Ujumbe huu uwafikie Askari wa JWTZ

Ujumbe huu uwafikie Askari wa JWTZ

Ukiwa mkaidi utashughulikiwa TU

Askari jeshi anafundishwa namna ya kupambana na adui (especially mgeni) anaetishia usalama wa taifa,

Hayo wanayoyafanya Kwa raia ni baadhi TU ya mambo wanayofanyiwa mateka vitani
Mwingiliano wa askari jeshi na raia ndo umezaa haya yote

Nilichogundua wengi humu ni keyboard warriors

So unataka kusema Askari wetu Wana matatizo ya akili?

How come hajui huyu ni raia namuonea kwa kosa au ubabe wake?

Hayo mafunzo yanamfanya aone raia mateka?

Akiwa barabarani asababishe ajali kwa madai kuwa ana emergency, huyo raia ndo mwenye ratiba zake?

Still kutakuwa na uadui hata ndani ya mtaa endapo wasipobadili hizi chili zitakua as time goes by.

It's not about being keyboard warrior sababu hujui uwezo WA MTU...hata wewe ni among those warriors maana hutakiwa na guts zakuitwa na raia mkapimane na unaenda kweli, that meant hujatumia akili na weledi wako vizuri...
 
Ndiyo nina 40+. Ndiyo, mimi ni Dr.

Wewe ni Koplo? Unayaweza? Maana naona umeumia sana mimi kutaja cheo chako, nawachapaga. Hilo silifichi.

Acha upoyoyo. Mkuu wa kikosi chako ni Boss wako. Mkuu wa kambi ni boss wako. Brigade General ni boss wako. Mnadhimu Mkuu wa Jeshi ni Boss wako. CDF ni boss wako. Rais ni Boss wako. Hao wote ni Maboss wako, acha kujitoa ufahamu.
Sijalaumu jeshi, naona una mihemko ya kipumbavu. Nimesema nawachapaga makofi wale wanaojidai wababe na wanayaweza.

Ubabe wa kipumbavu sijawahi kuwa muumini wake. Nikikosa, natii. Ila kuonewa, aisee nitapambana kwa kila namna. Mimi si mnyonge na wala sitokaa niwe mnyonge.
Nimeshangaa Sana alivyojibu, haya ndio ninayasema...hawatumii akili na utashi wao vizuri...alivyosema hana boss Tu nimemtia maanani kabisa...mfano WA huyo ndo wengi walivyo huku mtaani
 
Wanajeshi wa tz asilimia kubwa wana relax tu hawakutani na mbilingembilinge

Ova
Mnao waona wamerelax ni hao wa malezi huko NS .. hao wengine wengi labda ni wagonjwa mambo ni mengi watu wako chini miezi na miezi man
 
Nimeshangaa Sana alivyojibu, haya ndio ninayasema...hawatumii akili na utashi wao vizuri...alivyosema hana boss Tu nimemtia maanani kabisa...mfano WA huyo ndo wengi walivyo huku mtaani
Eti hana Boss. Mshenzi kweli.

Hawa ndiyo wanaleta ujuaji. Alafu wakipigwa wanatia huruma.
 
Eti hana Boss. Mshenzi kweli.

Hawa ndiyo wanaleta ujuaji. Alafu wakipigwa wanatia huruma.
We Dr huna akili kumbe pale ulipo edit na kuwa taja sijui mkuu wa kambi sijui brig, cos ,cdf na ushenzi gani ni mambo ya mifumo na utawala ya kijeshi jeshi halina Boss ni kazi ya watu, kazi ya Wanachi. Mambo mengine ni yaki jeshi haya andikik hapa, usilelte ujuaji hapa hivi sio vidonda. Halafu swala la kupigwa katika mapambano ni timing tu sio swala zito sana Ondoa ujinga akilini. Ego will kill u
 
Ushatuona sisi firigisi we jamaa?
Nilipoona notification yako nikajua tu utakuwa umeandika UPUMBAVU!... nakujuaga

we usitafute sifa hapa... usikute unayebishana nae ukibahatika kumuona na kumjua akikutolea kitambulisho ukaishia kukakamaa kwa saluti na kujambajamba kuomba misamaha
 
We Dr huna akili kumbe pale ulipo edit na kuwa taja sijui mkuu wa kambi sijui brig, cos ,cdf na ushenzi gani ni mambo ya mifumo na utawala ya kijeshi jeshi halina Boss ni kazi ya watu, kazi ya Wanachi. Mambo mengine ni yaki jeshi haya andikik hapa, usilelte ujuaji hapa hivi sio vidonda. Halafu swala la kupigwa katika mapambano ni timing tu sio swala zito sana Ondoa ujinga akilini. Ego will kill u
Wewe ni private, mnapendaga sana kujipa moyo kuwa viongozi wenu siyo Maboss wenu.

Mtu anayekupa amri na kukushurutisha utii ni Boss wako. Mtu ambaye ana uwezo wa kukuondoa na kukuallocate kwingine ni Boss wako. Mtu mwenye uwezo wa kukupa adhabu ukikosea na huna cha kufanya ni Boss wako.

Mifumo hiyo ndiyo utaratibu. Mifumo hiyo ndiyo imewaweka watu kuwa juu yako. Na walio juu yako ndiyo maboss wako.

Mbona una akili finyu sana?

Nakubali kuwa kupigana ni timing, mbona awali ulikataa kuwa hakuna raia anayeweza kumkanda nyie maaskari msiojitambua mkilewa? Au askari tu ndiyo anajua timing? 🤣🤣.

Dogo, I can assure, you won't withstand my punch. Whatever you name, ego. But I'm confident enough.
 
Unaona ulivyo muoga na boya?

Yaani nije kambini? Mbona usitafute neutral ground? Unakuwa muoga kiasi cha kuona kambini ndipo utaniweza? Pumbavu.

Njoo nichokoze, nitakuonya. Ukiniletea ujuaji, nakugonga.
Asante ndugu

Ukipata nafasi karibu nikuelekeze

Maana kupambana na wewe ni sawa na kutumia gobore kuua nzi
 
Wewe ni private, mnapendaga sana kujipa moyo kuwa viongozi wenu siyo Maboss wenu.

Mtu anayekupa amri na kukushurutisha utii ni Boss wako. Mtu ambaye ana uwezo wa kukuondoa na kukuallocate kwingine ni Boss wako. Mtu mwenye uwezo wa kukupa adhabu ukikosea na huna cha kufanya ni Boss wako.

Mifumo hiyo ndiyo utaratibu. Mifumo hiyo ndiyo imewaweka watu kuwa juu yako. Na walio juu yako ndiyo maboss wako.

Mbona una akili finyu sana?

Nakubali kuwa kupigana ni timing, mbona awali ulikataa kuwa hakuna raia anayeweza kumkanda nyie maaskari msiojitambua mkilewa? Au askari tu ndiyo anajua timing? 🤣🤣.

Dogo, I can assure, you won't withstand my punch. Whatever you name, ego. But I'm confident enough.
Awali ulisema mi ni Cpl sahivi umeamua niwe Pte twende tu ..
Sipo hapa kutaka unielewe sana, nitawajibika kusema tu yaliyopo hayo maelezo mengine mengine ni nyie sijui mnayasomaga wapi.

" Dogo i can assure, iu won't withstand my punch, whatever you name, wgo. But i'm confident enough" basi kwa hii line nimejua naongea na kizibo cha kutoka angle ipi. Ngoja nikubali kutokukubaliana. Peace Dr kwa mama Tanzania
 
Wengi tulio kulia mtaani na kusoma pmj na baadae kwenda jeshi huwa wanaimbia lolote mank najuwa uwezo wao kishule na mengine mengi Mara nyingi San hawawezi kufurukuta mbele yangu

Hata hap Ninako ishi Niko nao mtaa mmjo ila sinaga muda nao
 
Wewe ni private, mnapendaga sana kujipa moyo kuwa viongozi wenu siyo Maboss wenu.

Mtu anayekupa amri na kukushurutisha utii ni Boss wako. Mtu ambaye ana uwezo wa kukuondoa na kukuaga kwingine ni Boss wako. Mtu mwenye uwezo wa kutoa adhabu ukikosea na huna cha kufanya ni Boss wako.

Mifumo hiyo ndiyo njia. Mifumo hiyo ndiyo imewaweka watu juu yako. Na walio juu yako ndiyo maboss wako.

Mbona una akili finyu sana?

Nakubali kuwa kupigana ni timing, mbona awali ulikataa kuwa hakuna raia anayeweza kumkandamiza nyie maaskari msiojitambua mkilewa? Au askari tu ndiyo anajua timing? 🤣🤣.

Dogo, nakuhakikishia, hautahimili ngumi yangu. Chochote unachotaja, ego. Lakini ninajiamini vya kutosha.
Hebu fanyani kweli tuwatayarishie pambano, ila kama mnategemea nguvu ya kidole bofya endeleeni na kwaherni.
 
Awali ulisema mi ni Cpl sahivi umeamua niwe Pte twende tu ..
Sipo hapa kutaka unielewe sana, nitawajibika kusema tu yaliyopo hayo maelezo mengine mengine ni nyie sijui mnayasomaga wapi.

" Dogo i can assure, iu won't withstand my punch, whatever you name, wgo. But i'm confident enough" basi kwa hii line nimejua naongea na kizibo cha kutoka angle ipi. Ngoja nikubali kutokukubaliana. Peace Dr kwa mama Tanzania
Acheni kuwaonea raia. Mtakutana na ambao watawakanyaga.

Shauri zenu.
 
Nasikitika kuwa toka jana napambana kuwepo na pambano kati ya Dr Restart na jamaa mmoja aliyejitanaibisha kuwa mjeda bwana Elias K kumbe naye ni wale waliokandwa kama bwana Restless Hustler basi pambano tukaliamishia kwa Private Hae Mo-Su .

Masikitiko yangu ni kuwa private Hae Mo-Su hataki kukubali pambano lifanyike nje ya uwanja wa kambi ila yeye anataka afuatwe kambini ili akipigwa asaidiwe na private wenzie .

Nikasema sasa kama na yeye anamuogopa Dr Restart basi hata mimi chapombe niko hapa kupigana aje Mbeya kwa nauli zangu na pia matibabu juu yangu tupimane uwezo lakini bado anademadema .

Sasa natangaza kwa afande yeyote aliyepo hapa na yuko tayari kupimana ubavu na raia basi aje aseme tuandae pambano .

Nb.Tunafanya hivi ili kuwatia moyo raia wote kujua kuwa wajeda wanapigika vizuri tu na wanakaa hawana maujuzi kama tunavyoaminishwa na jamii .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Nasikitika kuwa toka jana napambana kuwepo na pambano kati ya Dr Restart na jamaa mmoja aliyejitanaibisha kuwa mjeda bwana Elias K kumbe naye ni wale waliokandwa kama bwana Restless Hustler basi pambano tukaliamishia kwa Private Hae Mo-Su .

Masikitiko yangu ni kuwa private Hae Mo-Su hataki kukubali pambano lifanyike nje ya uwanja wa kambi ila yeye anataka afuatwe kambini ili akipigwa asaidiwe na private wenzie .

Nikasema sasa kama na yeye anamuogopa Dr Restart basi hata mimi chapombe niko hapa kupigana aje Mbeya kwa nauli zangu na pia matibabu juu yangu tupimane uwezo lakini bado anademadema .

Sasa natangaza kwa afande yeyote aliyepo hapa na yuko tayari kupimana ubavu na raia basi aje aseme tuandae pambano .

Nb.Tunafanya hivi ili kuwatia moyo raia wote kujua kuwa wajeda wanapigika vizuri tu na wanakaa hawana maujuzi kama tunavyoaminishwa na jamii .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
😆😂
 
Back
Top Bottom