Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Kaandika ifuatavyo kupitia mtandao wa x:
Sasa ni dhahiri kwamba boots will be on the ground kati ya nyie viongozi wawili ambao kimsingi ukisoma maoni ya wananchi wana hofu kubwa na huku wanachama wakiendelea minyukano. Mchakato huru/haki ktk safari hii kuelekea uchaguzi Mwezi January ni msingi muhimu sana kwa kuonyesha ukomavu , utu na malengo ya siasa safi.
SASA , Asema Bwana , yoyote miongoni mwenu ambaye kazi hii ni kwa maslahi yake binafsi bila kujali wajibu tunao uhubiri juu ya haki , utu na usawa , hata akishinda HATAISHI na familia yake italaaniwa. kwa maana tutakuwa tuna hubiri maono ambayo hatuyaishi na huku watu wengi wakipata mateso na hata mauti kwa ajili ya kufuata ushauri wenu/ wetu. Nawatakia kila la heri. Nitaongea baada ya kumaliza maombi.
Sasa ni dhahiri kwamba boots will be on the ground kati ya nyie viongozi wawili ambao kimsingi ukisoma maoni ya wananchi wana hofu kubwa na huku wanachama wakiendelea minyukano. Mchakato huru/haki ktk safari hii kuelekea uchaguzi Mwezi January ni msingi muhimu sana kwa kuonyesha ukomavu , utu na malengo ya siasa safi.
SASA , Asema Bwana , yoyote miongoni mwenu ambaye kazi hii ni kwa maslahi yake binafsi bila kujali wajibu tunao uhubiri juu ya haki , utu na usawa , hata akishinda HATAISHI na familia yake italaaniwa. kwa maana tutakuwa tuna hubiri maono ambayo hatuyaishi na huku watu wengi wakipata mateso na hata mauti kwa ajili ya kufuata ushauri wenu/ wetu. Nawatakia kila la heri. Nitaongea baada ya kumaliza maombi.