Ujue mchezo wa aviator au kindege na siri zilizojificha nyuma yake

Kuna mdau kapata laki 7 leo kanipa 7000 ya soda.
 
Ni mchezo wa kipumbavu sana, kama kuna watu wanacheza na kuliwa na bado wanaamini wanaweza shinda mamilion basi vilaza.


Bora ubet mechi zinaonekana zinachezwa hata ukiliwa unaliwa kihalali ila sio huo ujinga wa kindege
 
mtoa mada huijui aviotor na ulicheza kwa kukurupuka hakuna mchezo rahis kama hy aviotr ila inahtaj akili nyng na mahesabu ila ukicheza kapa upo juu ya kifua cha dem wako lazima ulie kama dem ipo hv soma zile raund na muda husika ooh ngoja nikae kimya makampun yasije kustuka tumejua tukashindwa kula kwa ujing wa mmoja oya mtaj muhm fuata ushaul wa mwamb huko juu ukitaka kupata kubal kupoteza
 
Nilipoons unaongelewa sana, nikaweka libuku nione unachezwaje..

Yaani kama mtu ni mraibu wa ule mchezo basi ni kilaza na anapenda kupoteza pesa kindezi, niliichezea ile buku nikijua fika hamna kitu pale, huwez shinda.
Sasa aviator na biko ipi nafuu
 
Mkuu kama n kweli Fanya kunitumia trick hiyo bhc nifanyie practical 😁
 
Ulichokiongea ni kweli kabisa, hasa kwa upande wa betPawa kuna wakat watu wanatolewa kwenye system unaambiwa time out na ume stake pesa yako kabisa kwa mda mapema tu

Ila kuna watu wanatisha katika mchezo huo kwa kuweka madau makubwa yaani mtu a naweka stake ya 300,000 juu
Chini anaweka 250,000
watu wengi wanatumia kampuni kubwa tatu tu ambazo ni kweli watu wanashinda
BetPawa
SPORTSPESA
Betway


Mfano huyu mwamba alibukua mamilioni
 

Attachments

  • Screenshot_20241125_150912_Lite.jpg
    500.9 KB · Views: 13
ukizuia 1.2 odds inakatikia kwenye 1.18 odds

pure scam and dont buy those success stories pure BS
 
Basi tufanye hivi.
Tuchukue simu mbili tofauti na zote ziingie kwenye Aviator tuone kama kindege kitaruka kwenye same number.
 
Haya mambo hayahitaji yaongiliwe na serikali. Ni wananchi wenyewe kuelewa tu. Makanisani & shuleni hata makazini watu wawe wanaeleweshwa kuacha kucheza hii michezo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…