Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,171
- 34,394
mie nalala sasa hiviMbona hulali pia [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mie nalala sasa hiviMbona hulali pia [emoji23]
ni kweli usemacho hata hujakoseaElimu ya utambuzi tu inatosha Madame S, siyo lazima sote tuwe wabobezi dunia haitokalika [emoji23]
Sawa Madame, asante kwa kampani yako... Betri yangu imekwisha c unajua tena siye watumizi wa tecno tulivyo [emoji23][emoji23][emoji23].mie nalala sasa hivi
hahahaa hope umeamka salamaSawa Madame, asante kwa kampani yako... Betri yangu imekwisha c unajua tena siye watumizi wa tecno tulivyo [emoji23][emoji23][emoji23].
Insha'Allah tukijaaliwa kesho pia ni siku... Uwe na usiku mwema.
Ni salama tu ndugu yangu.. Tulikuwa tunalia jua linawaka sana, sasa mvua inanyesha kazi zimedolola kijiweni kwangu... ..hahahaa hope umeamka salama
nakwambia nilikuwa nalala vzr ila joto likianza basi kulala ni shida sanayeah hata hayo mafuta ya break yanasaidia halaf huo ugonjwa unaambukiza
Dawa gani ulipewaMchafuko wa damu wewe,mimi lile joto la dar lili ni attack nilirudi mkoani nimenenepa kwa kujikuna mafundo kila sehemu kwenye basi wananishangaa...
Wakati nikiwa dar nilichomwa sindano lakini wapi...
Nilivumilia hadi kwetu basi nikaenda pharmacy wakinipa dawa ya kuzuia muwasho na kuondoa mauvimbe fasta nikapona.
Vidonge vilikuwa vya kumeza.
Jina nimesahau ila niliwaambia nataka dawa ya kusafisha mchafuko wa damu na kuondoa uvimbe wa kujikuna.Zote za kumeza sio Jelly.Dawa gani ulipewa
nashukuru sana ngoja tusubiri mishahara niende kwenye hospital na phamamcy kwa ushauri na kupata tiba kabisaJina nimesahau ila niliwaambia nataka dawa ya kusafisha mchafuko wa damu na kuondoa uvimbe wa kujikuna.Zote za kumeza sio Jelly.
Alovera gelly ntaipata wapi au cossimetics zinapatikana ?Yeah akiona matokeo sio mazuri acheck na hiyo natural alovera gelly ambayo wadau hapo juu wame suggest.
Haifiki buku10,000nashukuru sana ngoja tusubiri mishahara niende kwenye hospital na phamamcy kwa ushauri na kupata tiba kabisa
Chuma majani ya mu arovera then twanga(blend) yale maji yake au mchuzi ukikamua apply kwe affected area.Alovera gelly ntaipata wapi au cossimetics zinapatikana ?
Kwa maeneo niliyopo sidhani huo mti wake kama wapatikana nipo mwaduiChuma majani ya mu arovera then twanga(blend) yale maji yake au mchuzi ukikamua apply kwe affected area.
ohoo sawa sawaHaifiki buku10,000
pole sana paka utomvu wa mgomba mkuunakwambia nilikuwa nalala vzr ila joto likianza basi kulala ni shida sana
sisi juzi ilipiga moja na radi zike mweko na maguruguru niliogopa sanaNi salama tu ndugu yangu.. Tulikuwa tunalia jua linawaka sana, sasa mvua inanyesha kazi zimedolola kijiweni kwangu... ..
Miaka miwili sasa imepita, naomba mrejesho dawa gani ambayo imekusaidia..Ntajitahidi
white field mkuuMiaka miwili sasa imepita, naomba mrejesho dawa gani ambayo imekusaidia..