kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 2,064
- 4,056
Physical fitness na akili ya askari haifananiUnanijua kwani Mimi?
Sijisifii tu bure. Nishawatwanga wala si mara moja.
Na huyo mkubwa wao simpigii anipe msaada. Bali nampigia kumpa taarifa kuwa nimemtwanga askari wake.
Siwaonei. Wala siwachokozi.Physical fitness na akili ya askari haifanani
Kuna wengine wamenyimwa Access ya silaha na hawaruhusiwi kutoka nje Kwa Sababu ya akili walionayo
Endelea kuwatwanga
Umesema una miaka 40+? Ila bado ndo unaandika kipumbavu hivi halaf kumbe ni Dr? Acha ujinga mkuu, Mwanajeshi hana Boss kila Mwanajeshi ni askari lakini sio kila askari ni mwanajeshi. Halafu ukazunymzia et tu Cpl? cpl ni international rank anampa darasa Cadet na kuendelea, Jeshi ni la wananchi wa tanzania sio mali ya mtu ukiona kuna mshenzi kaleta ushenzi ni yeye na sio jeshi. LA WANANCHISiyo kupigana na watatu kwa pamoja. Kwa nyakati tofauti.
Umri wangu sasa ni 40+. Nikiwa kijana shababi wa Kimasai kwenye my thirties, ndiyo walikula hicho kipondo.
Nawe ni askari?
Bila sababu yeyote unakutwa na kuanza kupigwa makofi?Kwa muda mrefu, Askari wa JWTZ wamekuwa wakilaumiwa kwa kujichukulia Sheria mikononi mwao. Kwa kuwa wao ni wanajeshi, wanaamini kwamba wanaweza kupiga watu makofi mtaani hovyo bila kuulizwa na mtu.
Pengo la uhusiano mnalolitengeneza kati yenu na raia wa kawaida, mtakuja kuliona nyakati zijazo. Na mtambue kuwa uwezo wenu wa kuilinda hii nchi unategemea ushirikiano kamili na wananchi.
Hatuombi mabaya yatokee lakini siku nchi hii ikipitia kwenye misukosuko ya kiusalama, mkipita mitaani katika kutekekeza majukumu yenu, mtakutana na sisi raia wa kawaida ambao awali mlikuwa mkitupiga hovyo.
Mkiishiwa chakula, hatutawapa
Mkiishiwa maji, hatutawapa
Mkitumia ubabe Kama mlivyojizosha tutawawekea sumu.
Sifa ya kwanza ya kuwa Askari wa JWTZ ni kuwa RAIA wa TZ lakini huwa Nashangaa sana mnapojitofautisha na RAIA kana kwamba nyie sio RAIA, Sasa huo uaskari wameupataje!?
Au Ukishakuwa ASKARI, U-RAIA unaisha?
Katika serikali ya awamu ya tano, tulishuhudia chuki kubwa Kati ya raia wa kawaida na jeshi la Polisi baada ya maaskari hao kutumia mamlaka vibaya na ubabe wa kishamba, Nadhani hiyo chuki imepungua awamu hii.
Nia yangu Ni njema na Kama raia mwema, natumai haki yangu ya kikatiba kuwashauri. Badilikeni Masoja, Tanzania yenye ulinzi imara inaanza na raia wema, Kisha Maaskari.
Sisi ni wengi Kuliko nyie hivyo bila sisi hamtaweza kuilinda hii nchi. Acheni kupiga watu mtaani makofi hovyo.
Ndiyo nina 40+. Ndiyo, mimi ni Dr.Umesema una miaka 40+? Ila bado ndo unaandika kipumbavu hivi halaf kumbe ni Dr? Acha ujinga mkuu, Mwanajeshi hana Boss kila Mwanajeshi ni askari lakini sio kila askari ni mwanajeshi. Halafu ukazunymzia et tu Cpl? cpl ni international rank anampa darasa Cadet na kuendelea, Jeshi ni la wananchi wa tanzania sio mali ya mtu ukiona kuna mshenzi kaleta ushenzi ni yeye na sio jeshi. LA WANANCHI
Kuna watu hawalali na wangine wako mbali na familia zao kuhakikisha nchi Ina amaniSijui kwa nini hamna watu nawadharau kama Askri Jessica,Polish,Magrez au hao Usalama wa Taifa.
Sijui kwa kuwa nina ile notion ya kuwa hawana akili na elimu
Bro sio wote wanajua kupigana mbona ndugu zangu wengi wako huko ila wanakula mikongoto kila uchwao na watoto wetu waliokataa shule .Siungi mkono askari kumuonea raia asiye na makosa, ukionewa ripoti Kambi ya karibu na wewe ila inategemea na akili ya utakaowakuta.
Ila BWANA Dr cha kujisifia kuwa unaweza kupambana na askari na ukamshinda utaumia ndugu yangu hata huyo mkubwa unaemsemea hatakusaidia
Bro sio wote wanajua kupigana mbona ndugu zangu wengi wako huko ila wanakula mikongoto kila uchwao na watoto wetu waliokataa shule .Siungi mkono askari kumuonea raia asiye na makosa, ukionewa ripoti Kambi ya karibu na wewe ila inategemea na akili ya utakaowakuta.
Ila BWANA Dr cha kujisifia kuwa unaweza kupambana na askari na ukamshinda utaumia ndugu yangu hata huyo mkubwa unaemsemea hatakusaidia
Napenda sana kuwatetea Raia ila raia dizaini Yako huishia kuumizwa vibaya.Ndiyo nina 40+. Ndiyo, mimi ni Dr.
Wewe ni Koplo? Unayaweza? Maana naona umeumia sana mimi kutaja cheo chako, nawachapaga. Hilo silifichi.
Sijalaumu jeshi, naona una mihemko ya kipumbavu. Nimesema nawachapaga makofi wale wanaojidai wababe na wanayaweza.
Ubabe wa kipumbavu sijawahi kuwa muumini wake. Nikikosa, natii. Ila kuonewa, aisee nitapambana kwa kila namna. Mimi si mnyonge na wala sitokaa niwe mnyonge.
Wanakua wamelewaBro sio wote wanajua kupigana mbona ndugu zangu wengi wako huko ila wanakula mikongoto kila uchwao na watoto wetu waliokataa shule .
Wanakung'utwa vizuri tu .
Jitahidi kutembelea kwenye sehemu za starehe utaona jinsi wanavyotembezewa mkong'oto kila wakileta usela mavi wao .
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Ameongea kwa busara sana, binaadamu lazima akumbushwe maana tumeumbwa kusahau , mwenye masikio na asikie , hakuna kipya hapa duniani wote tutakufaMimi Simo, ukianza kutafutwa
Unitetee nini? Sihitaji msaada wako Mkuu.Napenda sana kuwatetea Raia ila raia dizaini Yako huishia kuumizwa vibaya.
Nyie ni binaadamu msijivike kiburi na uungu hawa mnaowafanyia utemi ni ndugu zenu , kwenye ujeuri na utovu wa nidhamu ni sawa ila msijisahau kama wote sisi tumeumbwa na mungu na siku zetu hapa duniani ni chachena nyie raia acheni ujeuri tuheshimiane.
tumeyasikia maoni yenu, tumwyapokea tutuyafanyia kazi kadiri inavofaa.
Nilete mihemuko mimi? Nyuma ya keyboard?Ndiyo nina 40+. Ndiyo, mimi ni Dr.
Wewe ni Koplo? Unayaweza? Maana naona umeumia sana mimi kutaja cheo chako, nawachapaga. Hilo silifichi.
Sijalaumu jeshi, naona una mihemko ya kipumbavu. Nimesema nawachapaga makofi wale wanaojidai wababe na wanayaweza.
Ubabe wa kipumbavu sijawahi kuwa muumini wake. Nikikosa, natii. Ila kuonewa, aisee nitapambana kwa kila namna. Mimi si mnyonge na wala sitokaa niwe mnyonge.
BroWanakua wamelewa
Askari akipigwa na raia ajiandae Kwa adhabu Kali kikosini
Wengi wanaleta story tu humu za alinacha. Halafu watu hawajui tu wasvyosemaga jeshi limeingiza siasa ni advantage kubwa kwa raia sababu siku hizi wanasikilizwa zaidi ya wanavyofikiria na ikibainika askari au afisa ametinyanga anad msalabaniKwangu mm naona ni tofauti sana hakuna watu wanaojitambua Kwa walinzi wetu km jeshi mpk unagombana nao something serious imetokea ni tofauti sn na askari wengine,kwao nidhamu,usafi na heshima ni muhimu sn those are their roles and you have to respect that all the time ukizingua lazima wakuadabishe regardless na eneo.
No time for thatUnitetee nini? Sihitaji msaada wako Mkuu.
Askari wapumbavu huchapika vibaya.