Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Ongea naye aridhie.Daktari ngoja niendelee kumshawishi aje mimi nauli ya kutoka alipo nitalipa .
Incase kipigo utakachompa kitasababisha kupewa matibabu makubwa basi mimi najitolea kumihudumia kwa gharama zozote na kutumia ujuzi wangu mpaka apone .
Elias K njoo umjibu daktari ashaweka meeting point nakusubiri wewe tu kujua kama uko tayari ili nitume hela ya nauli ili pambano likapigwe huko .
Nb.Nitakuwepo
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Umeandika utumbo wa bata.Kwa muda mrefu, Askari wa JWTZ wamekuwa wakilaumiwa kwa kujichukulia Sheria mikononi mwao. Kwa kuwa wao ni wanajeshi, wanaamini kwamba wanaweza kupiga watu makofi mtaani hovyo bila kuulizwa na mtu.
Pengo la uhusiano mnalolitengeneza kati yenu na raia wa kawaida, mtakuja kuliona nyakati zijazo. Na mtambue kuwa uwezo wenu wa kuilinda hii nchi unategemea ushirikiano kamili na wananchi.
Hatuombi mabaya yatokee lakini siku nchi hii ikipitia kwenye misukosuko ya kiusalama, mkipita mitaani katika kutekekeza majukumu yenu, mtakutana na sisi raia wa kawaida ambao awali mlikuwa mkitupiga hovyo.
Mkiishiwa chakula, hatutawapa
Mkiishiwa maji, hatutawapa
Mkitumia ubabe Kama mlivyojizosha tutawawekea sumu.
Sifa ya kwanza ya kuwa Askari wa JWTZ ni kuwa RAIA wa TZ lakini huwa Nashangaa sana mnapojitofautisha na RAIA kana kwamba nyie sio RAIA, Sasa huo uaskari wameupataje!?
Au Ukishakuwa ASKARI, U-RAIA unaisha?
Katika serikali ya awamu ya tano, tulishuhudia chuki kubwa Kati ya raia wa kawaida na jeshi la Polisi baada ya maaskari hao kutumia mamlaka vibaya na ubabe wa kishamba, Nadhani hiyo chuki imepungua awamu hii.
Nia yangu Ni njema na Kama raia mwema, natumai haki yangu ya kikatiba kuwashauri. Badilikeni Masoja, Tanzania yenye ulinzi imara inaanza na raia wema, Kisha Maaskari.
Sisi ni wengi Kuliko nyie hivyo bila sisi hamtaweza kuilinda hii nchi. Acheni kupiga watu mtaani makofi hovyo.
🖕🏿🖕🏿Kaa hapoUmeandika utumbo wa bata.
Safi kabisa ila itoshe kusema afande Elias K ni muoga sana yaani mpka kujibu anaogopa .Ongea naye aridhie.
Na kwa kuwa hawahudumiwi hospital za kiraia, namgonga kisha namhudumia.
Atakuja kufatwa kupelekwa hospital ya Jeshi TMA kwa uangalizi zaidi.
Maana..........,malizia mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]Umeona drills za mazoezi walizokuwa
Wanafanya bagamoyo leo [emoji1]
Wameweka chupa za mo energy chupa za uhai wanazilenga
Hawa naona kwa sasa wasioneshe mazoezi yao hadharani maana
Ova
Sio Elias K sio askari yeye ni raia,na sio yeye aliesema anaweza kumzibua raia muda wowoteSafi kabisa ila itoshe kusema afande Elias K ni muoga sana yaani mpka kujibu anaogopa .
Mimi nakuita afande njoo tumalize utata hapo Arusha bablah mbona gharama zote zitalipwa mpaka ukipigwa madaktari wapo kukutibu maana itakuwa ni ajari kazini .
Nb .Itafanywa siri sana .
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Ni nani kaka ?Sio Elias K sio askari yeye ni raia,na sio yeye aliesema anaweza kumzibua raia muda wowote
Ni kijana wa hovyo.Safi kabisa ila itoshe kusema afande Elias K ni muoga sana yaani mpka kujibu anaogopa .
Mimi nakuita afande njoo tumalize utata hapo Arusha bablah mbona gharama zote zitalipwa mpaka ukipigwa madaktari wapo kukutibu maana itakuwa ni ajari kazini .
Nb .Itafanywa siri sana .
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Ukiwa mkaidi utashughulikiwa TUNi nani kaka ?
Maana catalyst niko hapa kuhakikisha pambano linakuwepo .
Maana wizara ya afya tushampata muwakilishi wetu sasa bado watu wa wizara ya ulinzi watoe mtu wao ili ndugu yetu Restless Hustler afurahie kulipiwa kisasi maana kaonewa na hao watoto wa bakabaka
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Siungi mkono askari kumuonea raia asiye na makosa, ukionewa ripoti Kambi ya karibu na wewe ila inategemea na akili ya utakaowakuta.Ni kijana wa hovyo.
Nimemsoma kuna mahali alirukishwa kichura chura na mwanajeshi kisa kadai nauli.
Bila shaka ni boda boda ama konda wa Hiace , au la kijana wa Bajaji.
Ndiyo maana, akisikia kuna wanajeshi anapata wazo kuwa wote tupo sawa. Kwamba wote sisi ni lele mama kwa hao walinzi.
Ajifunze kujipambania. Aache unyonge wa kipumbavu.
Unanijua kwani Mimi?Siungi mkono askari kumuonea raia asiye na makosa, ukionewa ripoti Kambi ya karibu na wewe ila inategemea na akili ya utakaowakuta.
Ila BWANA Dr cha kujisifia kuwa unaweza kupambana na askari na ukamshinda utaumia ndugu yangu hata huyo mkubwa unaemsemea hatakusaidia
Siungi mkono askari kumuonea raia asiye na makosa, ukionewa ripoti Kambi ya karibu na wewe ila inategemea na akili ya utakaowakuta.Ni kijana wa hovyo.
Nimemsoma kuna mahali alirukishwa kichura chura na mwanajeshi kisa kadai nauli.
Bila shaka ni boda boda ama konda wa Hiace , au la kijana wa Bajaji.
Ndiyo maana, akisikia kuna wanajeshi anapata wazo kuwa wote tupo sawa. Kwamba wote sisi ni lele mama kwa hao walinzi.
Ajifunze kujipambania. Aache unyonge wa kipumbavu.
Kwahiyo hizo Ni kazi za hovyo? Acha dharau mkuu. Kama Mungu alikujaalia kusoma na kupata kipato cha juu usidharau hustles za wengine.Ni kijana wa hovyo.
Bila shaka ni boda boda ama konda wa Hiace , au la kijana wa Bajaji.
Ana dharau Sana huyo brotherSiungi mkono askari kumuonea raia asiye na makosa, ukionewa ripoti Kambi ya karibu na wewe ila inategemea na akili ya utakaowakuta.
Ila BWANA Dr cha kujisifia kuwa unaweza kupambana na askari na ukamshinda utaumia ndugu yangu hata huyo mkubwa unaemsemea hatakusaidia
Huu unyonge ndiyo unakufanya unapigwa.Kwahiyo hizo Ni kazi za hovyo? Acha dharau mkuu. Kama Mungu alikujaalia kusoma na kupata kipato cha juu usidharau hustles za wengine.