Ujumbe huu uwafikie Askari wa JWTZ

Ujumbe huu uwafikie Askari wa JWTZ

Sijawahi kuvaa sare za majeshi. Na sijasema nilipigwa kwa sababu ya kuvaa sare. **** mamaako mbwa wewe
shukrani.
ila nasisitiza kuheshimiana.

ukiwa mporomoshaji wa hayo mambo lazima upigwetu, ukijiona wewe ndio jeuri sana lazima upigwe, na mimi nasema wapigwe tu, maana hakuna namna nyingine sasa.....
 
Umefanyiwa ubabe Gani...? Uliwakosea Nini Hadi wakupige...?
Mwanajeshi ni mtu kama wewe na Mimi Ambae hulka yetu ni hasira tunapo kwazwa eleza kisa kamili kilicho kukuta tukusaidie...! Usifiche neno Wala usiongeze chumvi... vinginevyo Dua lako Hilo litakuwa ni sawa na Dua la kuku kamwe haliwezi kumpata mwewe....!​
 
Aisee walimpasulia jamaa yangu kioo cha IST cha nyuma walikuwa na haraka zao breki zikafeli wakagonga IST eti wakashuka wakampa pole tu basi. Mungu aniepushie na haya majanga ningekuwa mimi ningechukua plate number, na ya mmoja ile ya begani ningewafata hukohuko kambini wakanifidie kioo.
 
Back
Top Bottom