Ujumbe huu kwa kila asiekuwa Muislam; Soma kabla ya hujafa

Ukafir gauingiliani na dini kafir ni mtu yeyote anae pinga maamrisho ya Mungu
 
Tuendelee kuzikataa dini, hasa za kuja na mambo yake yooote.

Dini ni utumwa,
Dini ni unyonyaji kiuchumi,
Dini inadumaza uwezo wa kufikiri.
Dini ni chanzo Cha hofu na sonona.
Epuka dini, ishi kwa amani.
 
Hiyo ndo shida ya kusoma kwa mtandao tafuta wenye elimu maarifa hekima na busara wakufunze na lau kuwa kama Muhammed angekuwa na tabia hizo uislam usingefika hapa nenda kafatilie greatest people in the world utaona Muhammad ndio mtu wa 1 na kisha fatilia reason za yeye kuwekwa wa 1 na alie muweka si Muslimni mkristo kaa wew
 
Waislam wanahuruma, wanawahurubia dini zote ili wajue ukweli
Kamusi ya Kiswahili uliyosoma ni toleo la mwaka gani?

Ninachojua mimi waislam wanawatesa wasiokuwa waislam wanawauwa wanavunja nyumba zao za ibada hawawataki ktk jamii zao etc.
 
Kamusi ya Kiswahili uliyosoma ni toleo la mwaka gani?

Ninachojua mimi waislam wanawatesa wasiokuwa waislam wanawauwa wanavunja nyumba zao za ibada hawawataki ktk jamii zao etc.
taja nchi ambayo waislam wanawaua wakiristo. Propganda hizo umepewa na mchukungaji ili akukamue sadaka zaidi
 
Lile dubwasha mnaloliinamia nani alilitengeneza? Tenda ilitoka kwa nani?
Natumai unamaanisha lile Jiwe jeusi wanalolisujudia na kulibusu pale Maka.
Linaitwa Al-Aswadi.
Nashangaa tunalazimishwa wote kwenda kulisujudia.
Bila kujua kuwa sisi tumekatazwa.
''''''''''''''''''
Mambo ya Walawi
(Lev) 26:1
Msifanye sanamu yo yote, wala msijisimamishie sanamu ya kuchonga, wala mnara, wala msiweke jiwe lo lote lililochorwa katika nchi yenu ili kulisujudia; kwa kuwa mimi ndimi BWANA, Mungu wenu.
Ye shall make you no idols nor graven image, neither rear you up a standing image, neither shall ye set up any image of stone in your land, to bow down unto it: for I am the LORD your God.

Eti tunashawishiwa kukufuru.
Hii ni Hila ya kutupotosha.
Ni kwamba tumekatazwa kuwa Waislamu.
 
Kwa hoja hii bado dhaifu na wew ndo muongo usisahau kuwa Dunia bado haijaisha na wako viumbe wana miaka zaid ya 1000 wanaishi lkn mwisho wa siku lazima wafe eg Ibilisi Yesu na watu wengine tuso wajua kama unaweza omba sana Mungu akupe umri mrefu mpaka Yesu ataporudi umuone asipo kufa akapaa tena mbinguni ndo useme Quran inaongopa
 
taja nchi ambayo waislam wanawaua wakiristo. Propganda hizo umepewa na mchukungaji ili akukamue sadaka zaidi
Hakuna asiewajua,unajificha kwenye gauni la so called ”propaganda" na kuni-provoke ili kunitoa kwenye point yangu but deep down ndani ya nafsi yako unazijua hizo nchi even here in Tanzania Pemba hapo wapo vikanzu wenzako waliandamana kukataa kuchangamana na wasiokuwa waislam kisa eti wataleta dini zao.

Ujinga mtupu,uislam unajua nini kuhusu upendo zaidi ya kusababisha tu kero na majanga kwa wasiokuwa waislam?acheni watu waabudu wanavyoamini wao siyo kuwaletea ujinga wa kuanza kuwatisha na vile ulivyotishwa na walimu wako as longer as kila mmoja ataulizwa kwa wakati wake.
 
mgen
 
Usitupotoshe, hatutaki kulisujudia Jiwe jeusi kama daftari lako linavyo amrisha.
'''''''''''''
إِنَّا نَحْنُ نُحْيِي الْمَوْتَىٰ وَنَكْتُبُ مَا قَدَّمُوا وَآثَارَهُمْ ۚ وَكُلَّ شَيْءٍ أَحْصَيْنَاهُ فِي إِمَامٍ مُّبِينٍ

[ YA-SIN - 12 ]
Hakika Sisi tunawafufua wafu, na tunayaandika wanayo yatanguliza, na wanayo yaacha nyuma. Na kila kitu tumekihifadhi katika daftari asli lenye kubainisha.
 
yesu ni binaadam kama wewe , yeye kazaliwa hakuwa na baba tu. anakunya, akajoa, anakula, akiumbwa na tumbo kama wewe na mimi
Mtu aliyezaliwa bila baba wewe unamuona ni wa kawaida? Fungua akili yako
 
Ujumbe wako unawafaa uwafikie waislamu, maana asie muislamu ujumbe wako haumuhusu, na ukilazimisha umuhusu ni kosa pia, maana yeye ana mambo yake ambayo hataki kukuhusisha nayo, endelea na mambo yako na mwache aendelee na mambo yake,
 
Kama unakubali ukristo ulikuja wakati wa Yesu inabidi ujitathmini na ujiulize kwa kina Ibrahim Daudi na Musa walikuja na Dini gani kama Mungu 1 kwanini dini ziwe nyingi tuacheni propaganda kama kitu hutaki kufuata we sema sitaki kufuata wew sio wa kwanza wala wa mwisho sababu Muhammed baba ake mdogo/mkubwa aliwah mwambia ana muamin kweli ni mtume wa Mungu ila hawez kumfata kwasababu kiburi au kujivuna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…