Ujue ni kwa nini wasichana wanakuwa na mahusiano na watu wazima

Hawa vijana stress tupu
watu wazima hawanaga stress kabisa yani natreatiwa kitoto toto
hadi raha!!!!
 
Root cause..JK kaharibu nchi, vijana hawataki tena kutumia resources walizo nazo, nk nk. Matokeo..... Kutafuta njia rahisi kujikimu kimaisha.
Ndo maana hata cases za kukamatwa na dawa za kulevya zinaongezeka, watu tunataka miteremko, tunataka utajiri bila jasho
 
acha wewe....mbona wanatoka na watu wazima wenye mshiko tu???ushaona yeyote anatoka na kibabu arosto????pesa inaonea hakuna kupet wala nini...........

Kiukweli tukiachilia mbali pesa, they do care a lot compare 2 vijana, huo ndo ukweli!
 
Hawa vijana stress tupu
watu wazima hawanaga stress kabisa yani natreatiwa kitoto toto
hadi raha!!!!

Yes, pesa utapewa!bt pia treatment,dah! Hadi unatamani angekuwa kijana....yaani kila utakachosema unasikilizwa!halafu coz he s proud kuwa na dogodogo hafanyi kosa kukupoteza so anaku treat km mtt
 
hawana stress
they give us a lot of care
huwaombi bali wanakupa
they know how a woman means
they are financial stable as they dont have many responsibilities as paying rent,school fees
long live wazee

Safi sana subiri na binti wako afikapo darasa la saba ama form 1 jizee lianze kumgegeda natumahi utafurahia sana ....!
 

Hahahah sooo true, at the end of the day, attention is all we need........
 
Huwa inategemea, wengne wanafanya coz ni tabia yao! Wanapenda! Wengne ni sababu ya kutaka ffha toka kwa waze hao
 

50% 50%
 
.....hakuna cha tension wala care wala mapenzi ni tamaa ya fedha tu na ukosefu wa adabu....huwezi kumtamani mtu sawa na mama ,bibiau baba,babu yako kama umelelewa katika familia yenye maadili na ukazingatia malezi hayo....hakuna malaya hata mmoja anaeliwa na mzee masikini...je waojua kucare ni matajiri tu.....Hamna adabu ni umalaya na tamaa tu...Pumbafu...
 
Mimi kuna mmama kanipita miaka 20 or more than that lakini alikuwa ananisarandia ile mbaya uzuri alikutana na descent man ,kwa hiyo sio madingi tu mbona hata wamama wapo kibao
 
Hapo swala ni hela tu. Kama watu wazima wanajua kucare sana kwann mabinti wasitoke na wazee ambao hawana mkwanja?!

Umeongea ukweli mkuu wakawachukue vizee vinakaa asubuhi hadi jion vinacheza bao. Hapo mkwanja ndo unaoangaliwa. awe mzee awe kijana awe mwanaume yoyote mkwanja ndio limbwata siku hizi hachomoi mtu.
 
kawaida tu,na cc wanaume tuchukue wamama pia wao hawana gharama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…