Sasa sielewi unaelezea kitu gani hapa ambacho ni tofauti na mradi wa Dege City, sijui Village; ambao nao una mwekezaji kama huyo unayemjadili kwenye maelezo yako hapa. Mwekezaji hakuwa hata na hela za kuwekeza, akitegemea mkopo toka kwa mfuko wa pension, na wakati huo huo.sehemu kubwa ya Ardhi ikiwa ni ya Mfuko wa pension.Pension aina mmbia inamilikiwa 100% na serikali. Ili pension iweze kulipa michango inahitaji kukuza hizo financial resources ndio maana wanafanya investments za aina mbali-mbali.
Songas kutoa gas chini ya ardhi ilihitajika uwekezaji, kuna mmbia ambae kaweka hela yake na anamkataba wa either consession agreement or PSA na hiyo biashara scope and limitations za activities zake zinajulikana.
Kwa hivyo Songa na Pension funds ni vitu viwili tofauti on sources of funding, ownership structure and scope of their activities, the only similarity ni serikali mmiliki wa hizo entities zote.
Unajaribu kuelezea jambo rahisi kueleweka kwa kuweka madoido to ya 'jargon' kama ulivyo anza kullamika toka kwenye bandiko lako la mwanzo kumsuta mleta mada. Hizi 'jargon' hazibadilishi chochote katika kuelezea ubovu wa mikataba yenyewe.