Ujumbe huu uwafikie Askari wa JWTZ

Ujumbe huu uwafikie Askari wa JWTZ

Nasikitika kuwa toka jana napambana kuwepo na pambano kati ya Dr Restart na jamaa mmoja aliyejitanaibisha kuwa mjeda bwana Elias K kumbe naye ni wale waliokandwa kama bwana Restless Hustler basi pambano tukaliamishia kwa Private Hae Mo-Su .

Masikitiko yangu ni kuwa private Hae Mo-Su hataki kukubali pambano lifanyike nje ya uwanja wa kambi ila yeye anataka afuatwe kambini ili akipigwa asaidiwe na private wenzie .

Nikasema sasa kama na yeye anamuogopa Dr Restart basi hata mimi chapombe niko hapa kupigana aje Mbeya kwa nauli zangu na pia matibabu juu yangu tupimane uwezo lakini bado anademadema .

Sasa natangaza kwa afande yeyote aliyepo hapa na yuko tayari kupimana ubavu na raia basi aje aseme tuandae pambano .

Nb.Tunafanya hivi ili kuwatia moyo raia wote kujua kuwa wajeda wanapigika vizuri tu na wanakaa hawana maujuzi kama tunavyoaminishwa na jamii .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Tupendane tuu na tuipende nchi yetu kuliko chochote mkuu. Umesema mengi ila sijaelewa kabisa . Mimi ni mwananchi na hilo ni la Wananchi
 
Dogooo, siyo kila nguo inayofanana ya jeshi, ni nyaraka ya serikali. Ila nyie hata material hamuangalii,hata ushonwaji,ndo hivo
Fuata maelekezo bila shuruti.
Mpaka tuje tubaini ndio yenyewe au siyo yenyewe , utakua umeshachakaa mashavu, mbavu, mdomo umevimba na magoti vibaya sana.

That's not an excuse.
Epuka kuvaa gwanda za jeshi full stop.
 
Wakuu nendeni mkajifunze martial arts(boxing,karate,tae_kwondo,kravamaga nk)ili msikubali kuonewa na hao masojaa
 
Kwa muda mrefu, Askari wa JWTZ wamekuwa wakilaumiwa kwa kujichukulia Sheria mikononi mwao. Kwa kuwa wao ni wanajeshi, wanaamini kwamba wanaweza kupiga watu makofi mtaani hovyo bila kuulizwa na mtu.

Pengo la uhusiano mnalolitengeneza kati yenu na raia wa kawaida, mtakuja kuliona nyakati zijazo. Na mtambue kuwa uwezo wenu wa kuilinda hii nchi unategemea ushirikiano kamili na wananchi.

Hatuombi mabaya yatokee lakini siku nchi hii ikipitia kwenye misukosuko ya kiusalama, mkipita mitaani katika kutekekeza majukumu yenu, mtakutana na sisi raia wa kawaida ambao awali mlikuwa mkitupiga hovyo.

  • Mkiishiwa chakula, hatutawapa.
  • Mkiishiwa maji, hatutawapa.
  • Mkitumia ubabe kama mlivyojizosha tutawawekea sumu.

Sifa ya kwanza ya kuwa Askari wa JWTZ ni kuwa Raia wa Tanzania, huwa nashangaa sana mnapojitofautisha na Raia kana kwamba nyie sio Raia! Sasa huo uaskari wameupataje! Au Ukishakuwa Askari, U-Raia unaisha?

Katika Serikali ya Awamu ya Tano, tulishuhudia chuki kubwa kati ya raia wa kawaida na Jeshi la Polisi, baada ya maaskari hao kutumia mamlaka vibaya na ubabe wa kishamba, nadhani hiyo chuki imepungua awamu hii.

Nia yangu ni njema na kama raia mwema, natumai haki yangu ya kikatiba kuwashauri. Badilikeni Masoja, Tanzania yenye ulinzi imara inaanza na raia wema, kisha Maaskari.

Sisi ni wengi kuliko nyie hivyo bila sisi hamtaweza kuilinda hii nchi. Acheni kupiga watu mitaani hovyo.
Usihukumu bila kutoa vielelezo na huenda Wewe ndio chamzo
 
Another Keyboard warrior 😅😅😅
Mimi siyo keyboard warrior,hakyaMungu nakuzingua,nipo mtaani unakuja unasema ujaribu kunionea,aisee nakuzingua.Wngine sisi tuna falsafa ya ugomvi ukianzishwa usiishe haraka,yaani ratiba naivunja kabisa ili nishughulike na mhusika.Unajua baadhi ya watu akizinguliwa,akipigwa kibao au mtama,wanaogopa kuriakti eti sijui ana hofu atauawa.... aisee.... mi unaanzisha mtiti,narikti in accordance,najua vurugu hiyo nimeshaianzisha na mwanajeshi hawezi kunibeba eti anipeleke kambini,kwahiyo ntazinguana naye kwa kigezo cha mimi kujilinda.Aisee... ije itokee tu.Dawa ya mtu wa hivyo,ukishika chochote rusha... yaani hakuna kusita,kusita kwako ndo kumpa maujiko,yaani rusha kwelikweli,yawe mapigano mchanganyiko.
 
Back
Top Bottom