Ujumbe huu kwa kila asiekuwa Muislam; Soma kabla ya hujafa

Ujumbe huu kwa kila asiekuwa Muislam; Soma kabla ya hujafa

jambo halijatolewa ufafanuzi kwa akili yangu kukujua mimi wewe unaishi wapi kwa sasa?
Hivi katika Uislam,ukafiri ni Uzayuni na Ukristo tu?maana duniani tuna Dini nyingi zaidi ya Ukristo ambazo zinaamini Miungu wengine zaidi ya Allah au Jevovah kama Buddha, Hindu, Voodoo nk lakini huwezi kukutana na mafundisho au ukosoaji wa kiislamu ukiwalenga !
Cha ajabu ukifuatilia msingi ya hizi dini mbili Ukristo na Uislam utashangaa zote zimetoka kwenye chimbuko Moja la Baba wa Imani Ibrahim.Mungu aendelee kutubariki.
Silas
Ukafir gauingiliani na dini kafir ni mtu yeyote anae pinga maamrisho ya Mungu
 
Tuendelee kuzikataa dini, hasa za kuja na mambo yake yooote.

Dini ni utumwa,
Dini ni unyonyaji kiuchumi,
Dini inadumaza uwezo wa kufikiri.
Dini ni chanzo Cha hofu na sonona.
Epuka dini, ishi kwa amani.
 
uislamu ni dini nzuri sana ukiondoa mambo ya kuagiza kuwaua wav wasio waislamu ati jihadi. Ukiondoa kusisitiza na kujenga chuki dhidi ya dini nyingine. Ukiondoa kuchochea ugaidi kwa ahadi ati ya kupewa mabikra 72.

View attachment 3060118
@malaia2 mambo haya katika dini yenu yanafanya muonekane WANAFIKI na mawakala wa shetani na hua mkiambiwa mtoe ufafanuzi wa aya hizi za chuki hua mko kimya je hiyo inathibitisha nini ?!

View attachment 3060121

@malaria2 toa ufafanuzi wa mafundisho haya vinginevyo tutolee hapa unafiki wenu na funga mdono wako ewe wakala wa shetani (aidha kwa kujua au kutokujua ila nyie ni mawakala wa shetani ibilisi)



View attachment 3060125
Hiyo ndo shida ya kusoma kwa mtandao tafuta wenye elimu maarifa hekima na busara wakufunze na lau kuwa kama Muhammed angekuwa na tabia hizo uislam usingefika hapa nenda kafatilie greatest people in the world utaona Muhammad ndio mtu wa 1 na kisha fatilia reason za yeye kuwekwa wa 1 na alie muweka si Muslimni mkristo kaa wew
 
Waislam wanahuruma, wanawahurubia dini zote ili wajue ukweli
Kamusi ya Kiswahili uliyosoma ni toleo la mwaka gani?

Ninachojua mimi waislam wanawatesa wasiokuwa waislam wanawauwa wanavunja nyumba zao za ibada hawawataki ktk jamii zao etc.
 
Kamusi ya Kiswahili uliyosoma ni toleo la mwaka gani?

Ninachojua mimi waislam wanawatesa wasiokuwa waislam wanawauwa wanavunja nyumba zao za ibada hawawataki ktk jamii zao etc.
taja nchi ambayo waislam wanawaua wakiristo. Propganda hizo umepewa na mchukungaji ili akukamue sadaka zaidi
 
Lile dubwasha mnaloliinamia nani alilitengeneza? Tenda ilitoka kwa nani?
Natumai unamaanisha lile Jiwe jeusi wanalolisujudia na kulibusu pale Maka.
Linaitwa Al-Aswadi.
Nashangaa tunalazimishwa wote kwenda kulisujudia.
Bila kujua kuwa sisi tumekatazwa.
''''''''''''''''''
Mambo ya Walawi
(Lev) 26:1
Msifanye sanamu yo yote, wala msijisimamishie sanamu ya kuchonga, wala mnara, wala msiweke jiwe lo lote lililochorwa katika nchi yenu ili kulisujudia; kwa kuwa mimi ndimi BWANA, Mungu wenu.
Ye shall make you no idols nor graven image, neither rear you up a standing image, neither shall ye set up any image of stone in your land, to bow down unto it: for I am the LORD your God.

Eti tunashawishiwa kukufuru.
Hii ni Hila ya kutupotosha.
Ni kwamba tumekatazwa kuwa Waislamu.
 
Kutokana na Biblia Aya hii ni ya uwongo.
Henoko hakufa bali alinyakuliwa Mbinguni na Mungu.
Mwanzo (Gen) 5:24
Henoko akaenda pamoja na Mungu, naye akatoweka, maana Mungu alimtwaa.
Nabii Eliya pia Alitwaliwa Mbinguni na Gari la Upepo na Moto.
Ndio maana Wakristo tunaiona Qurani kama kitabu cha vichekesho tu.
Kwa hoja hii bado dhaifu na wew ndo muongo usisahau kuwa Dunia bado haijaisha na wako viumbe wana miaka zaid ya 1000 wanaishi lkn mwisho wa siku lazima wafe eg Ibilisi Yesu na watu wengine tuso wajua kama unaweza omba sana Mungu akupe umri mrefu mpaka Yesu ataporudi umuone asipo kufa akapaa tena mbinguni ndo useme Quran inaongopa
 
taja nchi ambayo waislam wanawaua wakiristo. Propganda hizo umepewa na mchukungaji ili akukamue sadaka zaidi
Hakuna asiewajua,unajificha kwenye gauni la so called ”propaganda" na kuni-provoke ili kunitoa kwenye point yangu but deep down ndani ya nafsi yako unazijua hizo nchi even here in Tanzania Pemba hapo wapo vikanzu wenzako waliandamana kukataa kuchangamana na wasiokuwa waislam kisa eti wataleta dini zao.

Ujinga mtupu,uislam unajua nini kuhusu upendo zaidi ya kusababisha tu kero na majanga kwa wasiokuwa waislam?acheni watu waabudu wanavyoamini wao siyo kuwaletea ujinga wa kuanza kuwatisha na vile ulivyotishwa na walimu wako as longer as kila mmoja ataulizwa kwa wakati wake.
 
Katika Quran, kuna aya kadhaa ambazo zinaelezea hasara na madhara yanayowapata wale wanaofuata dini isiyokuwa ya Uislamu. Quran inasisitiza kwamba mafanikio ya kweli na wokovu hupatikana kwa kumwamini na kumfuata Mwenyezi Mungu wa kweli, kama inavyofundishwa na Uislamu. Hapa kuna baadhi ya aya zinazozungumzia hasara ya kufuata dini nyingine:

Surah Al-Imran (3:85)

  • "Na anayefuata dini isiyokuwa ya Uislamu, haitakubaliwa kwake, naye huko Akhera atakuwa miongoni mwa waliopata hasara."
  • Aya hii inaeleza wazi kwamba mtu yeyote anayefuata dini nyingine isipokuwa Uislamu hatakubaliwa na Mwenyezi Mungu, na atapata hasara Akhera.

Surah Al-Ma'idah (5:72)

  • "Kwa hakika wamekufuru wale waliosema: Hakika Mwenyezi Mungu ni Masihi mwana wa Maryamu, hali Masihi mwenyewe alisema: Enyi Wana wa Israili! Muabuduni Mwenyezi Mungu, Mola wangu na Mola wenu. Hakika mwenye kumshirikisha Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu atamharamishia Pepo, na makazi yake ni Motoni. Na wala wenye kudhulumu hawatapata wa kuwanusuru."
  • Hapa, Quran inakemea wale wanaomshirikisha Mwenyezi Mungu na kuwakataa kuwa wataingia motoni na watakosa msaada wowote.

Surah At-Tawbah (9:30)

  • "Na Mayahudi wanasema: 'Uzair ni mwana wa Mwenyezi Mungu,' na Wakristo wanasema: 'Masihi ni mwana wa Mwenyezi Mungu.' Hayo ndiyo wasemayo kwa vinywa vyao. Wanayaiga maneno ya wale waliokufuru kabla yao. Mwenyezi Mungu awaangamize! Wanageuzwa namna gani hawa!"
  • Aya hii inaeleza kwamba wale wanaomshirikisha Mwenyezi Mungu kwa kumfanya Uzair au Masihi kuwa mwana wa Mwenyezi Mungu ni wakufuru, na Mwenyezi Mungu anawashutumu vikali.

Surah Al-Kafirun (109:1-6)

  • "Sema: Enyi makafiri! Siabudu mnachoabudu, wala nyinyi hamuabudu ninayemuabudu. Wala sitaabudu mnavyoabudu nyinyi, wala nyinyi hamuabudu ninayemuabudu. Nyinyi mna dini yenu, na mimi nina dini yangu."
  • Hapa, Quran inasisitiza tofauti za wazi kati ya Uislamu na dini nyingine, na inaonyesha kuwa wale wanaofuata dini nyingine wako katika upotovu.

Surah Al-Bayyinah (98:6)

  • "Hakika wale waliokufuru miongoni mwa watu wa Kitabu na washirikina watakuwa katika Moto wa Jahannam kudumu humo. Hao ndio wabaya wa viumbe."
  • Aya hii inabainisha kuwa wale waliokufuru miongoni mwa watu wa Kitabu (Mayahudi na Wakristo) na washirikina watapata adhabu ya moto wa Jahannam milele.
Katika Quran, ujumbe ni wazi kwamba kuamini na kufuata Uislamu ni njia pekee ya kupata radhi za Mwenyezi Mungu na kuepuka hasara ya Akhera. Wale wanaofuata dini nyingine wanaonywa kuhusu adhabu na hasara wanayoweza kupata kwa kutokufuata ukweli wa Uislamu.

FAIDA YA KUWA MUISLAM
Quran inatoa mwongozo na mafundisho mengi yanayoelezea faida za kuwa Muislamu. Hapa chini kuna baadhi ya aya zinazozungumzia faida hizo:

1. Amani na Utulivu wa Kiroho

  • Surah Ar-Ra'd (13:28):
    "Wale walioamini na nyoyo zao zikajaa utulivu kwa kumtaja Mwenyezi Mungu. Bila shaka kwa kumtaja Mwenyezi Mungu nyoyo hutulia."
    • Aya hii inaelezea kuwa kumtaja Mwenyezi Mungu huleta utulivu na amani ya ndani kwa Waislamu.

2. Mwongozo na Nuru

  • Surah Al-Baqara (2:257):
    "Mwenyezi Mungu ni mlinzi wa wale walioamini. Huwatoa gizani na kuwaingiza katika nuru. Na wale waliokufuru, walinzi wao ni mashetani. Huwatoa nuruni na kuwaingiza katika giza."
    • Mwenyezi Mungu huwapa Waislamu mwongozo na nuru, akiwatoa gizani na kuwaingiza katika mwanga wa haki.

3. Msamaha na Rehema

  • Surah Az-Zumar (39:53):
    "Sema: Enyi waja wangu mliojidhulumu nafsi zenu! Msiikate tamaa rehema ya Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu husamehe dhambi zote. Hakika Yeye ndiye Mwingi wa kusamehe, Mwenye kurehemu."
    • Uislamu unatoa nafasi ya msamaha na rehema kwa wale wanaotubu na kumrudia Mwenyezi Mungu.

4. Malipo ya Pepo

  • Surah An-Nisa (4:57):
    "Na wale walioamini na kutenda mema, tutawaingiza katika mabustani yapitayo mito kati yake, wadumu humo milele. Humo watakuwa na wake walio takasika, na tutawaingiza katika kivuli cha kunyamaza."
    • Waislamu wanaoamini na kutenda mema wanapewa ahadi ya kuingia Peponi na kufurahia maisha ya milele yenye neema.

5. Heshima na Hadhi

  • Surah Al-Hujurat (49:13):
    "Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke, na tukakufanyeni mataifa na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni yule aliye mchamungu zaidi kati yenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mjuzi na Mwenye habari."
    • Uislamu unahimiza heshima na hadhi kwa watu wote, na kuwa mtukufu mbele ya Mwenyezi Mungu ni kwa uchamungu na matendo mema.

6. Umoja na Undugu

  • Surah Al-Hujurat (49:10):
    "Waumini ni ndugu, basi patanisheni baina ya ndugu zenu, na mcheni Mwenyezi Mungu ili mrehemewe."
    • Uislamu unasisitiza umoja na undugu miongoni mwa Waislamu, ambapo wanapaswa kusaidiana na kupendana.

7. Heshima kwa Wazazi

  • Surah Al-Isra (17:23):
    "Na Mola wako ameamrisha usimuabudu yeyote ila Yeye tu, na (ameamrisha) kuwafanyia wema wazazi wawili. Kama mmoja wao au wote wawili wakifikia uzee nao wapo pamoja nawe, basi usiwaambie hata ‘Ah!’ wala usiwakemee, na waambie maneno ya heshima."
    • Uislamu unafundisha heshima kubwa kwa wazazi na kuwatendea wema, hasa wanapokuwa wazee.

8. Kujiepusha na Madhara

  • Surah Al-Baqara (2:195):
    "Na toeni katika njia ya Mwenyezi Mungu, wala msijitumbukize kwa mikono yenu katika maangamizo; na fanyeni wema; hakika Mwenyezi Mungu huwapenda wafanyao wema."
    • Uislamu unafundisha kujiepusha na mambo yanayoweza kusababisha madhara na kuhimiza kufanya wema.
mgen
 
Kwa hoja hii bado dhaifu na wew ndo muongo usisahau kuwa Dunia bado haijaisha na wako viumbe wana miaka zaid ya 1000 wanaishi lkn mwisho wa siku lazima wafe eg Ibilisi Yesu na watu wengine tuso wajua kama unaweza omba sana Mungu akupe umri mrefu mpaka Yesu ataporudi umuone asipo kufa akapaa tena mbinguni ndo useme Quran inaongopa
Usitupotoshe, hatutaki kulisujudia Jiwe jeusi kama daftari lako linavyo amrisha.
'''''''''''''
إِنَّا نَحْنُ نُحْيِي الْمَوْتَىٰ وَنَكْتُبُ مَا قَدَّمُوا وَآثَارَهُمْ ۚ وَكُلَّ شَيْءٍ أَحْصَيْنَاهُ فِي إِمَامٍ مُّبِينٍ

[ YA-SIN - 12 ]
Hakika Sisi tunawafufua wafu, na tunayaandika wanayo yatanguliza, na wanayo yaacha nyuma. Na kila kitu tumekihifadhi katika daftari asli lenye kubainisha.
 
yesu ni binaadam kama wewe , yeye kazaliwa hakuwa na baba tu. anakunya, akajoa, anakula, akiumbwa na tumbo kama wewe na mimi
Mtu aliyezaliwa bila baba wewe unamuona ni wa kawaida? Fungua akili yako
 
Ujumbe wako unawafaa uwafikie waislamu, maana asie muislamu ujumbe wako haumuhusu, na ukilazimisha umuhusu ni kosa pia, maana yeye ana mambo yake ambayo hataki kukuhusisha nayo, endelea na mambo yako na mwache aendelee na mambo yake,
 
unadhani lengo la hicho kitabu ni nini ?
ku convert watu kwenye uislamu...
je ulitegemea kingeandikwa nini

kwaiyo hakiwezi kutumika kama reference.

Uislamu pia ni dini nzuri ila kwa akili ya kawaida huwezi kutumia Quran kuthibitisha kwamba uislamu ndo dini sahihi...

hakuna dini bora zaidi labda mimi niseme ukristo ndio bora kwasababu central figure ni masiha ambaye hata nyinyi mnamtambua na alitabiriwa zaidi ya miaka elfumbili kabla kua atakuja na kuiweka sawa torati alipokuja ndo ukristo ulipoanzia.

ila kihistoria uislamu umekuja takriban miaka 500 baada ya ukristo itakuaje mnasema ndo mpo sahihi ?
Kama unakubali ukristo ulikuja wakati wa Yesu inabidi ujitathmini na ujiulize kwa kina Ibrahim Daudi na Musa walikuja na Dini gani kama Mungu 1 kwanini dini ziwe nyingi tuacheni propaganda kama kitu hutaki kufuata we sema sitaki kufuata wew sio wa kwanza wala wa mwisho sababu Muhammed baba ake mdogo/mkubwa aliwah mwambia ana muamin kweli ni mtume wa Mungu ila hawez kumfata kwasababu kiburi au kujivuna
 
Back
Top Bottom