Ujumbe huu uwafikie Askari wa JWTZ

Unanijua kwani Mimi?

Sijisifii tu bure. Nishawatwanga wala si mara moja.

Na huyo mkubwa wao simpigii anipe msaada. Bali nampigia kumpa taarifa kuwa nimemtwanga askari wake.
Physical fitness na akili ya askari haifanani

Kuna wengine wamenyimwa Access ya silaha na hawaruhusiwi kutoka nje Kwa Sababu ya akili walionayo

Endelea kuwatwanga
 
Physical fitness na akili ya askari haifanani

Kuna wengine wamenyimwa Access ya silaha na hawaruhusiwi kutoka nje Kwa Sababu ya akili walionayo

Endelea kuwatwanga
Siwaonei. Wala siwachokozi.

Na wakinizingua, nafanya kila namna kumalizana nao kidiplomasia.

Ila wakikaidi na kujidai wababe, nawapa wanachokitaka.

Nawatwanga.
 
Siyo kupigana na watatu kwa pamoja. Kwa nyakati tofauti.

Umri wangu sasa ni 40+. Nikiwa kijana shababi wa Kimasai kwenye my thirties, ndiyo walikula hicho kipondo.

Nawe ni askari?
Umesema una miaka 40+? Ila bado ndo unaandika kipumbavu hivi halaf kumbe ni Dr? Acha ujinga mkuu, Mwanajeshi hana Boss kila Mwanajeshi ni askari lakini sio kila askari ni mwanajeshi. Halafu ukazunymzia et tu Cpl? cpl ni international rank anampa darasa Cadet na kuendelea, Jeshi ni la wananchi wa tanzania sio mali ya mtu ukiona kuna mshenzi kaleta ushenzi ni yeye na sio jeshi. LA WANANCHI
 
Sijui kwa nini hamna watu nawadharau kama Askri Jessica,Polish,Magrez au hao Usalama wa Taifa.
Sijui kwa kuwa nina ile notion ya kuwa hawana akili na elimu
 
Bila sababu yeyote unakutwa na kuanza kupigwa makofi?
 
Ndiyo nina 40+. Ndiyo, mimi ni Dr.

Wewe ni Koplo? Unayaweza? Maana naona umeumia sana mimi kutaja cheo chako, nawachapaga. Hilo silifichi.

Acha upoyoyo. Mkuu wa kikosi chako ni Boss wako. Mkuu wa kambi ni boss wako. Brigade General ni boss wako. Mnadhimu Mkuu wa Jeshi ni Boss wako. CDF ni boss wako. Rais ni Boss wako. Hao wote ni Maboss wako, acha kujitoa ufahamu.
Sijalaumu jeshi, naona una mihemko ya kipumbavu. Nimesema nawachapaga makofi wale wanaojidai wababe na wanayaweza.

Ubabe wa kipumbavu sijawahi kuwa muumini wake. Nikikosa, natii. Ila kuonewa, aisee nitapambana kwa kila namna. Mimi si mnyonge na wala sitokaa niwe mnyonge.
 
Kwangu mm naona ni tofauti sana hakuna watu wanaojitambua Kwa walinzi wetu km jeshi mpk unagombana nao something serious imetokea ni tofauti sn na askari wengine,kwao nidhamu,usafi na heshima ni muhimu sn those are their roles and you have to respect that all the time ukizingua lazima wakuadabishe regardless na eneo.
 
Bro sio wote wanajua kupigana mbona ndugu zangu wengi wako huko ila wanakula mikongoto kila uchwao na watoto wetu waliokataa shule .

Wanakung'utwa vizuri tu .
Jitahidi kutembelea kwenye sehemu za starehe utaona jinsi wanavyotembezewa mkong'oto kila wakileta usela mavi wao .



Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Bro sio wote wanajua kupigana mbona ndugu zangu wengi wako huko ila wanakula mikongoto kila uchwao na watoto wetu waliokataa shule .

Wanakung'utwa vizuri tu .
Jitahidi kutembelea kwenye sehemu za starehe utaona jinsi wanavyotembezewa mkong'oto kila wakileta usela mavi wao .



Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Napenda sana kuwatetea Raia ila raia dizaini Yako huishia kuumizwa vibaya.
 
Wanakua wamelewa

Askari akipigwa na raia ajiandae Kwa adhabu Kali kikosini
 
na nyie raia acheni ujeuri tuheshimiane.
tumeyasikia maoni yenu, tumwyapokea tutuyafanyia kazi kadiri inavofaa.
Nyie ni binaadamu msijivike kiburi na uungu hawa mnaowafanyia utemi ni ndugu zenu , kwenye ujeuri na utovu wa nidhamu ni sawa ila msijisahau kama wote sisi tumeumbwa na mungu na siku zetu hapa duniani ni chache
 
Nilete mihemuko mimi? Nyuma ya keyboard?
Mimi sio koplo, nnayoyaweza hayaniruhusu nikujibu utakalo.
Huyo unayesema unamchapag makofi halafu unampigia boss wake kumpa taarifa huu ni upumbavu unaouandika hakuna Kitu hicho.
Halafu hao wanajeshi wanaoonea watu mnakutana nao wapi zaidi ya kuwa story tu za bar. Hata kama ni la saba mwenye fani ya tawi kuna upumbavu haleti mpka umletee ujuaji.. Mafunzo ya askari yeyote tz ukimletea ujuaji ndo hasara yako.
 
Wanakua wamelewa

Askari akipigwa na raia ajiandae Kwa adhabu Kali kikosini
Bro
Naomba kwa leo nikuache tusiendelee kubishana maana hapa unayezungumza naye nimekulia huko nimesoma huko na bado naishi na hao watu so unachoniambia sikuelewi .

Itoshe kukumbusha kuwa nilifukuzwa huko baada ya kufanya ninayo yajua mimi so usinipange afande wangu .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Wengi wanaleta story tu humu za alinacha. Halafu watu hawajui tu wasvyosemaga jeshi limeingiza siasa ni advantage kubwa kwa raia sababu siku hizi wanasikilizwa zaidi ya wanavyofikiria na ikibainika askari au afisa ametinyanga anad msalabani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…