Unachukua mafuta ya break kisha una weka kweny kitambaaa au pamba kisha una pakaaa yako kawd sana ayo mafuta ya break mkuuu ama ujawah kuyaona....???? Tiba nzur una pona kwa haraka sanaSijaelewa yaani mafuta ya break yanawekwa kwenye mwili wa binadamu?? AU unatania
ngja nifanye hivoUnachukua mafuta ya break kisha una weka kweny kitambaaa au pamba kisha una pakaaa yako kawd sana ayo mafuta ya break mkuuu ama ujawah kuyaona....???? Tiba nzur una pona kwa haraka sana
Daah bado sijayaonaVipi maendeleo,..
Daah bado sijayaona
Ni PM nikuelekeze mtu atakupa huduma na utapona hiyo shida.Dactari wangu namtoa wapi ndugu[emoji23]
nikanunue hio whitefield tu
Sawa mkuuu fanya hvo utoe mrejesho baad ya mudangja nifanye hivo
[emoji26][emoji26]watusaidie kwakweliKuna mafuta flani kama cream hivi(rangi nyekundu) yanatengenezwa Mbeya kwa matunda,siijui jina. Ni nzuri sana kwa tatizo hilo. Mdogo wangu alitumia kama utani,tatizo likaisha. Mara nyingi inatangazwa kwenye mabasi. Watu wa Mbeya watusaidie jina.
nauschukia ukiwa nao tu kwanza unaonekana kama mchafu ngoja nitafute ile dawa inaitwajeHabari za zenu wapendwa...
Nauliza nani anafahamu dawa ya Utango tango..?
Yalinisaidiaga sana yako kwenye kopo la bati lenye rangi ya njanoTumia mafuta ya break ni kiboko ya utangotango, ikishindwa hiyo hesabu kupona muujiza
Dose yake ipoje ya hivyo vidonge?Fluconozole cream
Plus fulcanazole tablets
Oooh.......so honest answer....Dactari wangu namtoa wapi ndugu[emoji23]
nikanunue hio whitefield tu
Duh hizi za kumeza ziwe last resort...ni mbaya mwilini..apake cream and the likesFluconozole cream
Plus fulcanazole tablets
Fungus wa sehemu gani...maana wapo wa miguuni, vidoleni, kichwani, papuchini, mdomoni, tigoni, etcFungus in english
Hahaha hiiii kitu kiboko, nakumbuka nilivyo pata P ERISION enzi za kusoma , hii dawa isikie tu kwa jirani.Inaitwa Whitfield's ointment ila kwa ushauri zaid mwone daktar wako wa ngozi..