Ujue kwa ufupi: Mkataba wa Songas na TANESCO unaotarajiwa kufika tamati Julai 2024

Ujue kwa ufupi: Mkataba wa Songas na TANESCO unaotarajiwa kufika tamati Julai 2024

Tanzania sio maskini,Watanzania wachache kwa uroho wa fedha na ufisadi wametufanya maskini..Wanaelea kwenye lindi la ukwasi huku maiti zikizuiwa kwa ndugu kukosa fedha za kulipa gharama za matibabu..

Kuna watanzania wachache wanamiriki matirioni ya fedha ndani na nje ya nchi..

Watumishi kwenye vyombo vyetu tunavyovitegea kusafisha huu uozo na wizi wapo kimya..

Ya Songas,IPTL,GAS Pipeline,Pan Africa Energy…Nani anamiriki gesi ya Tanzania (Songosongo,Mtwara?)..Nani anamiriki bomba la gesi toka Mtwara mpaka Dar?Nani alifadhiri ujenzi wa bomba la gesi?..

Nani anamiriki Tanzania?
 
Serikali ina hisa ktk taasisi na makampuni mbalimbali na imekuwa ikipata gawio..mfano toka CRDB,NMB..

Kwa miaka 20 iliopita ni kiasi gani Serikali imepokea gawio toka SONGAS?

Kwa umiriki wa 75% au hizo 40% zilizobaki baada ya watuhumiwa wa majambazi kujimegea zingine Msajiri wa hazina ana nguvu gani ya kufuatilia maslahi ya Nchi?

Kwa sasa SONGAS inaidai Tanesco kiasi gani? Na Serikali inaidai kiasi gani Songas?

Kuna Utatu mtakatifu kati ya SONGAS,Pan African Energy na Globaleq..Nani ni nani na kwa maslahi ya nani?

Ikiwa ni kweli JMT ilikopa WB 75% ya Mtaji wa kianzisha Songas na imelipa mkopo..Kwa nini imiriki 40%? Ni nani wamiriki wa 35%?DAHHH..

Hawa waliojichotea 35% za nchi Mapato yao kwa ujumla mwanzo mpaka mwisho wa mkataba ni kiasi gani?

World Bank wanabariki hili? Kwa faida ya nani?US analijua hili?SFO Wanalijua hili?
 
Vitu viwili tofauti ‘Dege Village’ ni mradi wa pension fund kujaribu kukuza financial assets zao ili kulipa wanachama.

Songas ni serikali kutumia natural resources zake kwa hela za watu wengine ili kukuza mapato yao, Iła kwa maelezo ya mkataba waliongia ni sawa na serikali kugawa rasilimali zake karibu na bure kwa wawekezaji.
It's a broad classification of govt. Pension funds are not a private business, at least for now in Tanzania.
So thre's no difference btwn the two contracts.

Pension funds used land as an asset whose value was terribly discounted!
 
Excuse your language.

I had spent a lot of time on my post to express my views on the limitations of the argument presented.

If you went on the Twitter posts the critic begins by asking ‘misimamo wa Samia on equity’?

How stupid was that question asking someone to give an opinion on current government shares in a businesss venture and can’t tie that argument with their capital input on the venture asses control ownership of the business.

Couldn’t see the irony how does someone who contributed 75.% of the capital end end up with 40.7% equity, that was supposed to be the argument of having a bad contract, he did not present that viewpoint, you had to figure that out independently.

That was just appalling on my books how could someone with necessary info, present their social media account as educated prior and have limited knowledge on present an educational argument on the matter given all the facts.

Couldn’t even explain what was wrong with the current contract and if the nation was forceful obliged under the current terms to renew the dodgy current contract.

How annoying is that an account that is supposed to educate the mass has limited knowledge on the matters they raise.
I Reserve my comment.
 
Mangungo hakujua kusoma na kuandika kijerumani,alidanganywa,mkapa alikua na masters

Mkapa alikuwa na masters tena ya ivy league university

Mwanasheria mkuu wake alikuwa na masters ya Havard kabisa.

Ila bado akatuibia sana na sana

Mkapa ndie rais mlafi kuliko wote kuwai kutokea.

Asivyo na aibu eti akaomba msamaha kwenye kitabu chake.
 
Anahitajika mtu wa kuwabudili fikra watanzania it’s just appalling kila eneo ni below par kwa standards za dunia.
Sentensi kama hii tunazisoma, lakini hatuzipi uzito wowote; lakini tatizo letu lipo hapa.

Na siyo kwamba hatuwezi kufanya mambo yetu kwa standards za kidunia, kwa vile hatuna uwezo/watu wanaoweza kufanya hivyo, bali ni kwa sababu tu ya mfumo wa kitawala unaotulazimisha kufanya mambo hovyo hovyo tu.

Kwa hiyo, nikubaliane na wewe, kwamba "...anahitajika mtu (kiongozi) mwenye uwezo wa kubadili huu mfumo mbaya tunaoutumia sasa. Mambo ya ubabaishaji yamezidi sana kila sehemu ya muundo wa serkali yetu. Haya yanatakiwa kuondolewa katika utendaji wa serikali, kote nchini.
 
Mkapa alikuwa na masters tena ya ivy league university

Mwanasheria mkuu wake alikuwa na masters ya Havard kabisa.

Ila bado akatuibia sana na sana

Mkapa ndie rais mlafi kuliko wote kuwai kutokea.

Asivyo na aibu eti akaomba msamaha kwenye kitabu chake.
Mimi namkumbuka Chenge, kwenye serikali hiyo.
Namkumbuka Mramba kwenye serikali hiyo.
Namkumbuka Yona, ndani ya serikali ileile; na baadhi ya wengine nisio wakumbuka

Sasa ukiwauliza hawa watu heshima ya utumishi wao kwa wananchi wa nchi hii, sijui ni kipi wanachoweza kujivunia.
Sawa, hata kama watakuwa wamejenga majumba makubwa, magari ya fahari na takataka zote, lakini walipo sasa utu wao ni aibu kwa taifa hili.

Ningewapa sifa kidogo, kama wametumia sehemu ndogo ya uhujumu huo kwa nchi yao kusaidia jumuia inayowazunguka, kwa mfano, kama kumekuwepo na maji kwa urahisi, huduma za afya, barabara nzuri kenye maeneo yao, n.k..
 
Halafu hao viongozi waliofanya dhuluma hiyo kwa Watanzania wakifa viongozi wa dini uwa wanawafanyia ibada na maombi makubwa kwa Mungu ili awasamehe madhambi yao wakati ilitakuwa waombewe adhabu kali mbele Muumba ili wajutie dhuluma walizozifanya dhidi ya Watanzania.
 
Kina Pablo Escobar wapo madarakani wewe unatarajia nini
 
Mnufaika mwingine wa uozo huo ni mbunge elibariki kingu, huyu ameiomba serikali iongeze muda wa mkataba wa Songas,inawezekana anajua au hajui ila tayari tumemuweka kwenye kundi hasi.
 
Kipindi hicho watu walifukuzwa hapo ubungo Kwa madai kuwa uwekezaji wa umeme wa uhakika na usio wa kukata hovyo lakini matokeo yake tumejionea ni sifuri.

Huu mkataba unafanana sana na ule upuuzi wa kufukuzwa watu Ngorongoro na kumilikiswa mwarabu na kujenga mahoteli makubwa makubwa na kuharibu mazingira.

CCM inatakiwa itolewe Kwa nguvu zote.
 
IMG-20240405-WA0001.jpg
 
Kuingia mbinguni sio kazi rahisi aisee.

Yaani maskini wanatozwa kodi kulipia mikopo ya kuwanufaisha wengine.
 
It's a broad classification of govt. Pension funds are not a private business, at least for now in Tanzania.
So thre's no difference btwn the two contracts.

Pension funds used land as an asset whose value was terribly discounted!
Pension aina mmbia inamilikiwa 100% na serikali. Ili pension iweze kulipa michango inahitaji kukuza hizo financial resources ndio maana wanafanya investments za aina mbali-mbali.

Songas kutoa gas chini ya ardhi ilihitajika uwekezaji, kuna mmbia ambae kaweka hela yake na anamkataba wa either consession agreement or PSA na hiyo biashara scope and limitations za activities zake zinajulikana.

Kwa hivyo Songa na Pension funds ni vitu viwili tofauti on sources of funding, ownership structure and scope of their activities, the only similarity ni serikali mmiliki wa hizo entities zote.
 
Yaani maskini wanatozwa kodi kulipia mikopo ya kuwanufaisha wengine.
Huwezi kutenga hao wanufaika na chama tawala. Bahati mbaya kuna wadau (siku hizi wanatambulika kama machawa) wameingia kwenye mfumo wa kuwatetea wanyonjaji waendelee kuwanyonya wananchi. Wanachoambulia machawa ni hela ya kula na kulala.
 
Back
Top Bottom