Ujue kwa ufupi: Mkataba wa Songas na TANESCO unaotarajiwa kufika tamati Julai 2024

Ujue kwa ufupi: Mkataba wa Songas na TANESCO unaotarajiwa kufika tamati Julai 2024

Kizimkazi hana muda na watanganyika tujipange sana kuhusu ilo jambo la songas.



KAZI ni kipimo cha UTU
 
Who runs these Twitter accounts yaani unasoma vitu ambavyo avieleweki kabisa. Inaonekana ni watu wanaondika mambo wasiyo na uelewa nayo kabisa.

Ufafanuzi wao wa mkataba don’t make sense (given the information provided you need extra reasoning kuona mkataba ulivyokuwa wa ovyo) nje ya maelezo; mbaya zaidi ufahamu wao wa finance terminologies na namna sahihi ya kutumia ni shida.

Equity maana yake ni share owned it’s based on investment contribution and amount of available shares.

Capital contribution ni hela iliyowekwa (this is not equity) ratio inayotajwa on capita ni 75:25 kwa maelezo, serikali imeweka 75.

Unapata picha bila ya maelezo huo ni mkataba mmbaya ni kwasababu serikali ilitakiwa pia kumiliki equity (shares) ya 75% Songas, how they were given 40.7% is beyond any sane person thinking,

Bado kuna maswala mengine ya ‘discharge clauses’ za mkataba ambazo labda zinawapa wabia option ya wao kuamua kwanza kuendelea na mkataba au la depending on the nature of investment contract.

Ukisoma habari doesn’t make sense financially nor contractually inabidi ujiongeze mwenyewe. Ni mtu tu ambae ana info za mkataba but doesn’t know how to represent in educating the audience.

Anahitajika mtu wa kuwabudili fikra watanzania it’s just appalling kila eneo ni below par kwa standards za dunia.
 
unafikiri kwa nini akina tundu lisu &co. wanamshambulia raisi samia sasa hivi ? timing is everything.
hapo ujue wameshaona dalili za samia kutokokuongeza mkataba na songas yao na siajabu kuwapa waarabu au irani, hakuna mtu corrupt na evil nchi hii kama tundu lisu…
Iisu aliongoza serikali ipi?
 
Yaani hapo mama ni kukabidhi mtambo kwa tanesco hakuna cha zaidi wala kulipa kitu kwa hao fisadi waliyokula vya umma kwa miaka yote hiyo. Ni wazi mkataba ulikua wa ovyo na kuna wageni na wenyeji waliyoibia taifa mabilioni kupitia songas. Kwanza sio lazima mtambo ukahitajika kwa matumizi ukizingatia uzalishajiwa bwawa la nyerere. Hawa waliyokua wanafaidika na wekezaji za kinyonyaji kama songas na IPTL ndio waliyokua wanapiga vita uzalishaji mkubwa kwa gharama nafuu wa umeme wa wa hydro. Samia usije logwa ukaruhusu uwekezaji kama songas kuongezwa mkataba. Hawa ndio watahujumu umeme kushushwa bei kwa kiwango kikubwa kutokana na unafuu wa uzalishaji. Umma wa wananchi lazima kunufaika na uwekezaji wa umma. Umeme nafuu ndio utawezesha uwekezaji kwa wingi wa viwanda.
Inawezekana hujamsikia Kafulila na umeme wa Jua na Upepo. Maandalizi ya kutukamua yanaendelea.
 
Bado kuna maswala mengine ya ‘discharge clauses’ za mkataba ambazo labda zinawapa wabia option ya wao kuamua kwanza kuendelea na mkataba au la depending on the nature of investment contract.
Ule mradi wa "Dege Village" Kigamboni uliwahi kuusikia? Unayo tofauti gani kubwa na huu wa Songas.
It seems this is standard operating procedure in government.
 
Sasa tueleze wewe unayojuwa.
We have no interest whatsoever with verbal diarrhea.
That's their version, give us your own.
Excuse your language.

I had spent a lot of time on my post to express my views on the limitations of the argument presented.

If you went on the Twitter posts the critic begins by asking ‘misimamo wa Samia on equity’?

How stupid was that question asking someone to give an opinion on current government shares in a businesss venture and can’t tie that argument with their capital input on the venture asses control ownership of the business.

Couldn’t see the irony how does someone who contributed 75.% of the capital end end up with 40.7% equity, that was supposed to be the argument of having a bad contract, he did not present that viewpoint, you had to figure that out independently.

That was just appalling on my books how could someone with necessary info, present their social media account as educated prior and have limited knowledge on present an educational argument on the matter given all the facts.

Couldn’t even explain what was wrong with the current contract and if the nation was forceful obliged under the current terms to renew the dodgy current contract.

How annoying is that an account that is supposed to educate the mass has limited knowledge on the matters they raise.
 
Ule mradi wa "Dege Village" Kigamboni uliwahi kuusikia? Unayo tofauti gani kubwa na huu wa Songas.
It seems this is standard operating procedure in government.
Vitu viwili tofauti ‘Dege Village’ ni mradi wa pension fund kujaribu kukuza financial assets zao ili kulipa wanachama.

Songas ni serikali kutumia natural resources zake kwa hela za watu wengine ili kukuza mapato yao, Iła kwa maelezo ya mkataba waliongia ni sawa na serikali kugawa rasilimali zake karibu na bure kwa wawekezaji.
 
1. Songas kampuni binafsi iliyoingia mkataba wa kuzalisha umeme na kuiuzia TANESCO mwaka 2004 kwa kutumia mitambo ya gesi. Songas iko Ubungo mataa kama unaatokea Mwenge kwenda Riverside ama Buguruni.

2. Songas ilianzishwa kwa mtaji wa Dola milioni 306, yaani 75% ( Serikali ya Tanzania kupitia mkopo) na 25% mtaji. Kwa maana serikali ya Tanzania ilichangia 75% ya mtaji ama Dola 234M kuanzia kampuni na Globeleq kampuni inayomilikiwa na Uingireza na Norway kuchangia 25% sawa na Dola 72M.

3. Serikali ya Tanzania ilichukua mkopo wa Dolar 234m ili kuchangia kuanzia kampuni ya Songas kutoka Benki ya Dunia (Dola183m) na Benki ya Umoja wa Ulaya (Dola 51m).

4. Serikali ya Tanzania inaimiliki hisa 40% ya kampuni ya songas pamoja na kwamba ndio ilichangia sehemu kubwa ya kuanzisha Songas. 75/25 lakini sasa inamiliki 40% tu.

5. Pamoja na serikali ya Tanzania kuchangia 75% ya kuanzishwa kwa Songas, bado mitambo inabaki kua mali ya Songas baada ya mkataba kuisha mwaka 2024.

6. Mkataba wa Songas ulipaswa uwe ni build, operate and transfer lakini uko build, own and operate.

7. Tanzania tayari imelipa mkopo wote wa dola 234 lakini Songas bado sio mali yake. Hii ni kama Pride Tanzania. Serikali ilitoa mtaji 100% kuanzisha Pride Tanzania lakini baadae ikaja kuonekana Pride Tanzania ni mali ya Iddi Simba😂.

8. Pamoja na kwamba serikali ya Tanzania ilichukua mkopo kutoka WB na EIB lakini riba ilikua kubwa kuliko hata mikopo ya kibiashara ama Commercial loans.

9. Mkataba wa Songas ulikua wa miaka 20 ambao unaisha muda wake July 2024.

Je serikali itaongeza mkataba wa Songas, je isipoongeza na imelipa mkopo wote na bado mitambo sio yake itakuaje?

Soma zaidi.

View: https://twitter.com/TheChanzo/status/1789333999564841115?s=19

Mkapa huyo na mikataba ya kimangungo
 
1. Songas kampuni binafsi iliyoingia mkataba wa kuzalisha umeme na kuiuzia TANESCO mwaka 2004 kwa kutumia mitambo ya gesi. Songas iko Ubungo mataa kama unaatokea Mwenge kwenda Riverside ama Buguruni.

2. Songas ilianzishwa kwa mtaji wa Dola milioni 306, yaani 75% ( Serikali ya Tanzania kupitia mkopo) na 25% mtaji. Kwa maana serikali ya Tanzania ilichangia 75% ya mtaji ama Dola 234M kuanzia kampuni na Globeleq kampuni inayomilikiwa na Uingireza na Norway kuchangia 25% sawa na Dola 72M.

3. Serikali ya Tanzania ilichukua mkopo wa Dolar 234m ili kuchangia kuanzia kampuni ya Songas kutoka Benki ya Dunia (Dola183m) na Benki ya Umoja wa Ulaya (Dola 51m).

4. Serikali ya Tanzania inaimiliki hisa 40% ya kampuni ya songas pamoja na kwamba ndio ilichangia sehemu kubwa ya kuanzisha Songas. 75/25 lakini sasa inamiliki 40% tu.

5. Pamoja na serikali ya Tanzania kuchangia 75% ya kuanzishwa kwa Songas, bado mitambo inabaki kua mali ya Songas baada ya mkataba kuisha mwaka 2024.

6. Mkataba wa Songas ulipaswa uwe ni build, operate and transfer lakini uko build, own and operate.

7. Tanzania tayari imelipa mkopo wote wa dola 234 lakini Songas bado sio mali yake. Hii ni kama Pride Tanzania. Serikali ilitoa mtaji 100% kuanzisha Pride Tanzania lakini baadae ikaja kuonekana Pride Tanzania ni mali ya Iddi Simba😂.

8. Pamoja na kwamba serikali ya Tanzania ilichukua mkopo kutoka WB na EIB lakini riba ilikua kubwa kuliko hata mikopo ya kibiashara ama Commercial loans.

9. Mkataba wa Songas ulikua wa miaka 20 ambao unaisha muda wake July 2024.

Je serikali itaongeza mkataba wa Songas, je isipoongeza na imelipa mkopo wote na bado mitambo sio yake itakuaje?

Soma zaidi.

View: https://twitter.com/TheChanzo/status/1789333999564841115?s=19

Utawala wa wala rushwa,watasaini tena!
 
Back
Top Bottom