MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Hataki kusema anademadema tu .Wewe bwana wewe raia Huwa wachokozi sana angesema kisa kilichomfanya apigwe ili tupime uzito wa kosa...!
Nye keyboard warriors huwa mnachekesha sana 😅😅😅Hataki kusema anademadema tu .
Ila kila nikiwaza mtu mzima na familia yako upigwe vibao na kajamaa kamoja eti kanajeshi naishiwa nguvu .
Ngoja niendelee kufuatilia darasa kwa bwana NALIA NGWENA
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Daktari ya kweli haya au ndiyo wikiendi ishaanza rafiki yangu?Mimi nawachapaga makofi.
Arusha wapo wanajeshi kibao. Ubabe wao wakafanyie kwingine, si kwangu.
Nawapiga makofi alafu nampigia Mkuu wao. Nimemchapa askari wako kwa sababu moja mbili tatu.
Wanatia akili.
Daktari ya kweli haya au ndiyo wikiendi ishaanza rafiki yangu?Mimi nawachapaga makofi.
Arusha wapo wanajeshi kibao. Ubabe wao wakafanyie kwingine, si kwangu.
Nawapiga makofi alafu nampigia Mkuu wao. Nimemchapa askari wako kwa sababu moja mbili tatu.
Wanatia akili.
Wewe ni askari? Tunaweza kupanga appointment. Alafu uje uniletee upumbavu wako ili ufahamu.Keyboard warrior 😅😅
Maisha ni haya haya rafiki acha tufurahi .Nye keyboard warriors huwa mnachekesha sana [emoji28][emoji28][emoji28]
Safi kabisa hapa hapa nataka apatikane mshindi sasa .Wewe ni askari? Tunaweza kupanga appointment. Alafu uje uniletee upumbavu wako ili ufahamu.
Nishatwangana Makonde na wanajeshi wasiopungua watatu.Daktari ya kweli haya au ndiyo wikiendi ishaanza rafiki yangu?
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Usipende kutunishiana misuli na wanajeshi wengine ni makomando ukaishia kucheua damu.wanajeshi hamna kitu pale. Kuna siku mjeda aliniletea vitisho vya kijinga. nikamwambia siku akiwa tayari aje tupimane. toka siku hiyo akawa ananiheshimu sana
Muambie hako katoto, kama anajiamini apange appointment.Safi kabisa hapa hapa nataka apatikane mshindi sasa .
Ni wizara ya afya vs wizara ya ulinzi tuko hapa kumuona mwamba sasa
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Umeamua kutunywesha chai bila kupenda,wewe upigane na wanajeshi watatu 3 na uwapige?? Movie zisikudanganye.Nishatwangana Makonde na wanajeshi wasiopungua watatu.
Na wote ni wepesi sana. Bahati mbaya kwao, wanakuwa wababe wakilewa. Na Daktari situmii kilevi cha aina yeyote.
Mkuu, ninafahamiana na Boss wao. Ni rafiki yangu sana. Hivyo, nikiwabonda nampigia.
Komando hawezi kusumbuana kipumbavu na raia.Usipende kutunishiana misuli na wanajeshi wengine ni makomando ukaishia kucheua damu.
Siyo kupigana na watatu kwa pamoja. Kwa nyakati tofauti.Umeamua kutunywesha chai bila kupenda,wewe upigane na wanajeshi watatu 3 na uwapige?? Movie zisikudanganye.
Vijana 3 tu wenye miaka 20 wasio na mafunzo yoyote wanakuweka chini
Hajasema amepigana nao kwa wakati mmojaUmeamua kutunywesha chai bila kupenda,wewe upigane na wanajeshi watatu 3 na uwapige?? Movie zisikudanganye.
Vijana 3 tu wenye miaka 20 wasio na mafunzo yoyote wanakuweka chini sembuse upigane na watu wenye mafunzo ukomavu na ustahimilivu!
Askari mmoja au watatu ndiyo useme JWTZ?Kwa muda mrefu, Askari wa JWTZ wamekuwa wakilaumiwa kwa kujichukulia Sheria mikononi mwao. Kwa kuwa wao ni wanajeshi, wanaamini kwamba wanaweza kupiga watu makofi mtaani hovyo bila kuulizwa na mtu.
Pengo la uhusiano mnalolitengeneza kati yenu na raia wa kawaida, mtakuja kuliona nyakati zijazo. Na mtambue kuwa uwezo wenu wa kuilinda hii nchi unategemea ushirikiano kamili na wananchi.
Hatuombi mabaya yatokee lakini siku nchi hii ikipitia kwenye misukosuko ya kiusalama, mkipita mitaani katika kutekekeza majukumu yenu, mtakutana na sisi raia wa kawaida ambao awali mlikuwa mkitupiga hovyo.
Mkiishiwa chakula, hatutawapa
Mkiishiwa maji, hatutawapa
Mkitumia ubabe Kama mlivyojizosha tutawawekea sumu.
Sifa ya kwanza ya kuwa Askari wa JWTZ ni kuwa RAIA wa TZ lakini huwa Nashangaa sana mnapojitofautisha na RAIA kana kwamba nyie sio RAIA, Sasa huo uaskari wameupataje!?
Au Ukishakuwa ASKARI, U-RAIA unaisha?
Katika serikali ya awamu ya tano, tulishuhudia chuki kubwa Kati ya raia wa kawaida na jeshi la Polisi baada ya maaskari hao kutumia mamlaka vibaya na ubabe wa kishamba, Nadhani hiyo chuki imepungua awamu hii.
Nia yangu Ni njema na Kama raia mwema, natumai haki yangu ya kikatiba kuwashauri. Badilikeni Masoja, Tanzania yenye ulinzi imara inaanza na raia wema, Kisha Maaskari.
Sisi ni wengi Kuliko nyie hivyo bila sisi hamtaweza kuilinda hii nchi. Acheni kupiga watu mtaani makofi hovyo. Tukiamua ku deal na nyie tunaweza ila tusifike huko.
Nina jirani yangu ni mjeda, wale walioingia Ujedani kwa sababu ya michezo (Boxing)..yaani ana upumbavu wa kifala sana.....ukikaa nae hata dk 10 chaap utagundua humu shule hakunaWanajeshi ambao hawakwendaga shule huwa wana akili za hovyo sana!
Mbaya zaidi raia hawazijui haki zao na sheria hawaijui basi mtihani kwelikweli
Alikuwa kanywa...? Hakukupigia honi kama yupo kwenye dharura...? Kuna ukakasi hapa...eleza vizuri unaweza kupata msaada...Hapana, alikuwa anaendesha gari kulia, nilipohamisha bike akanifuata Tena, niliposimama akasimama akatoka nje ya gari akachukua ufunguo wa bike akaanza kunifokea na kunipiga
...Sidhani Kama alikuwa amelewaAlikuwa kanywa...? Hakukupigia honi kama yupo kwenye dharura...? Kuna ukakasi hapa...eleza vizuri unaweza kupata msaada...
Je funguo zako alikurudishia...?