Ujumbe huu kwa kila asiekuwa Muislam; Soma kabla ya hujafa

Ili ufaulu F4 usijaliwe kumfanya mtihani F4. haiwezekani ukamfanya mtihani f4 hujasajiliwa. ili ukubaliwe na Mwenyezi Mungu uwe muislam
Unajua thamani ya mtu kwa Mungu?
Unajua mtu ni kitu gani kwa Mungu?
Unadhani nini kinathamani kati ya mtu na uislamu kwa Mungu?
 
STORY ZA KUFIKIRIKA
 
Ahsante sana Kwa ujumbe huu. Mpaka Karne hii Bado watu Wana Imani za kitumwa. Imani za Uislamu na Ukristo zinamfanya mtu kuwa na mawazo finyu na hajitambui kabisa na maana yake ni kuwa Bado utumwa upo kupitia dini.
 
Ahsante sana Kwa ujumbe huu. Mpaka Karne hii Bado watu Wana Imani za kitumwa. Imani za Uislamu na Ukristo zinamfanya mtu kuwa na mawazo finyu na hajitambui kabisa na maana yake ni kuwa Bado utumwa upo kupitia dini.
Asiena akili yule alieletwa katika dunia na kuwaona wenziwe mmoja mmoja anaondoka katika dunia na yeye hatafakari
 
Unajua thamani ya mtu kwa Mungu?
Unajua mtu ni kitu gani kwa Mungu?
Unadhani nini kinathamani kati ya mtu na uislamu kwa Mungu?
Mtu anathamnani kubwa. lkn mwenye thamani zaidi anatakiwa awe muislam
 
Nilitaka kukujibu meeengi lakini itoshe tu kusema jibu lipo kwenye maelezo Yako na Aya zenu wenyewe.

  • "Sema: Enyi makafiri! Siabudu mnachoabudu, wala nyinyi hamuabudu ninayemuabudu. Wala sitaabudu mnavyoabudu nyinyi, wala nyinyi hamuabudu ninayemuabudu. Nyinyi mna dini yenu, na mimi nina dini yangu."
  • BAkini na dini yenu acheni wenzenu wabaki na dini zao,kwakua kwa mafundisho yenu tu inaonekana mnachoabudu ni kitu kingine kabisa ndo maana Kuna watu Wanamashaka na ALLAH ni Mungu huyuhuyu wanaemuabudu wengine?? Mungu aseme watu wataenda kukuta mabikra PEPONI? Na ukigonga bikra zinarudi Tena ,ni Kazi ya kutoa bikra kila siku?
  • ALLAH akawakaze duniani msinywe pombe mbinguni awape pombe?
  • ALLAH aseme ruksa kumuingilia mtumwa au mke wa mtumwa wako?
  • Bado Kuna maswali mengi juu ya Allah subhana watalah kwa Aya hiyo hapo juu Leo nimeamini rasmi kua "Mnachokiabudu sicho wanachokiabudu wengine" kwahiyo msitake/lazimisha watu wawafate BAkini na Imani yenu
 
Inawezekana hujafahamu au umekusudia kupotosha kwa makusudi ili wenye akili ndogo kama zako uendelee kula sadaka zao za J2
 
Hakuna madhara yoyote ya kutofata Uislam zaidi faida tele
 
Amen kubwa Wambie YESU anawaita
 
unadhani lengo la hicho kitabu ni nini ?
ku convert watu kwenye uislamu...
je ulitegemea kingeandikwa nini

kwaiyo hakiwezi kutumika kama reference.

Uislamu pia ni dini nzuri ila kwa akili ya kawaida huwezi kutumia Quran kuthibitisha kwamba uislamu ndo dini sahihi...

hakuna dini bora zaidi labda mimi niseme ukristo ndio bora kwasababu central figure ni masiha ambaye hata nyinyi mnamtambua na alitabiriwa zaidi ya miaka elfumbili kabla kua atakuja na kuiweka sawa torati alipokuja ndo ukristo ulipoanzia.

ila kihistoria uislamu umekuja takriban miaka 500 baada ya ukristo itakuaje mnasema ndo mpo sahihi ?
 
Unauhakika na ulichoandika hapa?
Amen kubwa Wambie YESU anawaita
Yesu hakutoa au kuchukua riba, kwa kufuata katazo la Agano la Kale (Kutoka 22:25). Riba ni haramu katika Agano la Kale na Quran, kama ilivyo haramishwa katika dini ya Yesu. Uchumi wa nchi nyingi za Kikristo, hata hivyo, umeundwa juu ya riba.
 
Inawezekana hujafahamu au umekusudia kupotosha kwa makusudi ili wenye akili ndogo kama zako uendelee kula sadaka zao za J2
Mimi Nina kanisa? Shida yenu ndo hiyo hamjibu hoja,Wewe mwenye akili kubwa kwanini haujajibu chochote ukimbilie kusema sadaka?
 
Asiena akili yule alieletwa katika dunia na kuwaona wenziwe mmoja mmoja anaondoka katika dunia na yeye hatafakari
Kuondoka duniani siyo kitu Cha ajabu na hakikuanza Leo. Dunia haishi binadamu peke yake na pia binadamu ni kama wanyama wengine ambao pia hufa Kwa kawaida au Kwa kuliwa na binadamu. Je hiyo Pepo ni ya binadamu peke yake au na viumbe vyote. Kuku. Ngombe uliowala watakuwa wapi badaye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…