Ujumbe huu wa Godbless Lema, ni wazi unamgusa Mbowe

Ujumbe huu wa Godbless Lema, ni wazi unamgusa Mbowe

Kwa nini mnamwamini Lissu ?? Lissu ndio wa kutiliwa shaka kwa sababu huko nje ya chama kuna maneno anatumwa ili aharibu chama huyu ndo wa kumtilia mashaka watu wnye akili washamstukia na ndo mana anafanya vitu vyake nje ya utaratibu ! Mfano mmoja wapo ni kuitisha waandishi wa habari na kuwaambia mimi nitagombea kabla muda muafaka wa kuchukua fomu haujafika ! Lengo ni nini, lengo lake manake anajiona yeye ndio kiongozi wengine hawafai na tayari alishatumwa na hao waliomtuma awahi kufanya hivo kabla ya muda rasmi ili kuwakatisha tamaa wengine na pia ili apate huruma ya wananchi.Kumbe allikuwa na ajenda ya siri.Kwa nini asisubiri muda muafaka ufike achukue fomu then aitishe waandishi wa habari.Kwa nini aliwahi kutangaza kabla ? ili awatishe watia nia wengine wamuachie yeye pekeeeee ?? Hamuoni hapa kuna kitu ???? Huyu ametumwa kuiua CHADEMA huyu ndo kapokea rushwa ?????!!!!!
 
Bw.Imhotep, Huyo unaemwita Ayatollah Mbowe ndie aliezunguka nchi nzima kutafuta wanachama na kuitangaza CHADEMA wakati Lissu akizurula ulaya ! Hivi haya mlikuwa hamyaoni ? Kaja leo anaropoka ropoka tu ndo mnamuona anafaaaa ??? Huyo hafai ataua CHADEMA niko hapa nawambia.Tusubiri kura kwa kuwa wataoamua ni wanachama na sio sie tunaoshinda mitandaoni
 
Bw.Imhotep, Huyo unaemwita Ayatollah Mbowe ndie aliezunguka nchi nzima kutafuta wanachama na kuitangaza CHADEMA wakati Lissu akizurula ulaya ! Hivi haya mlikuwa hamyaoni ? Kaja leo anaropoka ropoka tu ndo mnamuona anafaaaa ??? Huyo hafai ataua CHADEMA niko hapa nawambia.Tusubiri kura kwa kuwa wataoamua ni wanachama na sio sie tunaoshinda mitandaoni
🚮
Kwamba wewe chawa wa mboga mboga unaijua Chadema kuliko hata wana Chadema wenyewe?!!!
 
Kaandika ifuatavyo kupitia mtandao wa x:

Sasa ni dhahiri kwamba boots will be on the ground kati ya nyie viongozi wawili ambao kimsingi ukisoma maoni ya wananchi wana hofu kubwa na huku wanachama wakiendelea minyukano. Mchakato huru/haki ktk safari hii kuelekea uchaguzi Mwezi January ni msingi muhimu sana kwa kuonyesha ukomavu , utu na malengo ya siasa safi.

SASA , Asema Bwana , yoyote miongoni mwenu ambaye kazi hii ni kwa maslahi yake binafsi bila kujali wajibu tunao uhubiri juu ya haki , utu na usawa , hata akishinda HATAISHI na familia yake italaaniwa. kwa maana tutakuwa tuna hubiri maono ambayo hatuyaishi na huku watu wengi wakipata mateso na hata mauti kwa ajili ya kufuata ushauri wenu/ wetu. Nawatakia kila la heri. Nitaongea baada ya kumaliza maombi.
Wewe si umeishatangaza kuachana na cdm, mbona huachi kuchokonoa. Ukimtariki mkeo acha kufuatilia nyendo zake ili uwe na amani
 
Maneno haya ni makali sana na yenye unabii ndani yake.

Huhitaji akili kubwa kujua kuwa anayelengwa na ujumbe huu ni Mbowe.

Lakini **** ujumbe uliofichika unaashiria kuwa Mbowe huwa anashinda kwa hila, na kwamba huwa ni kwaajili ya kutafuta maslahi binafsi.
Safu ya Lissu
Screenshot_20241221_193949_WhatsApp.jpg
 
Kaandika ifuatavyo kupitia mtandao wa x:

Sasa ni dhahiri kwamba boots will be on the ground kati ya nyie viongozi wawili ambao kimsingi ukisoma maoni ya wananchi wana hofu kubwa na huku wanachama wakiendelea minyukano. Mchakato huru/haki ktk safari hii kuelekea uchaguzi Mwezi January ni msingi muhimu sana kwa kuonyesha ukomavu , utu na malengo ya siasa safi.

SASA , Asema Bwana , yoyote miongoni mwenu ambaye kazi hii ni kwa maslahi yake binafsi bila kujali wajibu tunao uhubiri juu ya haki , utu na usawa , hata akishinda HATAISHI na familia yake italaaniwa. kwa maana tutakuwa tuna hubiri maono ambayo hatuyaishi na huku watu wengi wakipata mateso na hata mauti kwa ajili ya kufuata ushauri wenu/ wetu. Nawatakia kila la heri. Nitaongea baada ya kumaliza maombi.
Nabii kishatoa angalizo, Pascal Mayalla una Neno?
 
I see a fragmented Chadema come 2025.
Mchaga showing his true color with lust for money. Nyambav
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Kaandika ifuatavyo kupitia mtandao wa x:

Sasa ni dhahiri kwamba boots will be on the ground kati ya nyie viongozi wawili ambao kimsingi ukisoma maoni ya wananchi wana hofu kubwa na huku wanachama wakiendelea minyukano. Mchakato huru/haki ktk safari hii kuelekea uchaguzi Mwezi January ni msingi muhimu sana kwa kuonyesha ukomavu , utu na malengo ya siasa safi.

SASA , Asema Bwana , yoyote miongoni mwenu ambaye kazi hii ni kwa maslahi yake binafsi bila kujali wajibu tunao uhubiri juu ya haki , utu na usawa , hata akishinda HATAISHI na familia yake italaaniwa. kwa maana tutakuwa tuna hubiri maono ambayo hatuyaishi na huku watu wengi wakipata mateso na hata mauti kwa ajili ya kufuata ushauri wenu/ wetu. Nawatakia kila la heri. Nitaongea baada ya kumaliza maombi.
Ni muda muafaka sasa CHADEMA ioneshe ukomavu wa kidemokrasia. Ni wakati sasa wa miamba miwili kuionesha dunia ni namna gani UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAPASWA KUWA.

"kura huamua mashindano, hunyamazishq vinywa vya wakuu" mithali 18:18
 
Kwa nini mnamwamini Lissu ?? Lissu ndio wa kutiliwa shaka kwa sababu huko nje ya chama kuna maneno anatumwa ili aharibu chama huyu ndo wa kumtilia mashaka watu wnye akili washamstukia na ndo mana anafanya vitu vyake nje ya utaratibu ! Mfano mmoja wapo ni kuitisha waandishi wa habari na kuwaambia mimi nitagombea kabla muda muafaka wa kuchukua fomu haujafika ! Lengo ni nini, lengo lake manake anajiona yeye ndio kiongozi wengine hawafai na tayari alishatumwa na hao waliomtuma awahi kufanya hivo kabla ya muda rasmi ili kuwakatisha tamaa wengine na pia ili apate huruma ya wananchi.Kumbe allikuwa na ajenda ya siri.Kwa nini asisubiri muda muafaka ufike achukue fomu then aitishe waandishi wa habari.Kwa nini aliwahi kutangaza kabla ? ili awatishe watia nia wengine wamuachie yeye pekeeeee ?? Hamuoni hapa kuna kitu ???? Huyu ametumwa kuiua CHADEMA huyu ndo kapokea rushwa ?????!!!!!
Umeandika nini sasa!! Kusema atagombea kabla ya muda imekua nongwa?
 
Haki ya msingi isiozingatia uhai na maslahi ya chama ni ufedhuli huo..hisia za wafuasi wengi kwa sasa ni kupata ladha tofauti ya uongozi yenye kuamsha ari ya kujitengeneza upya na kusonga mbele, na hiyo haipatikani tena kwa Dj
Mkuu hizo hisia za wafuasi wazionyeshe kwenye sanduku la kura. Waache kulialia. Mbowe aliingia kwa Kura na Atatolewa kwa Kura.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi

Kidumu Chama Tawala
 
Back
Top Bottom