Ujuaji wa Wakenya wageuka kero, watamani upoyoyo wa Watanzania

Ujuaji wa Wakenya wageuka kero, watamani upoyoyo wa Watanzania

Mleta mada anahisi labda kasiwa, akili hizi bana!!

Nachukia sana haya matusi ya rejareja, watannzania tutakuwa mbumbumbu mpaka lini?
 
Yaani kuongea kiingereza ndio usomi?
Kumbe nn? Unawezaje kuyapata maarifa sahihi kama lugha inayotumika kifundishia huijui.

Ukikijua kiingereza utayapata maarifa mengi kuliko ukiwa hukijui halafu maarifa yamefichwa kwenye kiingereza.

Acheni kupotoshana
 
Umefika maeneo ya Turkana na Garisa wewe ?
Kama ni miji hii tu nchini Kenya yenye umaskini uliyotopea, basi wako vizuri mno kuliko Tanzania. Hapa Tanzania ni nchi nzima ina hali mbaya kimaisha
 
na kingine ni kuwa utawala wetu hauruhusu mtu kuwa jasiri. Unadhoofisha spirits za kujiamini sababu ya mabavu.
Umeanza muda mrefu sana hii kitu, nadhani tangu Uhuru.
Kambona, Kasangatumbo, Tuntemeke Sanga, ...wakati wa Nyerere.

Wakaja akina Lamwai, Mvungi, Ulimboka, Alphonce Mawazo ......Mkapa na Kkwete.

Wakaja akina Lisu, Sa8, Azory ,na wengine wengi wakati wa jiwe.

Haya yote yanaviza ari na moyo wa kujiamini.
 
Mleta mada anahisi labda kasiwa, akili hizi bana!!

Nachukia sana haya matusi ya rejareja, watannzania tutakuwa mbumbumbu mpaka lini?
Nisome katikati ya mistari. Wewe ndiye mumbavu lkn hujui Kama ni mpumbavu.
 
Kenya Elimu yao imechangamka sana TOFAUTI NA KWETU. Hata akili zao ZIMECHANGAMKA kuliko sisi. Hata ktk suala la kujiamini AKISIMAMA MKENYA NA MBONGO UTAGUNDUA MBABAISHAJI NI MBONGO ILA WENZETU WANAJIAMINI SANA NA NDIO MAANA WAPO KTK international ORGANIZATION NYINGI NJE TOFAUTI NA MBONGO. TULICHOWAZIDI KENYA NI SUALA LA UMOJA BILA UKABILA, AMBAYO NI TUNU TULIYOLETEWA NA MUNGU KUPITIA NYERERE. HILO TU NDILO TUNALOMZIDI KENYA LAKINI KIUHALISIA SISI NI WAJINGA SANA
Ujinga wa watanzania umetokana na mfumo na aina ya elimu inayotolewa na shule zetu.
Elimu ya Kenya kwa eneo kubwa imelenga kumwandaa mtoto kujitambua na baadae kujitegemea, wakati ya huku imelenga kuutambua na kuuheshimu utawala uliopo ili ukupe riziki.

Jambo ambalo limeirahisishia ccm kuweza kutukandamiza iwezavyo na kuweza kudumu madarakani kwa kipindi kirefu kuliko chama kingine cha siasa barani Afrika.
 
Umeanza muda mrefu sana hii kitu, nadhani tangu Uhuru.
Kambona, Kasangatumbo, Tuntemeke Sanga, ...wakati wa Nyerere.

Wakaja akina Lamwai, Mvungi, Ulimboka, Alphonce Mawazo ......Mkapa na Kkwete.

Wakaja akina Lisu, Sa8, Azory ,na wengine wengi wakati wa jiwe.

Haya yote yanaviza ari na moyo wa kujiamini.
Inaonekana ukiwa na mawazo tofauti wewe ni mhaini na mhalifu
 
Kenya Elimu yao imechangamka sana TOFAUTI NA KWETU. Hata akili zao ZIMECHANGAMKA kuliko sisi. Hata ktk suala la kujiamini AKISIMAMA MKENYA NA MBONGO UTAGUNDUA MBABAISHAJI NI MBONGO ILA WENZETU WANAJIAMINI SANA NA NDIO MAANA WAPO KTK international ORGANIZATION NYINGI NJE TOFAUTI NA MBONGO. TULICHOWAZIDI KENYA NI SUALA LA UMOJA BILA UKABILA, AMBAYO NI TUNU TULIYOLETEWA NA MUNGU KUPITIA NYERERE. HILO TU NDILO TUNALOMZIDI KENYA LAKINI KIUHALISIA SISI NI WAJINGA SANA
Kwanza wewe ndo mjinga! Wakenya are so much indoctrinated than being educated..
What is education? Kujiona tofauti na mwenzako kwa ukanda, ukabila, udini na upumbavu mwingine ni kipimo tosha kuwa hujitambui.
Na kuziondoa hizo tofauti za rangi, dini , ukanda, ukabila nk na kutambua kuwa binadamu wote ni sawa ndo elimu bora kuliko zote
 
Elimu ya Msingi iwe kiingereza nchi nzima
Afu ndo mtaona Wakenya ni wepesi kama karatasi
 
Wamesoma wapi? Elimu ya form four unaingia chuo kikuu?

Kwa taarifa yako wakenya wanatamani na wanafuatilia kila kitu kinachoendelea Tanzania na wanatamani na wanaiga kila kitu kuanzia, muziki, siasa , michezo na hata dini. Kwaya za Tanzania zina trend zaidi Kenya kuliko bongo. Wao wana mamidundo yao ya kienyeji kama yule anayegaragata kwenye matope na masuti ya kijaluo ya kijani na nyekundu sijui anaitwa embarambamba?

Wamesoma wapi? Elimu ya form four unaingia chuo kikuu?

Kwa taarifa yako wakenya wanatamani na wanafuatilia kila kitu kinachoendelea Tanzania na wanatamani na wanaiga kila kitu kuanzia, muziki, siasa , michezo na hata dini. Kwaya za Tanzania zina trend zaidi Kenya kuliko bongo. Wao wana mamidundo yao ya kienyeji kama yule anayegaragata kwenye matope na masuti ya kijaluo ya kijani na nyekundu sijui anaitwa embarambamba?
Mkuu sio kweli kwenye michezo Kenya wametuzidi mbali sana,sana medali lukuki kuzidi sisi na wamekulikana Duniani kutokana na hiyo michezo,hata kwa mpira wa miguu bado wapo mbele yetu.Huko kwenye siasa ndio wametuacha sana.

Kenya tunawazidi kwenye mziki tu wa bongo fleva na injili na hiyo ni kwa sababu sisi mambo ya maana hatuyatilii mkazo.
 
Elimu ya Msingi iwe kiingereza nchi nzima
Afu ndo mtaona Wakenya ni wepesi kama karatasi
Hili swala lilimshinda Nyerere aliendanalo kwa pupa,ni kweli kabisa Mataifa mengi yanayoendelea kiteknolojia ni yale yanayotumia lugha yake angalia Germany,Russia,China,South Korea,North Korea,Irani,uswiz,Norway,Sweden,Finaland,Denmark lugha zao ndio kila kitu.Masomo yanafundishwa kwa lugha zao-yani unakuwa unaelewa vitu kwa undani katika lugha uliuokulia na kwa njia hii wanafunzi ni rahisi kugundua vitu.
Sasa ukija huku kwetu watoto akiwa na 2yrs-7 yes ndipo anakiwa anaelewa lugha vizuri,hapo katikati unambadilishia tena lugha-halafu utegemee maendeleo??
 
Hili swala LA lugha linabidi lichukuliwe serious ni either tuanze na kiingereza toka chekechea hadi university au tuanze na Kiswahili kuanzia chekechea-hadi university.
 
View attachment 2331670
This comes in the wake of ongoing wrangling for 9th August 2022 general election.

Many kenyans are unhappy with this dispute as it disrupts the smooth run of their businesses.
yaani tangu lini "upoyoyo" ukawa wa maana zaidi ya "ujuaji"?

Tanzania tumejiweka na kuamini sisi level yetu ni "upoyoyo" hivyo we accept mediocrity kama our normal!

And threads like this,inaonesha some of our people are really trumping mediocrity namna hii
 
Hili swala lilimshinda Nyerere aliendanalo kwa pupa,ni kweli kabisa Mataifa mengi yanayoendelea kiteknolojia ni yale yanayotumia lugha yake angalia Germany,Russia,China,South Korea,North Korea,Irani,uswiz,Norway,Sweden,Finaland,Denmark lugha zao ndio kila kitu.Masomo yanafundishwa kwa lugha zao-yani unakuwa unaelewa vitu kwa undani katika lugha uliuokulia na kwa njia hii wanafunzi ni rahisi kugundua vitu.
Sasa ukija huku kwetu watoto akiwa na 2yrs-7 yes ndipo anakiwa anaelewa lugha vizuri,hapo katikati unambadilishia tena lugha-halafu utegemee maendeleo??
Its too late kukomaa na Kiswahili zama hizi
We js need to join the technologies na ni kiingereza hicho
 
Back
Top Bottom