Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Wakafie mbele ya safariWakati mwingine wanaingia kwenye bar za watu wanalewa halafu wanagoma kulipa. Dawa Ni kuwawekea sumu tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakafie mbele ya safariWakati mwingine wanaingia kwenye bar za watu wanalewa halafu wanagoma kulipa. Dawa Ni kuwawekea sumu tu.
Yeah 😅Wakafie mbele ya safari
Waonevu sana,Mimi bongo nikikuta askari na mbwa wanahitaji msaada nampa mbwa,naacha askari aseehh...sio watu hawaWakipelekwa Mozambique kupambana na ugaidi, wanarudishwa wakiwa mizoga. Badala watumie huu wakati wa Amani kujiimarisha, wanaoutumia kutengeneza chuki na raia wasio na silaha.
Watu mmevurugwa dah! 😁😁😁Binafsi Tz ikivamiwa sitaisaidia
Ushatuona sisi firigisi we jamaa?Kuna haja ya kufanya mabadiliko kwenye haya majipu pia.
Marekani huwi mwanajeshi angalau uwe na Bachelor, hii iletwe huku pia tupate jeshi lenye weledi na kujitambua... na wapewe mafundisho kuwa raia sio adui yako au punch-bag la kumalizia hasira zako
Mbona kashasema soma post utaonaWewe bwana wewe raia Huwa wachokozi sana angesema kisa kilichomfanya apigwe ili tupime uzito wa kosa...!
Asema ukweli. Sasa hapo atafutwe kwa kosa gani?Mimi Simo, ukianza kutafutwa
Kwa wale ambao hawawezi kupambana inabidi wakawaripoti tu hawana namna,huwa mkizinguana kwenye mambo yetu ya kimtaa lazima muyamalize huko. Huwa jeshi halitakagi ujinga ndomaana wale wanao waonea raia,huwa hawapendi hilo swala liwafikie wakuu maana huwa wanapewa adhabu kali sana.Shida siyo kutoa malalamiko,yaani mtu anipige makofi,nije nitoe malalamiko,dawa ni kupambana kadri unavyoweza,kama utapigwa sawa,kama utampiga sawa.Wananchi waache unyonge,mwanajeshi akikuzingua eti anataka kukupiga,usipigwe kizembe,pambana kadri unavyoweza.Hakya-Mungu siwezi kukubali uniaibishe hadharani,halafu niende kwa wakubwa ukaombe msamaha faraghani,aisee sikubali.
Jiulize kwanini Rostam Aziz alipotuhumu mahakama kuwa haziko huru,aliambiwa na chama cha majaji,aombe radhi vilevile alivyotuhumu,yaani kama aliita vyombo vya habari kutuhumu,basi aite vyombo vya habari kukanusha na si vinginevyo,angesema akanushe faraghani,nani angejua kakanusha?
Narudia tena,mwanajeshi asiye na nidhamu,akinizingua,namimi namzingua,ni heri tupambane nionekane nimepambana,siyo kupigwa kizembe.
Isifikie hukoWakati mwingine wanaingia kwenye bar za watu wanalewa halafu wanagoma kulipa. Dawa Ni kuwawekea sumu tu.
Majority Hawawezi kuwaza. Wangekuwa wanaweza wasingefeli form four.Sifa ya kwanza ya kuwa Askari ni RAIA wa TZ
LAKINI huwa nashangaa(ga) sana wanapojitofautisha na RAIA kana kwamba wao sio RAIA
Sasa huo uaskari wameupataje!?
Ama kwa Ukiwa ASKARI U-RAIA una kuvuka!?
Hawa jamaa wanafikirisha sana Sometimes.
Serikali itakubaliana na Mimi kuwa maaskari wengi wa JWTZ Ni waonevuHawa jamaa wanajikutaga kuwa wao ni miungu watu, kuna siku nimepanda boda na tuko high way pembeni kuna mtaro sasa kwa nyuma yetu ilikuwa harier akawa anatupigia honi yaani sisi tuingie mtaroni yeye apite nikamwambia dereva wa boda wewe tembea site yako na wala asikutishe na honi, basi jamaa akaja kwa nyuma akatupush tukaanguka alafu akasimama akaanza kutufokea nikamuuliza swali wewe ulikuwa unataka tuingie mtaroni au, unatakaje, ghafla ananiuliza unajua mimi ni nani, nikamjibu kukufahamu wewe hainisaidi lolote, jamaa kawa mkali na mimi nikawa mkali,mwenzie akamwambia umekosea alafu bado unazingua, pale nikajifanya nachujua namba ya gari na jina kwenye sare yake, mwenzie akanifuata akaomba samahani,
Alikuwa Ana miauli mikubwa, ningekataa ningechakaa zaidi 😅😅Udhaifu wako tu,utarushwaje kichura bila kosa.
Omba yasikukuteUkiona Manyoya ujue kaliwa..
Mkuu wamekutemesha Bungo 😅😅
Keyboard warrior 😅😅Mimi nawachapaga makofi.
Arusha wapo wanajeshi kibao. Ubabe wao wakafanyie kwingine, si kwangu.
Nawapiga makofi alafu nampigia Mkuu wao. Nimemchapa askari wako kwa sababu moja mbili tatu.
Wanatia akili.
Another Keyboard warrior 😅😅😅Yaani mtu unapigwa makofi... ?Kinachokufanya usiriakti ninini?
Unaogopa utakufa au?
Aisee... kuna watu ni mafala sana hii nchi.Watu wa hivi walitakiwa wazaliwe miaka ya ukoloni huko,wapigwe mbata na wazungu.. mtu umezaliwa miaka hii,bado unaonewaonewa... aiseee,mnaacha askari wasiokua na nidhamu wanajichukulia maujiko hovyohovyo.