Ujue kwa ufupi: Mkataba wa Songas na TANESCO unaotarajiwa kufika tamati Julai 2024

Ujue kwa ufupi: Mkataba wa Songas na TANESCO unaotarajiwa kufika tamati Julai 2024

1. Songas kampuni binafsi iliyoingia mkataba wa kuzalisha umeme na kuiuzia TANESCO mwaka 2004 kwa kutumia mitambo ya gesi. Songas iko Ubungo mataa kama unaatokea Mwenge kwenda Riverside ama Buguruni.

2. Songas ilianzishwa kwa mtaji wa Dola milioni 306, yaani 75% ( Serikali ya Tanzania kupitia mkopo) na 25% mtaji. Kwa maana serikali ya Tanzania ilichangia 75% ya mtaji ama Dola 234M kuanzia kampuni na Globeleq kampuni inayomilikiwa na Uingireza na Norway kuchangia 25% sawa na Dola 72M.

3. Serikali ya Tanzania ilichukua mkopo wa Dolar 234m ili kuchangia kuanzia kampuni ya Songas kutoka Benki ya Dunia (Dola183m) na Benki ya Umoja wa Ulaya (Dola 51m).

4. Serikali ya Tanzania inaimiliki hisa 40% ya kampuni ya songas pamoja na kwamba ndio ilichangia sehemu kubwa ya kuanzisha Songas. 75/25 lakini sasa inamiliki 40% tu.

5. Pamoja na serikali ya Tanzania kuchangia 75% ya kuanzishwa kwa Songas, bado mitambo inabaki kua mali ya Songas baada ya mkataba kuisha mwaka 2024.

6. Mkataba wa Songas ulipaswa uwe ni build, operate and transfer lakini uko build, own and operate.

7. Tanzania tayari imelipa mkopo wote wa dola 234 lakini Songas bado sio mali yake. Hii ni kama Pride Tanzania. Serikali ilitoa mtaji 100% kuanzisha Pride Tanzania lakini baadae ikaja kuonekana Pride Tanzania ni mali ya Iddi Simba😂.

8. Pamoja na kwamba serikali ya Tanzania ilichukua mkopo kutoka WB na EIB lakini riba ilikua kubwa kuliko hata mikopo ya kibiashara ama Commercial loans.

9. Mkataba wa Songas ulikua wa miaka 20 ambao unaisha muda wake July 2024.

Je serikali itaongeza mkataba wa Songas, je isipoongeza na imelipa mkopo wote na bado mitambo sio yake itakuaje?

Soma zaidi.

View: https://twitter.com/TheChanzo/status/1789333999564841115?s=19

Chadema wanakuja kutukana,wakiwa na viakili kidogo leo watahoji kuhusu muungano
 
Umenikumbusha na yale magari zaidi ya Mia yaliyoagizwa kwa anwani ya ikulu.. JPM aliishia kuyagawa polisi.

Hawa watu wakiwa nje ya system wanakua na ngozi ya kondoo wakishaingia tu ndo unajua kumbee ni mbwa mwitu wakali
Yapo Magari Yalinunuliwa Serikali Ilitoa Pesa Kununua Mapya
Wao Wakanunua Used Na Kurudisha Nyuma Kilometres
Wabaya Sana
 
unafikiri kwa nini akina tundu lisu &co. wanamshambulia raisi samia sasa hivi ? timing is everything.
hapo ujue wameshaona dalili za samia kutokokuongeza mkataba na songas yao na siajabu kuwapa waarabu au irani, hakuna mtu corrupt na evil nchi hii kama tundu lisu…
Stupid x 100000000000000000.
 
1. Songas kampuni binafsi iliyoingia mkataba wa kuzalisha umeme na kuiuzia TANESCO mwaka 2004 kwa kutumia mitambo ya gesi. Songas iko Ubungo mataa kama unaatokea Mwenge kwenda Riverside ama Buguruni.

2. Songas ilianzishwa kwa mtaji wa Dola milioni 306, yaani 75% ( Serikali ya Tanzania kupitia mkopo) na 25% mtaji. Kwa maana serikali ya Tanzania ilichangia 75% ya mtaji ama Dola 234M kuanzia kampuni na Globeleq kampuni inayomilikiwa na Uingireza na Norway kuchangia 25% sawa na Dola 72M.

3. Serikali ya Tanzania ilichukua mkopo wa Dolar 234m ili kuchangia kuanzia kampuni ya Songas kutoka Benki ya Dunia (Dola183m) na Benki ya Umoja wa Ulaya (Dola 51m).

4. Serikali ya Tanzania inaimiliki hisa 40% ya kampuni ya songas pamoja na kwamba ndio ilichangia sehemu kubwa ya kuanzisha Songas. 75/25 lakini sasa inamiliki 40% tu.

5. Pamoja na serikali ya Tanzania kuchangia 75% ya kuanzishwa kwa Songas, bado mitambo inabaki kua mali ya Songas baada ya mkataba kuisha mwaka 2024.

6. Mkataba wa Songas ulipaswa uwe ni build, operate and transfer lakini uko build, own and operate.

7. Tanzania tayari imelipa mkopo wote wa dola 234 lakini Songas bado sio mali yake. Hii ni kama Pride Tanzania. Serikali ilitoa mtaji 100% kuanzisha Pride Tanzania lakini baadae ikaja kuonekana Pride Tanzania ni mali ya Iddi Simba😂.

8. Pamoja na kwamba serikali ya Tanzania ilichukua mkopo kutoka WB na EIB lakini riba ilikua kubwa kuliko hata mikopo ya kibiashara ama Commercial loans.

9. Mkataba wa Songas ulikua wa miaka 20 ambao unaisha muda wake July 2024.

Je serikali itaongeza mkataba wa Songas, je isipoongeza na imelipa mkopo wote na bado mitambo sio yake itakuaje?

Soma zaidi.

View: https://twitter.com/TheChanzo/status/1789333999564841115?s=19

Ngoja Lucas Mwaashambwa aje na mkataba halisi.
 
unafikiri kwa nini akina tundu lisu &co. wanamshambulia raisi samia sasa hivi ? timing is everything.
hapo ujue wameshaona dalili za samia kutokokuongeza mkataba na songas yao na siajabu kuwapa waarabu au irani, hakuna mtu corrupt na evil nchi hii kama tundu lisu…
Hivi huyu TUNDU LISU NI KATIBU MKUU WIZARA GANI VILE HAPA TANGANYIKA?
 
Mbowe ndio alisaini huo mkataba. Kila siku nawaambia Chadema sio wa kuwapa nchi.
 
1. Songas kampuni binafsi iliyoingia mkataba wa kuzalisha umeme na kuiuzia TANESCO mwaka 2004 kwa kutumia mitambo ya gesi. Songas iko Ubungo mataa kama unaatokea Mwenge kwenda Riverside ama Buguruni.

2. Songas ilianzishwa kwa mtaji wa Dola milioni 306, yaani 75% ( Serikali ya Tanzania kupitia mkopo) na 25% mtaji. Kwa maana serikali ya Tanzania ilichangia 75% ya mtaji ama Dola 234M kuanzia kampuni na Globeleq kampuni inayomilikiwa na Uingireza na Norway kuchangia 25% sawa na Dola 72M.

3. Serikali ya Tanzania ilichukua mkopo wa Dolar 234m ili kuchangia kuanzia kampuni ya Songas kutoka Benki ya Dunia (Dola183m) na Benki ya Umoja wa Ulaya (Dola 51m).

4. Serikali ya Tanzania inaimiliki hisa 40% ya kampuni ya songas pamoja na kwamba ndio ilichangia sehemu kubwa ya kuanzisha Songas. 75/25 lakini sasa inamiliki 40% tu.

5. Pamoja na serikali ya Tanzania kuchangia 75% ya kuanzishwa kwa Songas, bado mitambo inabaki kua mali ya Songas baada ya mkataba kuisha mwaka 2024.

6. Mkataba wa Songas ulipaswa uwe ni build, operate and transfer lakini uko build, own and operate.

7. Tanzania tayari imelipa mkopo wote wa dola 234 lakini Songas bado sio mali yake. Hii ni kama Pride Tanzania. Serikali ilitoa mtaji 100% kuanzisha Pride Tanzania lakini baadae ikaja kuonekana Pride Tanzania ni mali ya Iddi Simba😂.

8. Pamoja na kwamba serikali ya Tanzania ilichukua mkopo kutoka WB na EIB lakini riba ilikua kubwa kuliko hata mikopo ya kibiashara ama Commercial loans.

9. Mkataba wa Songas ulikua wa miaka 20 ambao unaisha muda wake July 2024.

Je serikali itaongeza mkataba wa Songas, je isipoongeza na imelipa mkopo wote na bado mitambo sio yake itakuaje?

Soma zaidi.

View: https://twitter.com/TheChanzo/status/1789333999564841115?s=19

Huyo bibi kwenye picha anahusikaje na mkataba
 
1. Songas kampuni binafsi iliyoingia mkataba wa kuzalisha umeme na kuiuzia TANESCO mwaka 2004 kwa kutumia mitambo ya gesi. Songas iko Ubungo mataa kama unaatokea Mwenge kwenda Riverside ama Buguruni.

2. Songas ilianzishwa kwa mtaji wa Dola milioni 306, yaani 75% ( Serikali ya Tanzania kupitia mkopo) na 25% mtaji. Kwa maana serikali ya Tanzania ilichangia 75% ya mtaji ama Dola 234M kuanzia kampuni na Globeleq kampuni inayomilikiwa na Uingireza na Norway kuchangia 25% sawa na Dola 72M.

3. Serikali ya Tanzania ilichukua mkopo wa Dolar 234m ili kuchangia kuanzia kampuni ya Songas kutoka Benki ya Dunia (Dola183m) na Benki ya Umoja wa Ulaya (Dola 51m).

4. Serikali ya Tanzania inaimiliki hisa 40% ya kampuni ya songas pamoja na kwamba ndio ilichangia sehemu kubwa ya kuanzisha Songas. 75/25 lakini sasa inamiliki 40% tu.

5. Pamoja na serikali ya Tanzania kuchangia 75% ya kuanzishwa kwa Songas, bado mitambo inabaki kua mali ya Songas baada ya mkataba kuisha mwaka 2024.

6. Mkataba wa Songas ulipaswa uwe ni build, operate and transfer lakini uko build, own and operate.

7. Tanzania tayari imelipa mkopo wote wa dola 234 lakini Songas bado sio mali yake. Hii ni kama Pride Tanzania. Serikali ilitoa mtaji 100% kuanzisha Pride Tanzania lakini baadae ikaja kuonekana Pride Tanzania ni mali ya Iddi Simba😂.

8. Pamoja na kwamba serikali ya Tanzania ilichukua mkopo kutoka WB na EIB lakini riba ilikua kubwa kuliko hata mikopo ya kibiashara ama Commercial loans.

9. Mkataba wa Songas ulikua wa miaka 20 ambao unaisha muda wake July 2024.

Je serikali itaongeza mkataba wa Songas, je isipoongeza na imelipa mkopo wote na bado mitambo sio yake itakuaje?

Soma zaidi.

View: https://twitter.com/TheChanzo/status/1789333999564841115?s=19

Baada ya miaka 30 tutakuja tena na uchambuzi kama huu kwenye bandari.
 
Na idd Simba alikuwa ni mburundi aliyehamia kigoma na kubadili Dini kuwa Muslim,na Hata SS sishangai VP kuwa mburundi
 
1. Songas kampuni binafsi iliyoingia mkataba wa kuzalisha umeme na kuiuzia TANESCO mwaka 2004 kwa kutumia mitambo ya gesi. Songas iko Ubungo mataa kama unaatokea Mwenge kwenda Riverside ama Buguruni.

2. Songas ilianzishwa kwa mtaji wa Dola milioni 306, yaani 75% ( Serikali ya Tanzania kupitia mkopo) na 25% mtaji. Kwa maana serikali ya Tanzania ilichangia 75% ya mtaji ama Dola 234M kuanzia kampuni na Globeleq kampuni inayomilikiwa na Uingireza na Norway kuchangia 25% sawa na Dola 72M.

3. Serikali ya Tanzania ilichukua mkopo wa Dolar 234m ili kuchangia kuanzia kampuni ya Songas kutoka Benki ya Dunia (Dola183m) na Benki ya Umoja wa Ulaya (Dola 51m).

4. Serikali ya Tanzania inaimiliki hisa 40% ya kampuni ya songas pamoja na kwamba ndio ilichangia sehemu kubwa ya kuanzisha Songas. 75/25 lakini sasa inamiliki 40% tu.

5. Pamoja na serikali ya Tanzania kuchangia 75% ya kuanzishwa kwa Songas, bado mitambo inabaki kua mali ya Songas baada ya mkataba kuisha mwaka 2024.

6. Mkataba wa Songas ulipaswa uwe ni build, operate and transfer lakini uko build, own and operate.

7. Tanzania tayari imelipa mkopo wote wa dola 234 lakini Songas bado sio mali yake. Hii ni kama Pride Tanzania. Serikali ilitoa mtaji 100% kuanzisha Pride Tanzania lakini baadae ikaja kuonekana Pride Tanzania ni mali ya Iddi Simba😂.

8. Pamoja na kwamba serikali ya Tanzania ilichukua mkopo kutoka WB na EIB lakini riba ilikua kubwa kuliko hata mikopo ya kibiashara ama Commercial loans.

9. Mkataba wa Songas ulikua wa miaka 20 ambao unaisha muda wake July 2024.

Je serikali itaongeza mkataba wa Songas, je isipoongeza na imelipa mkopo wote na bado mitambo sio yake itakuaje?

Soma zaidi.

View: https://twitter.com/TheChanzo/status/1789333999564841115?s=19

Kuna kiwanda cha kuchakata gesi, bomba la kusafirisha gesi na mitambo ya kufua umeme, bado bomba kwenda wazo cement.
Hivyo vingine mikataba yake umiliki utakuwaje baada ya July 2024?
 
Yaani hapo mama ni kukabidhi mtambo kwa tanesco hakuna cha zaidi wala kulipa kitu kwa hao fisadi waliyokula vya umma kwa miaka yote hiyo.


Ni wazi mkataba ulikua wa ovyo na kuna wageni na wenyeji waliyoibia taifa mabilioni kupitia songas.

Kwanza sio lazima mtambo ukahitajika kwa matumizi ukizingatia uzalishajiwa bwawa la nyerere. Hawa waliyokuwa wanafaidika na wekezaji za kinyonyaji kama songas na IPTL ndio waliyokua wanapiga vita uzalishaji mkubwa kwa gharama nafuu wa umeme wa hydro.

Angalizo:
Samia usije logwa ukaruhusu uwekezaji kama Songas kuongezwa mkataba. Hawa ndio watahujumu umeme kushushwa bei kwa kiwango kikubwa kutokana na unafuu wa uzalishaji.

Umma wa wananchi lazima kunufaika na uwekezaji wa umma. Umeme nafuu ndio utawezesha uwekezaji kwa wingi wa viwanda.
 
Back
Top Bottom