Ujumbe huu uwafikie Askari wa JWTZ

Ujumbe huu uwafikie Askari wa JWTZ

Siku zote ukizozana au askari akikufanyia ubaya chukua namba za gari kwa usahihi kama hana chukua namba zake za utambulisho. Jizuie kugombana kama kuna watu jirani waombe wachukue video. Hao mafara ajira zao wameandikwa kwa penseli
 
Daktari ngoja niendelee kumshawishi aje mimi nauli ya kutoka alipo nitalipa .
Incase kipigo utakachompa kitasababisha kupewa matibabu makubwa basi mimi najitolea kumihudumia kwa gharama zozote na kutumia ujuzi wangu mpaka apone .

Elias K njoo umjibu daktari ashaweka meeting point nakusubiri wewe tu kujua kama uko tayari ili nitume hela ya nauli ili pambano likapigwe huko .

Nb.Nitakuwepo

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Ongea naye aridhie.

Na kwa kuwa hawahudumiwi hospital za kiraia, namgonga kisha namhudumia.

Atakuja kufatwa kupelekwa hospital ya Jeshi TMA kwa uangalizi zaidi.
 
Kwa muda mrefu, Askari wa JWTZ wamekuwa wakilaumiwa kwa kujichukulia Sheria mikononi mwao. Kwa kuwa wao ni wanajeshi, wanaamini kwamba wanaweza kupiga watu makofi mtaani hovyo bila kuulizwa na mtu.

Pengo la uhusiano mnalolitengeneza kati yenu na raia wa kawaida, mtakuja kuliona nyakati zijazo. Na mtambue kuwa uwezo wenu wa kuilinda hii nchi unategemea ushirikiano kamili na wananchi.

Hatuombi mabaya yatokee lakini siku nchi hii ikipitia kwenye misukosuko ya kiusalama, mkipita mitaani katika kutekekeza majukumu yenu, mtakutana na sisi raia wa kawaida ambao awali mlikuwa mkitupiga hovyo.

Mkiishiwa chakula, hatutawapa
Mkiishiwa maji, hatutawapa
Mkitumia ubabe Kama mlivyojizosha tutawawekea sumu.

Sifa ya kwanza ya kuwa Askari wa JWTZ ni kuwa RAIA wa TZ lakini huwa Nashangaa sana mnapojitofautisha na RAIA kana kwamba nyie sio RAIA, Sasa huo uaskari wameupataje!?

Au Ukishakuwa ASKARI, U-RAIA unaisha?

Katika serikali ya awamu ya tano, tulishuhudia chuki kubwa Kati ya raia wa kawaida na jeshi la Polisi baada ya maaskari hao kutumia mamlaka vibaya na ubabe wa kishamba, Nadhani hiyo chuki imepungua awamu hii.

Nia yangu Ni njema na Kama raia mwema, natumai haki yangu ya kikatiba kuwashauri. Badilikeni Masoja, Tanzania yenye ulinzi imara inaanza na raia wema, Kisha Maaskari.

Sisi ni wengi Kuliko nyie hivyo bila sisi hamtaweza kuilinda hii nchi. Acheni kupiga watu mtaani makofi hovyo.
Umeandika utumbo wa bata.
 
Ongea naye aridhie.

Na kwa kuwa hawahudumiwi hospital za kiraia, namgonga kisha namhudumia.

Atakuja kufatwa kupelekwa hospital ya Jeshi TMA kwa uangalizi zaidi.
Safi kabisa ila itoshe kusema afande Elias K ni muoga sana yaani mpka kujibu anaogopa .
Mimi nakuita afande njoo tumalize utata hapo Arusha bablah mbona gharama zote zitalipwa mpaka ukipigwa madaktari wapo kukutibu maana itakuwa ni ajari kazini .

Nb .Itafanywa siri sana .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Katabia ka askari wetu kujitia amira na kuumuka mabega juu na kutishia raia hususani mabarabarani wakiwa na magari
ni kubwa zaidi inavyofikiriwa , ila ni ushamba tu hasa askari mbarara ,siyo maofisa wakubwa. Wanajisahau kuwa wanatokana na raia, hata mishahara ni kodi ya raia. Lakini pia traffic police wanawagwaya wakivunja sheria
 
Safi kabisa ila itoshe kusema afande Elias K ni muoga sana yaani mpka kujibu anaogopa .
Mimi nakuita afande njoo tumalize utata hapo Arusha bablah mbona gharama zote zitalipwa mpaka ukipigwa madaktari wapo kukutibu maana itakuwa ni ajari kazini .

Nb .Itafanywa siri sana .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Sio Elias K sio askari yeye ni raia,na sio yeye aliesema anaweza kumzibua raia muda wowote
 
Sio Elias K sio askari yeye ni raia,na sio yeye aliesema anaweza kumzibua raia muda wowote
Ni nani kaka ?
Maana catalyst niko hapa kuhakikisha pambano linakuwepo .

Maana wizara ya afya tushampata muwakilishi wetu sasa bado watu wa wizara ya ulinzi watoe mtu wao ili ndugu yetu Restless Hustler afurahie kulipiwa kisasi maana kaonewa na hao watoto wa bakabaka

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Safi kabisa ila itoshe kusema afande Elias K ni muoga sana yaani mpka kujibu anaogopa .
Mimi nakuita afande njoo tumalize utata hapo Arusha bablah mbona gharama zote zitalipwa mpaka ukipigwa madaktari wapo kukutibu maana itakuwa ni ajari kazini .

Nb .Itafanywa siri sana .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Ni kijana wa hovyo.

Nimemsoma kuna mahali alirukishwa kichura chura na mwanajeshi kisa kadai nauli.

Bila shaka ni boda boda ama konda wa Hiace , au la kijana wa Bajaji.

Ndiyo maana, akisikia kuna wanajeshi anapata wazo kuwa wote tupo sawa. Kwamba wote sisi ni lele mama kwa hao walinzi.

Ajifunze kujipambania. Aache unyonge wa kipumbavu.
 
Ni nani kaka ?
Maana catalyst niko hapa kuhakikisha pambano linakuwepo .

Maana wizara ya afya tushampata muwakilishi wetu sasa bado watu wa wizara ya ulinzi watoe mtu wao ili ndugu yetu Restless Hustler afurahie kulipiwa kisasi maana kaonewa na hao watoto wa bakabaka

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Ukiwa mkaidi utashughulikiwa TU

Askari jeshi anafundishwa namna ya kupambana na adui (especially mgeni) anaetishia usalama wa taifa,

Hayo wanayoyafanya Kwa raia ni baadhi TU ya mambo wanayofanyiwa mateka vitani
Mwingiliano wa askari jeshi na raia ndo umezaa haya yote

Nilichogundua wengi humu ni keyboard warriors
 
Ni kijana wa hovyo.

Nimemsoma kuna mahali alirukishwa kichura chura na mwanajeshi kisa kadai nauli.

Bila shaka ni boda boda ama konda wa Hiace , au la kijana wa Bajaji.

Ndiyo maana, akisikia kuna wanajeshi anapata wazo kuwa wote tupo sawa. Kwamba wote sisi ni lele mama kwa hao walinzi.

Ajifunze kujipambania. Aache unyonge wa kipumbavu.
Siungi mkono askari kumuonea raia asiye na makosa, ukionewa ripoti Kambi ya karibu na wewe ila inategemea na akili ya utakaowakuta.

Ila BWANA Dr cha kujisifia kuwa unaweza kupambana na askari na ukamshinda utaumia ndugu yangu hata huyo mkubwa unaemsemea hatakusaidia
 
Siungi mkono askari kumuonea raia asiye na makosa, ukionewa ripoti Kambi ya karibu na wewe ila inategemea na akili ya utakaowakuta.

Ila BWANA Dr cha kujisifia kuwa unaweza kupambana na askari na ukamshinda utaumia ndugu yangu hata huyo mkubwa unaemsemea hatakusaidia
Unanijua kwani Mimi?

Sijisifii tu bure. Nishawatwanga wala si mara moja.

Na huyo mkubwa wao simpigii anipe msaada. Bali nampigia kumpa taarifa kuwa nimemtwanga askari wake.
 
Ni kijana wa hovyo.

Nimemsoma kuna mahali alirukishwa kichura chura na mwanajeshi kisa kadai nauli.

Bila shaka ni boda boda ama konda wa Hiace , au la kijana wa Bajaji.

Ndiyo maana, akisikia kuna wanajeshi anapata wazo kuwa wote tupo sawa. Kwamba wote sisi ni lele mama kwa hao walinzi.

Ajifunze kujipambania. Aache unyonge wa kipumbavu.
Siungi mkono askari kumuonea raia asiye na makosa, ukionewa ripoti Kambi ya karibu na wewe ila inategemea na akili ya utakaowakuta.

Ila BWANA Dr cha kujisifia kuwa unaweza kupambana na askari na ukamshinda utaumia ndugu yangu hata huyo mkubwa unaemsemea hatakusaidia
 
Siungi mkono askari kumuonea raia asiye na makosa, ukionewa ripoti Kambi ya karibu na wewe ila inategemea na akili ya utakaowakuta.

Ila BWANA Dr cha kujisifia kuwa unaweza kupambana na askari na ukamshinda utaumia ndugu yangu hata huyo mkubwa unaemsemea hatakusaidia
Ana dharau Sana huyo brother
 
Kwahiyo hizo Ni kazi za hovyo? Acha dharau mkuu. Kama Mungu alikujaalia kusoma na kupata kipato cha juu usidharau hustles za wengine.
Huu unyonge ndiyo unakufanya unapigwa.

Sijasema kazi za hovyo, bali nimekuita wewe ndiye kijana wa hovyo. Unambeba mtu, alafu badala ya kukulipa haki (nauli) yako anakulipa kichura chura.

Na wewe kinyonge unaondoka kisha unakuja mtandaoni kuwatia wengine uoga? Hapana aisee!

Acha kutia huruma. Pambana mdogo wangu.

Alafu usiseme Mungu kanijalia. Nimeweka juhudi, alafu Mungu akanijazilishia. Sijawahi Daktari kwa bahati mbaya au kwa huruma.
 
Back
Top Bottom