Uchaguzi 2020 Ujue Tundu Lissu unakera, unakera, unakera!

Uchaguzi 2020 Ujue Tundu Lissu unakera, unakera, unakera!

Lissu ni mgonjwa, serkali imwache ajitibu kwa kuropoka kila neno baya mpaka October atakuwa amepata nafuu

Baada ya hapo awahi ubeligiji akatibiwe
Mgonjwa anapiga kampeni wewe mzima unakesha humu ili ulipwe buku 7 [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wewe utakuwa unafikiri kwa kutumia makalio.

....Mbona ccm na akina polepole wako bize wanaangaika kujibu hoja za waloishakufa??
Kwa nini midomo, masikio, macho vinaelekezwa kwa Lissu na Magu, kwa nini kuna tention kuhusu hawa watu na si wengine?
Hala mtu mzima anasema ilishakufa . Akili gani hii

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Watu wamekwama huku wakiwa wanafanya kazi, biashara nyingi zinafungwa huku watu wakiwa hawajui kesho yao. Nyie mnaofaidi mezani kwa bwana ndio mnapiga kelele. Ukitaka kujua hii lugha yako ya kipuuzi ni kejeli kwa watu, omba siku kabla ya kura uende TRA ukaone trend ya kufunga biashara, kisha uje uhimize watu kufanya kazi. We baki ukitazama TBC na hizo nyomi zinazokuja kupunguza stress kwa kutazama wasanii, udhani watu wako kwenye furaha.
Nimeshudia wamama wakihimizwa mikopo. leo jimbo la Kawe walimwagika kwa ahadi za mikopo kwenye vikoba. Ni kama imetangazwa ajira
Hizi nyomi zina siri kubwa.
Shida kweli ipo, na kwa vile mgombea ana ukwasi watu wanaamini watapata.
Wenye shida wanataka hizo hela tu kwa kura mh!
Usanii ni mkibwa, yangu macho!

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
JPM kwenye kampeni kahama amesema hivi"mchagueni Katambi,huyu muheshimiwa Masele ntampatia ukuu wa mkoa".
Yani JPM keshashinda uchaguzi anapanga serikali yake ijayo juu ya majukwaa ya kampeni.
 
Back
Top Bottom