Kawe Alumni, kunywa sumu ujifie tu. Maana wewe na chama chako cha CCM hamna faida yoyote ile ndani ya nchi yetu. Tumewachoka.
Hao ndiyo wale wauwaji. Wakimwona mhanga anadunda si roho kuwauma. Wao na bwana yule.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawe Alumni, kunywa sumu ujifie tu. Maana wewe na chama chako cha CCM hamna faida yoyote ile ndani ya nchi yetu. Tumewachoka.
PLPL Yeye ana marupurupu mengi mno 'He is there to enjoy his life'Maumivu yanayotupatapa wanaccm kutokana na huyu bwana ni kuusema ukweli unaouma. Huyu jamaa hasahau na wala hapindishi kitu. Yaani mkuki moyoni inaumiza sana ndio maana hatumpendi.
Ni kweli anapowaambia wananchi ukuaji wa uchumi wetu hauendani na maisha halisi ya wananchi, kweli wananchi wanakubali kwa sababu maisha ni magumu sana wao wananchi wanaijua hali hiyo. Sisi viongozi tunaifanya hatujui maisha kua ni magumu tunapindisha ukweli, sasa Lissu anachoma katikati.
Lissu anaposema vifaa vya ujenzi vimepepanda maradufu, sukari imepanda maradufu ndio ujue anachomaka kati kati. Polepole juzi nadanganya eti vitu havijapanda bei muongo mkubwa, nenda kaulize bei ya nguo ya 2014 kwa sasa usikie bei yake.
Ukweli mchungu, Lissu anawaambia watumishi wa umma wengi hawajalipwa stahili zao na wala hawajaongezewa mishahara miaka mitano, wengi hawajalipwa stahili zao baada ya kuachishwa kazi, kwani uongo?
Huyu Polepole kwakua hajui uchungu wa chama na ameingia juzi tu eti anasema watumishi wamepunguziwa kodi, kwani kupunguziwa kodi ndiyo kuongeza mshahara na ndiyo makubaliano ya kimkataba? Aache kudanganya watu kwanza yeye siyo Mwanaccm ameazimwa kwa muda tu.
Lisu huyu anakera,anakera hadi anachukia.
Mkuu, anayo hoja. Ni vile tu una machungu "mingi" rohoni. Siafiki weye ubugie sumu kiboya kama mlivyolishwa chipsi kavu ikulu. No! Nenda naye "molimoli" ustaadh! 😂😂😂😂😂😂😂Wewe huna hoja nimeamua nikupuuze rasmi sasa
[emoji848]Ccm waliingia na matokeo mfukoni wakizani waliowafungia wasifanye mazoezi hawawezi kucheza na wao lakini 35'' tayari tundu lissu anaongoza 2-0
Hatutaki kiongozi wakutupora KOROSHO zetu hatutaki kiongozi asiyejali watumishi wa umma. Hatutaki kiongozi muuajiLissu ni mgonjwa, serkali imwache ajitibu kwa kuropoka kila neno baya mpaka October atakuwa amepata nafuu
Baada ya hapo awahi ubeligiji akatibiwe
Aiseee hakuna aliyeamini hali ya kisiasa itakuwa hivi jinzi meko na ndugai walivyo deal na upinzani hasa chadema,huyu mtu Lisu ni hatariMaumivu yanayotupatapa wanaccm kutokana na huyu bwana ni kuusema ukweli unaouma. Huyu jamaa hasahau na wala hapindishi kitu. Yaani mkuki moyoni inaumiza sana ndio maana hatumpendi.
Ni kweli anapowaambia wananchi ukuaji wa uchumi wetu hauendani na maisha halisi ya wananchi, kweli wananchi wanakubali kwa sababu maisha ni magumu sana wao wananchi wanaijua hali hiyo. Sisi viongozi tunaifanya hatujui maisha kua ni magumu tunapindisha ukweli, sasa Lissu anachoma katikati.
Lissu anaposema vifaa vya ujenzi vimepepanda maradufu, sukari imepanda maradufu ndio ujue anachomaka kati kati. Polepole juzi nadanganya eti vitu havijapanda bei muongo mkubwa, nenda kaulize bei ya nguo ya 2014 kwa sasa usikie bei yake.
Ukweli mchungu, Lissu anawaambia watumishi wa umma wengi hawajalipwa stahili zao na wala hawajaongezewa mishahara miaka mitano, wengi hawajalipwa stahili zao baada ya kuachishwa kazi, kwani uongo?
Huyu Polepole kwakua hajui uchungu wa chama na ameingia juzi tu eti anasema watumishi wamepunguziwa kodi, kwani kupunguziwa kodi ndiyo kuongeza mshahara na ndiyo makubaliano ya kimkataba? Aache kudanganya watu kwanza yeye siyo Mwanaccm ameazimwa kwa muda tu.
Lisu huyu anakera,anakera hadi anachukia.
Mdau binafsi kwa upande wa walioachishwa kazi kwa sakata la vyeti feki kutowalipa stahiki ni huruma tosha maana serikali ingeamua kuwashtaki kwa uhujumu uchumi na kujipatia kipato kwa udanganyifu. Maisha Lissu anaujua ukweli kuwa kukua kwa uchumin wa nchi haimaanishi kuwa na pesa kwa wananchi, ni kuwepo kwa miundombinu wezeshi katika utafutaji ila kwa kuwa nae anataka ikulu atasema kila awezalo aonekane mzuri lakini mwisho wa siku hata yeye akiingia ikulu hakuna atakachofanya zaidi ya tumbo lake na kwa asili ya watu wa ukanda wake ikulu itajaa ndugu tu.Maumivu yanayotupatapa wanaccm kutokana na huyu bwana ni kuusema ukweli unaouma. Huyu jamaa hasahau na wala hapindishi kitu. Yaani mkuki moyoni inaumiza sana ndio maana hatumpendi.
Ni kweli anapowaambia wananchi ukuaji wa uchumi wetu hauendani na maisha halisi ya wananchi, kweli wananchi wanakubali kwa sababu maisha ni magumu sana wao wananchi wanaijua hali hiyo. Sisi viongozi tunaifanya hatujui maisha kua ni magumu tunapindisha ukweli, sasa Lissu anachoma katikati.
Lissu anaposema vifaa vya ujenzi vimepepanda maradufu, sukari imepanda maradufu ndio ujue anachomaka kati kati. Polepole juzi nadanganya eti vitu havijapanda bei muongo mkubwa, nenda kaulize bei ya nguo ya 2014 kwa sasa usikie bei yake.
Ukweli mchungu, Lissu anawaambia watumishi wa umma wengi hawajalipwa stahili zao na wala hawajaongezewa mishahara miaka mitano, wengi hawajalipwa stahili zao baada ya kuachishwa kazi, kwani uongo?
Huyu Polepole kwakua hajui uchungu wa chama na ameingia juzi tu eti anasema watumishi wamepunguziwa kodi, kwani kupunguziwa kodi ndiyo kuongeza mshahara na ndiyo makubaliano ya kimkataba? Aache kudanganya watu kwanza yeye siyo Mwanaccm ameazimwa kwa muda tu.
Lisu huyu anakera,anakera hadi anachukia.
Nimecheka eti kibushuti hahahhhKibushuti mmoja wa watesi wa Lissu anena haya:
"Huyu Lissu nilimfukuza Bungeni kwa sababu ni mtoro alikua anazurura Ulaya anaisema vibaya nchi anasema nchi haina Uhuru amerudi hakuna aliyemkamata, anasema tunataka uhuru wakati Nyerere alishauleta anataka uhuru upi?"~Spika Job Ndugai
View attachment 1568276
Ujumbe muruaKawe Alumni, kunywa sumu ujifie tu. Maana wewe na chama chako cha CCM hamna faida yoyote ile ndani ya nchi yetu. Tumewachoka.
Mwisho wa siku kura ni siri watufokee tuWatumishi wa umma wanafosiwe wakubali wameongezwa mishahara lkn salary slip ziko vilevile.
Wafanyabiashara wanafosiwa wakubali biashara wakati kila siku watu wanafunga frem zao.
Wakulima vilevilee....
Wanafunzi vyuo vikuu vilevile...
Yani kila kona wameharibu.
Unforgetable
Fanyakazi acha kulalamika tu unafikiri serikali itakuletea chakula nyumbani kwako?
Stupid minds? Kwani wakati wa Mkapa au Kikwete,watu walikuwa hawalimi, kufuga au kufanya biashara? My friend,think wider!Fanyakazi acha kulalamika tu unafikiri serikali itakuletea chakula nyumbani kwako?
Don't arque with a fool people might not notice the difference!!Stupid minds? Kwani wakati wa Mkapa au Kikwete,watu walikuwa hawalimi, kufuga au kufanya biashara? My friend,think wider!
Kupanda daraja ni pale tu hujapewa adhabu ya kinidhamu kwa hiyo siyo automatically!Kwani kuna mtumishi ameomba kuletewa chakula? Kuna vitu viwili ambavyo ni haki ya mfanyakazi Annual increment,(ongezeko la mshahara kila mwaka) na kupanda daraja ambalo ni kila baada ya miaka mitatu au baada ya mfanyakazi kuongeza Elimu.... wafanyakazi wamepewa punguzo la kodi (PAYE) je hilo punguzo ndo limekidhi hayo matakwa ya kisheria?
Wote wameongezewa
Angalau post yako imenipunguzia hasiraFanyakazi acha kulalamika tu unafikiri serikali itakuletea chakula nyumbani kwako?
Kati ya Lissu na magufuli nani mropokaji? Jiwe anafyatuka tu tena bila hata ya kumbukumbu, siku nyingine muwe mnawapima akili kwanza wagombea wenu.Lissu ni mgonjwa, serkali imwache ajitibu kwa kuropoka kila neno baya mpaka October atakuwa amepata nafuu
Baada ya hapo awahi ubeligiji akatibiwe
Msamehe bure tu huyo Mkuu, anapigania elfu saba saba zake ambazo ziko kwenye hati hati ya KUTOKOMEZWA na Lissu.Wakati mwingine kama huna cha maana cha kuandika ni vyema ukatulia ili wenye hoja waandike hii tabia ya kipumbavu ya kudandia vitu siku moja itakuingiza matatizoni.....
Usiharibu thread za watu...anzisha zako....then uone kama kuna mtu timamu atashughulika na wewe.