Ujue ugonjwa wa Mba na tiba yake

mie nalala sasa hivi
Sawa Madame, asante kwa kampani yako... Betri yangu imekwisha c unajua tena siye watumizi wa tecno tulivyo [emoji23][emoji23][emoji23].

Insha'Allah tukijaaliwa kesho pia ni siku... Uwe na usiku mwema.
 
Tumia mkojo wa mbwa jike dawa nzuri sana siku 3 tuu utapona
 
Sawa Madame, asante kwa kampani yako... Betri yangu imekwisha c unajua tena siye watumizi wa tecno tulivyo [emoji23][emoji23][emoji23].

Insha'Allah tukijaaliwa kesho pia ni siku... Uwe na usiku mwema.
hahahaa hope umeamka salama
 
Dawa gani ulipewa
 
Jina nimesahau ila niliwaambia nataka dawa ya kusafisha mchafuko wa damu na kuondoa uvimbe wa kujikuna.Zote za kumeza sio Jelly.
nashukuru sana ngoja tusubiri mishahara niende kwenye hospital na phamamcy kwa ushauri na kupata tiba kabisa
 
Ni salama tu ndugu yangu.. Tulikuwa tunalia jua linawaka sana, sasa mvua inanyesha kazi zimedolola kijiweni kwangu... ..
sisi juzi ilipiga moja na radi zike mweko na maguruguru niliogopa sana

Usijal ipo siku kutakaa sawa s unajua siku hazifanani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…