend kwa dojo na domo kaya au sio??πππ
π€£π€£π€£ unavyofurahi jirani mpk jino la mwisho unahisi itatokea ki rikiboy mfyuuu!!Wewe tu jirani yangu π
Nunua vya miatano hawezi koza chenjiMkuu inatokea Huna hiyo shilingi 100 au unakuta unaenda kwa Mangi na 10k akupatie kiberiti cha sh 100 anakwambia chenji hana sasa utafanyaje kama siyo kwenda kuomba kwa jirani. Mkuu maisha ni kusaidiana Shida haichagui
Kwani ikitokea ivo si ni sawa tu kikiumana πππ€£π€£π€£ unavyofurahi jirani mpk jino la mwisho unahisi itatokea ki rikiboy mfyuuu!!
Nimegundua jirani wewe sio mtu mzuri kabisa ππKwani ikitokea ivo si ni sawa tu kikiumana ππ
Ujue wenzio wananiwinda sana bila mafanikio
Namnyima.Jirani unamuazima kiberiti harudishi.
Mwavuli wangu ulikuwa ukigusa kitufe unafyatuka, kumuazima jirani harudishi, kumdai kwa nguvu mwavuli unarudi ukiwa kiwa imepinda alafu kile kitufe hakifanyi kazi tena. Hadi nisukume mwavuli ndiyo ufunguke
Anaazima jagi la kupashia maji anarudisha likiwa haliwaki.
Anaazima brashi la kufulia harudishi.
Akichukua flash disc, Hadi umdai kwa Nguvu ndiyo arudishe ikiwa imemeguka kipande.
Ujirani mwingine ni kero tupu. Unaishije na jirani mpumbavu Kama huyu? Ana kipato kizuri lakini anapenda kuomba na kuharibu vitu vyangu tu
Bora hata panga na nyundo utasema vinatumika mara chache chache.Kiukweli ni tabia mbaya sana kwa mtu kutokuwa na vipaumbele kwenye items muhimu sana kama panga, fyekeo, nyundo, plaiz nk
Kwanini jirani πNimegundua jirani wewe sio mtu mzuri kabisa ππ
Una mawazo ya kishetani jirani πKwanini jirani π
Uje tuyakemee mpaka tukajimwagie maji kwa uchovu ππUna mawazo ya kishetani jirani π
Huyo atakuwa Bi tozoHuyo atakuwa ni mchaga.
πππKhaaaSiku nyingine akija kukuazima jagi, mpe hilo bovu...
Akija kukuazima kiberiti, mpe chenye njiti zilizotumika...
Akikuazima mwamvuli, mpe ulio mbovu...
N.k