Ujumbe huu uwafikie Askari wa JWTZ

Ujumbe huu uwafikie Askari wa JWTZ

Kwa muda mrefu, Askari wa JWTZ wamekuwa wakilaumiwa kwa kujichukulia Sheria mikononi mwao. Kwa kuwa wao ni wanajeshi, wanaamini kwamba wanaweza kupiga watu makofi mtaani hovyo bila kuulizwa na mtu.

Pengo la uhusiano mnalolitengeneza kati yenu na raia wa kawaida, mtakuja kuliona nyakati zijazo. Na mtambue kuwa uwezo wenu wa kuilinda hii nchi unategemea ushirikiano kamili na wananchi.

Hatuombi mabaya yatokee lakini siku nchi hii ikipitia kwenye misukosuko ya kiusalama, mkipita mitaani katika kutekekeza majukumu yenu, mtakutana na sisi raia wa kawaida ambao awali mlikuwa mkitupiga hovyo.

Mkiishiwa chakula, hatutawapa
Mkiishiwa maji, hatutawapa
Mkitumia ubabe Kama mlivyojizosha tutawawekea sumu.

Katika serikali ya awamu ya tano, tulishuhudia chuki kubwa Kati ya raia wa kawaida na jeshi la Polisi baada ya maaskari hao kutumia mamlaka vibaya na ubabe wa kishamba, Nadhani hiyo chuki imepungua awamu hii.

Nia yangu Ni njema Kama raia mwema, natumai haki yangu ya kikatiba kuwashauri. Badilikeni Masoja, Tanzania yenye ulinzi imara inaanza na raia wema, Kisha Maaskari. Sisi ni wengi Kuliko nyie hivyo bila sisi hamtaweza kuilinda hii nchi.
Ukiona Manyoya ujue kaliwa..
Mkuu wamekutemesha Bungo 😅😅
 
Kwa muda mrefu, Askari wa JWTZ wamekuwa wakilaumiwa kwa kujichukulia Sheria mikononi mwao. Kwa kuwa wao ni wanajeshi, wanaamini kwamba wanaweza kupiga watu makofi mtaani hovyo bila kuulizwa na mtu.

Pengo la uhusiano mnalolitengeneza kati yenu na raia wa kawaida, mtakuja kuliona nyakati zijazo. Na mtambue kuwa uwezo wenu wa kuilinda hii nchi unategemea ushirikiano kamili na wananchi.

Hatuombi mabaya yatokee lakini siku nchi hii ikipitia kwenye misukosuko ya kiusalama, mkipita mitaani katika kutekekeza majukumu yenu, mtakutana na sisi raia wa kawaida ambao awali mlikuwa mkitupiga hovyo.

Mkiishiwa chakula, hatutawapa
Mkiishiwa maji, hatutawapa
Mkitumia ubabe Kama mlivyojizosha tutawawekea sumu.

Katika serikali ya awamu ya tano, tulishuhudia chuki kubwa Kati ya raia wa kawaida na jeshi la Polisi baada ya maaskari hao kutumia mamlaka vibaya na ubabe wa kishamba, Nadhani hiyo chuki imepungua awamu hii.

Nia yangu Ni njema Kama raia mwema, natumai haki yangu ya kikatiba kuwashauri. Badilikeni Masoja, Tanzania yenye ulinzi imara inaanza na raia wema, Kisha Maaskari. Sisi ni wengi Kuliko nyie hivyo bila sisi hamtaweza kuilinda hii nchi.
Walikuja kuchua sare zao nini?

Ila umeongea kweli tupu.
 
Udhaifu wako tu,utarushwaje kichura bila kosa.
Upo wap nielekeze nije nikurukishe kichura chura na huna Cha kunifanya.....

Taja upo wap ntatumia gharama zangu kuja kukurusha kichura chura na hauna Cha kunifanya....

Sitanii utakuja kutupa mrejesho ☺️☺️😊😊😂😂🤓🤓
 
Na kwa bahati mbaya, wengi hawana elimu
Kuna haja ya kufanya mabadiliko kwenye haya majipu pia.

Marekani huwi mwanajeshi angalau uwe na Bachelor, hii iletwe huku pia tupate jeshi lenye weledi na kujitambua... na wapewe mafundisho kuwa raia sio adui yako au punch-bag la kumalizia hasira zako
 
Upo wap nielekeze nije nikurukishe kichura chura na huna Cha kunifanya.....

Taja upo wap ntatumia gharama zangu kuja kukurusha kichura chura na hauna Cha kunifanya....

Sitanii utakuja kutupa mrejesho ☺️☺️😊😊😂😂🤓🤓
☝🏿 Hawa Ndiyo wanajeshi tulionao, mnajivunia kupiga watu wasio na silaha.

Mnasema nyie ni Namba sita Dunia 😅

Kila siku mnaringia historia ya FRELIMO, ZANU na Vita vya uganda. Yaani mnajivunia historia? . Kwa sasa Uganda ina jeshi la kisasa Kuliko nyie, hata Rwanda wanaweza kuwapiga miti. Serikali ipo macho na naamini inasoma Uzi huu na inajionea aibu ya Jeshi tulilonalo.
 
Upo wap nielekeze nije nikurukishe kichura chura na huna Cha kunifanya.....

Taja upo wap ntatumia gharama zangu kuja kukurusha kichura chura na hauna Cha kunifanya....

Sitanii utakuja kutupa mrejesho [emoji3526][emoji3526][emoji4][emoji4][emoji23][emoji23][emoji851][emoji851]
Una umri gani?
Cheo chako?

Ukinijibu nitakuambia nilipo uje, tuone kama utayaweza.
Poti lazima awe na nidham.
 
Kwa muda mrefu, Askari wa JWTZ wamekuwa wakilaumiwa kwa kujichukulia Sheria mikononi mwao. Kwa kuwa wao ni wanajeshi, wanaamini kwamba wanaweza kupiga watu makofi mtaani hovyo bila kuulizwa na mtu.

Pengo la uhusiano mnalolitengeneza kati yenu na raia wa kawaida, mtakuja kuliona nyakati zijazo. Na mtambue kuwa uwezo wenu wa kuilinda hii nchi unategemea ushirikiano kamili na wananchi.

Hatuombi mabaya yatokee lakini siku nchi hii ikipitia kwenye misukosuko ya kiusalama, mkipita mitaani katika kutekekeza majukumu yenu, mtakutana na sisi raia wa kawaida ambao awali mlikuwa mkitupiga hovyo.

Mkiishiwa chakula, hatutawapa
Mkiishiwa maji, hatutawapa
Mkitumia ubabe Kama mlivyojizosha tutawawekea sumu.

Katika serikali ya awamu ya tano, tulishuhudia chuki kubwa Kati ya raia wa kawaida na jeshi la Polisi baada ya maaskari hao kutumia mamlaka vibaya na ubabe wa kishamba, Nadhani hiyo chuki imepungua awamu hii.

Nia yangu Ni njema Kama raia mwema, natumai haki yangu ya kikatiba kuwashauri. Badilikeni Masoja, Tanzania yenye ulinzi imara inaanza na raia wema, Kisha Maaskari. Sisi ni wengi Kuliko nyie hivyo bila sisi hamtaweza kuilinda hii nchi.
Chuki dhidi ya raia dhidi ya vyombo vya usalama nchini imeendelea kukua haijapungua.

Vyombo ambavyo kwao ulinzi wa nchi ni kuwalinda viongozi hata pale wanapovunja katiba, sheria na maadili wazi wazi.

Vyombo ambavyo vinatekeleza jukumu la kuwakandamiza raia kama adui namba moja wa serikali


Vyombo ambavyo, vimeshindwa kulinda mipaka ya nchi na tunashuhudia jeshi likitumika kuwaswaga wamasai kutoka ardhi yao ya asili ili kuwapatia mamlaka ya kigeni utawala ndani ya mipaka yetu

Vyombo ambavyo, vimehakikisha vinapata sheria ya kinga ya kutoshtakiwa watakapoua raia (wanasema bahati mbaya) wanapotekeleza majukumu yao ya kumkamata raia anayetuhumiwa

Vyombo ambavyo, vinakandamiza uhuru wa maoni, kukusanyika na kushiriki kihalali ibara ya 18 ya Katiba


Vyombo vinavyotumika kubambikiza kesi raia wanaotoa maoni ya kukosoa upumbavu wa viongozi wa serikali


Hakuna, nasema hakuna mahala ambapo jamii imepunguza hasira dhidi yao.
 
Back
Top Bottom