Ujumbe kutoka kwa wanachama minority wa CHADEMA kwenda kwa mwenyekiti mpya Tundu Lissu

Ujumbe kutoka kwa wanachama minority wa CHADEMA kwenda kwa mwenyekiti mpya Tundu Lissu

Swali ni dogo tu. Unajua maana ya legitimacy. Kama hujui subiri dunia itakufundisha. Nasaha zangu ni za nia nzuri na muda bado tunao ikiwa tunataka kushika dola.

Legitimacy ndio roadmap ya kushika dola.
ACT au CUF haikuwahi kuwa legitimacy? Au uliwahi kuwashauri wateue na wakristo wapate hiyo legitimacy?

Hii ni democratic society, na tunafuata democratic processes, na hatujatoka kwenye vurugu zitokanazo na racse au dini. Ingueni kwenye siasa tafuteni nafasi za uongozi kwa merits siyo kubebwa.

Wakati Bob Makani muislamu alipokuwa katibu mkuu wa kwanza na baadae mwenyekiti wa CHADEMA ilikuwa ni kwa sababu ya uislamu wake? Au profesa Safari makamu mwenyekiti ilikuwa ni sababu ya uislamu wake?

Kama minority mnaijiita kuwa ni waislamu, wenye muelekeo wa kiisalamu hamtaki au hamna qualification au ushawishi wa kuweza kugombea mkachaguliwa kwa sifa za uongozi mnataka kupewa nafasi ili CHADEMA ipate legitimacy kwa waislamu tafuteni chama kitakachowapa legitimacy ya udini. ACT au CCM kutawafaa sana, acheni wanaotaka kujenga secular state ambayo dini siyo kigezo cha kupata uongozi waendelee.

Tatizo hili lipo ndani ya mioyo yenu isiyokuwa na dhamira nzuri
 
Akili ndogo. Dini si udini. Dini ni jukwaa. Ndio maana hata Lissu na Mbowe walisuluhishwa na viongozi wa dini. Hivyo kuweka legitimacy yao.
Akili ndogo kufikiria dini kuwa jukwaa, secular states hawafikiri dini kuwa jukwaa labda nchi za kidini mostly za kiarabu.

Unataka kupotosha maana ya legitimacy, ilikuwa ni vigumu kupata usuluhishi mwingine ndio maana walikwenda kusuluhishwa na viongozi wa kidini. Kama walipata legitimacy kwa viongozi wa dini walifanikiwa kusuluhishwa? Mbona walitoka vile vile hadi kwenye sanduku la kura ndio ukawa mwisho na wanachama wakaamua?

Pendekeza waislamu wako wakagombee washawishi wajumbe kwa vichwa vyao siyo dini yao wachaguliwe. Kwenye uchaguzi wa CHADEMA sikusikia yeyote akija na manifesto ya udini, huo ni wa kwako na wenzio nendeni ACT. Je wasio waislamu au wakristo mnawafanyaje?
 
Sizungumzii authority nazungumzia legitimacy.

This is politics. And politics is science. Power Politics is how you can convince makundi ya kijamii kukuunga mkono. Iwapo akili ya vijana wa chadema bado inaamini watu wa pwani hawana weledi wa kuteuliwa chadema. Nimekula kwenu. It's to a matter of inferiority its about legitimacy Uhalali wa kuwashawishi watu baada kujua utamaduni wao
Mtu yupi wa pwani aliyejitokeza kugombea nafasi ya uongozi? Au mnataka kuteuliwa tu? Yupi aliyekuwa kwenye harakati za kukijenga au kukipigania chama cha CHADEMA kiasi unaona ateuliwe tu kwa misingi ya udini?
 
Sawa. Hata chawa mmoja wa Mbowe aliwashauri chawa wa Lissu kama Mbowe hana ushawishi watafute vyama vingine.

Kama hizi ndio fikra za Lissu mtapiga ninyi wenyewe kura kama mtashinda.

Kam watu wa pwani wanapoona kauli hizi za Ego kutoka chadema, tunapata nguvu kuwa ccm na chadema wote ni wabaguzi na hawatoweza kushinda uchaguzi kama si kwa kuibiana kura.

Nani sasa atasimama juani kusubiri kuwapigia kwa chama wasichokuwa na wawakilishi wao
simple nendeni mkapigie CCM na ACT, kabla ya ujinga wa Magufuli kwenye uchaguzi CHADEMA ilikuwa inapogiwa kura na watanzania regardless ya imani zao. Huo upuuzi wa udini hauna nafasi Tanzania
 
Wewe ni shetani haswa, ulichukua form ukanyimwa? mbona Zanzibar CCM/ACT ni waislamu watupu lakini hujawahi kulalamika au Zanzibar hakuna wakristo?
 
Nazungumzia legitimacy na sio authority.

Kama hamuelewi kuhusu uongozi (leadership) na ushawishi subirini October.
Ungekuwa na akili ungejiunga na wale wanaotaka tume huru na mabadiliko ya sheria za uchaguzi na katiba mpya ili tunapoenda kwenye uchaguzi uwe wa haki. Kumbe wewe mabadiliko yako ya kuwapa ushindi wapinzani ni kuwateua waislamu? Aisee sijaona jamii yenye watu wajinga kama hii.
 
Baada ya CUF kusambaratika wako wanachama waliofatia Maalim Seif, (MwenyeziMungu amsamehe makosa yake) na kundi jengine lilikwenda kwa Mzee Lipumba. Kundi la tatu ambao pengine ni wachache ni kundi lile linaloamini 'You can only Fool some Pple some time, but you can't fool all the pple all the time.

Sisi wachache tusikubali kuburuzwa (bendera kufata upepo)tuliamini kama kweli Maalim Seif alikuwa mtaka mabadiliko angejiunga na chadema, kwasababu hoja ya Prof Lipumba kujitoa kwa muda CUF ktkt ya harakati za uchaguzi ilikuwa ni kuwapinga Chadema kumsimamisha Lowasa nafasi ya Urais.

Hivyo kama Lipumba hakuwa sahihi, ilibidi Maalim aungane na chadema. Lkn matokeo yake anajiunga na ACT.

Hivyo wote ACT na CUF walituthibitishia kuwa wanatumiwa na ccm kuvuruga Umoja wa wataka mabadiliko.

Lkn ktk uchaguzi wa Mwenyekiti Chadema tuliaminishwa kwa kuambiwa Mbowe nae anatumiwa na ccm kudhoofisha harakati kupitia mapesa ya Abdul.

Kwa hiyo sisi tuliamua kujiunga chadema haikuwa kwa bahati mbaya. Kwani hatukuamini kufata watu (wasaliti) bali sera. Na kwa kuwa trust imepungua kwa watu. Sera ya chadema ya majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yetu wenyewe ilikuwa ndio suluhisho la taifa letu.

Titaiogopaje sera hii ambayo ngome ya mwambao ndio chanzo cha mapato ya nchi kwa zaidi ya 85%.

Vijana wa nchi hii kila kanda wanaona potential za kiuchumi za maeneo yao Lkn kikwazo ni mfumo wa Serikali Kuu.

Kwa utafiti nilioufanya mfumo sahihi wa serikali za majimbo tz ni kucopy na kupaste mfumo wa taifa la Switzerland.

Politics of Switzerland - Wikipedia

Nilifanya utafiti wa kuwauliza vijana wa jimboni kwa kwann wamekata tamaa kushiriki kupiga kura. Wengi walijibu. 'Hatutopiga Kura bali tutaungana na jukwaa lolote ambalo linatoa wito na wanahamasisha kugawana fito.

Wako tayari kuunga mkono jukwaa (chama) kinachotoa wito wa kugawana fito.

Kwamba hawamuamini mgombea yyt wa urais atoke huko anakotoka awaeleze anataka kuwatawala ili awaletee maendeleo. Hakuna wanaemuamini. Si Samia, Si Lissu, Si Magufuli kwa case ya 2020.

Nikasema kumbe watu wangu hawajui sera ya majimbo ya CHADEMA. Majimbo yatakayokuwa na Uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yake wenyewe, kiuchumi, kiutamaduni, kisiasa, kijamii ambapo wengi ktk jimbo/kanda husika ndio watunga sheria. Kwa kuanzia mamlaka ya mtaaa.

Kwamba Lissu au Samia anapogombea nafasi ya Urais anapokwa mamlaka yake yote ya kiunga waliyoanayo sasa na kuwa ni mfariji mkuu tu. Kama sasa alivyo Rais wa JMT akienda Znz. Anakuwa hana mamlaka yyt kwa Znz. Case study nyingine ni Rais za Ethiophia.

Sera ya majimbo yenye uhuru zaidi wa majimbo (kanda) kujiamulia mambo yao wenyewe ni mfumo bora zaidi wa muungano kwa tz, EA, afrika. Na ndilo kimbilio la mataifa yote duniani yaliyoungana.

Ni Muungano wa safaru pekee. Sio jeshi, Sio nini.

Sasa nirudi kwenye msingi wa andiko.

Baada ya uchaguzi wa kumtafuta Mwenyekiti wa chadema moja ya ajenda ya mabadiliko ya uongozi mpya wa chadema aliohubiri Lissu ni kuunganisha majukwaa yote ya wapenda mabadiliko.

Bahati mbaya sana, mimi au sisi watu wa ukanda wa mwamvai kama ngome ya wapenda mabadiliko. kwa kuzingatia propaganda za CCM na ACT kuwa CHADEMA ni chama cha Udini na ukanda. Tulitegemea sana uongozi mpya ungekuja kukata hizi cheap propaganda kwa kuunganisha uongozi wa juu na majukwaa haya hasa makubwa. Nazungumzia jukwaa au ngome ya Watu wa mwambao.

Hali iliyojitokeza baada ya uchaguzi ni kama ulikuwa ni uchaguzi wa kutafuta domination kati ya KKKT na Catholic Tz.

Na kwamba kwa maumivu makubwa Catholic wameamua kudominate nafasi zote za juu za chadema.

Kuanzia nafasi za kuchaguliwa na kuteuliwa. Tunajiuliza sisi minority ktk chama lkn majority ktk population ya Tz, ni bahati mbaya au walipanga.

Sisi kama watu wa mwambao Uwakilishi wetu uko wapi chadema. Kwamba wanaamini kabisa sisi tunaweza kupanga foleni ya kupiga kura kuchagua watu wa tabaka moja. Hivi ni kweli inteligensia ya chadema hawakuliona hilo.

Au ni mkakati Maalum wa Mwenyekiti Mpya wa kuwapa Waislam minority ndani ya chama mkono wa kwa heri ili wapeleke nguvu zao kwa chama kilichojiandaa kuwa ngome kuu ya ukanda wa pwani hata kama ni ccm B .

Mwenyekiti Lissu kapoteza nafasi hii adhimu ya kuyaunganisha majukwa nchini. Na kwamba chama kitamshinda mapema sana.

Nipo tayari kusahihishwa ili niweze kurejesha imani yangu kwa chadema. Na ninaamini imani hii ndio imani ya walio wengi ambao kwasasa wamesusa kabisa mambo ya kupiga kura.

Matamanio yangu kwasasa yanavutiwa na CHAUMMA
1.Hapa Kuna harufu ya udini.

2.Ndio kwanza watu wamekabidhiwa ofisi jana ila una rap kama wana mwaka ofisini.

3.Mahalimu kwenda ACT ni CHADEMA hawakuwa active ili kuinasa sahihi yake.

4.Kila mtu alikuwa na haki ya kugombea kama alikidhi vigezo,kama unaushahidi hebu tuambie ni Akina nani walienguliwe baada ya kuomba nafasi kwa kigezo cha udini.

5.kuhusu ukanda bado unazidi kupotosha,Lisu,Heche,Nshala,Mnyika,Lema ,BOB NK,Hawa ni wa kanda moja na kabila moja?

6.Punguza hisia za mapema subiri watu waingie kazini rasmi.
 
Baada ya CUF kusambaratika wako wanachama waliofatia Maalim Seif, (MwenyeziMungu amsamehe makosa yake) na kundi jengine lilikwenda kwa Mzee Lipumba. Kundi la tatu ambao pengine ni wachache ni kundi lile linaloamini 'You can only Fool some Pple some time, but you can't fool all the pple all the time.

Sisi wachache tusikubali kuburuzwa (bendera kufata upepo)tuliamini kama kweli Maalim Seif alikuwa mtaka mabadiliko angejiunga na chadema, kwasababu hoja ya Prof Lipumba kujitoa kwa muda CUF ktkt ya harakati za uchaguzi ilikuwa ni kuwapinga Chadema kumsimamisha Lowasa nafasi ya Urais.

Hivyo kama Lipumba hakuwa sahihi, ilibidi Maalim aungane na chadema. Lkn matokeo yake anajiunga na ACT.

Hivyo wote ACT na CUF walituthibitishia kuwa wanatumiwa na ccm kuvuruga Umoja wa wataka mabadiliko.

Lkn ktk uchaguzi wa Mwenyekiti Chadema tuliaminishwa kwa kuambiwa Mbowe nae anatumiwa na ccm kudhoofisha harakati kupitia mapesa ya Abdul.

Kwa hiyo sisi tuliamua kujiunga chadema haikuwa kwa bahati mbaya. Kwani hatukuamini kufata watu (wasaliti) bali sera. Na kwa kuwa trust imepungua kwa watu. Sera ya chadema ya majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yetu wenyewe ilikuwa ndio suluhisho la taifa letu.

Titaiogopaje sera hii ambayo ngome ya mwambao ndio chanzo cha mapato ya nchi kwa zaidi ya 85%.

Vijana wa nchi hii kila kanda wanaona potential za kiuchumi za maeneo yao Lkn kikwazo ni mfumo wa Serikali Kuu.

Kwa utafiti nilioufanya mfumo sahihi wa serikali za majimbo tz ni kucopy na kupaste mfumo wa taifa la Switzerland.

Politics of Switzerland - Wikipedia

Nilifanya utafiti wa kuwauliza vijana wa jimboni kwa kwann wamekata tamaa kushiriki kupiga kura. Wengi walijibu. 'Hatutopiga Kura bali tutaungana na jukwaa lolote ambalo linatoa wito na wanahamasisha kugawana fito.

Wako tayari kuunga mkono jukwaa (chama) kinachotoa wito wa kugawana fito.

Kwamba hawamuamini mgombea yyt wa urais atoke huko anakotoka awaeleze anataka kuwatawala ili awaletee maendeleo. Hakuna wanaemuamini. Si Samia, Si Lissu, Si Magufuli kwa case ya 2020.

Nikasema kumbe watu wangu hawajui sera ya majimbo ya CHADEMA. Majimbo yatakayokuwa na Uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yake wenyewe, kiuchumi, kiutamaduni, kisiasa, kijamii ambapo wengi ktk jimbo/kanda husika ndio watunga sheria. Kwa kuanzia mamlaka ya mtaaa.

Kwamba Lissu au Samia anapogombea nafasi ya Urais anapokwa mamlaka yake yote ya kiunga waliyoanayo sasa na kuwa ni mfariji mkuu tu. Kama sasa alivyo Rais wa JMT akienda Znz. Anakuwa hana mamlaka yyt kwa Znz. Case study nyingine ni Rais za Ethiophia.

Sera ya majimbo yenye uhuru zaidi wa majimbo (kanda) kujiamulia mambo yao wenyewe ni mfumo bora zaidi wa muungano kwa tz, EA, afrika. Na ndilo kimbilio la mataifa yote duniani yaliyoungana.

Ni Muungano wa safaru pekee. Sio jeshi, Sio nini.

Sasa nirudi kwenye msingi wa andiko.

Baada ya uchaguzi wa kumtafuta Mwenyekiti wa chadema moja ya ajenda ya mabadiliko ya uongozi mpya wa chadema aliohubiri Lissu ni kuunganisha majukwaa yote ya wapenda mabadiliko.

Bahati mbaya sana, mimi au sisi watu wa ukanda wa mwamvai kama ngome ya wapenda mabadiliko. kwa kuzingatia propaganda za CCM na ACT kuwa CHADEMA ni chama cha Udini na ukanda. Tulitegemea sana uongozi mpya ungekuja kukata hizi cheap propaganda kwa kuunganisha uongozi wa juu na majukwaa haya hasa makubwa. Nazungumzia jukwaa au ngome ya Watu wa mwambao.

Hali iliyojitokeza baada ya uchaguzi ni kama ulikuwa ni uchaguzi wa kutafuta domination kati ya KKKT na Catholic Tz.

Na kwamba kwa maumivu makubwa Catholic wameamua kudominate nafasi zote za juu za chadema.

Kuanzia nafasi za kuchaguliwa na kuteuliwa. Tunajiuliza sisi minority ktk chama lkn majority ktk population ya Tz, ni bahati mbaya au walipanga.

Sisi kama watu wa mwambao Uwakilishi wetu uko wapi chadema. Kwamba wanaamini kabisa sisi tunaweza kupanga foleni ya kupiga kura kuchagua watu wa tabaka moja. Hivi ni kweli inteligensia ya chadema hawakuliona hilo.

Au ni mkakati Maalum wa Mwenyekiti Mpya wa kuwapa Waislam minority ndani ya chama mkono wa kwa heri ili wapeleke nguvu zao kwa chama kilichojiandaa kuwa ngome kuu ya ukanda wa pwani hata kama ni ccm B .

Mwenyekiti Lissu kapoteza nafasi hii adhimu ya kuyaunganisha majukwa nchini. Na kwamba chama kitamshinda mapema sana.

Nipo tayari kusahihishwa ili niweze kurejesha imani yangu kwa chadema. Na ninaamini imani hii ndio imani ya walio wengi ambao kwasasa wamesusa kabisa mambo ya kupiga kura.

Matamanio yangu kwasasa yanavutiwa na CHAUMMA
Unatatizo kubwa sana la UDINI
Nadhani infiriority complex inakusumbua
 
Baada ya CUF kusambaratika wako wanachama waliofatia Maalim Seif, (MwenyeziMungu amsamehe makosa yake) na kundi jengine lilikwenda kwa Mzee Lipumba. Kundi la tatu ambao pengine ni wachache ni kundi lile linaloamini 'You can only Fool some Pple some time, but you can't fool all the pple all the time.

Sisi wachache tusikubali kuburuzwa (bendera kufata upepo)tuliamini kama kweli Maalim Seif alikuwa mtaka mabadiliko angejiunga na chadema, kwasababu hoja ya Prof Lipumba kujitoa kwa muda CUF ktkt ya harakati za uchaguzi ilikuwa ni kuwapinga Chadema kumsimamisha Lowasa nafasi ya Urais.

Hivyo kama Lipumba hakuwa sahihi, ilibidi Maalim aungane na chadema. Lkn matokeo yake anajiunga na ACT.

Hivyo wote ACT na CUF walituthibitishia kuwa wanatumiwa na ccm kuvuruga Umoja wa wataka mabadiliko.

Lkn ktk uchaguzi wa Mwenyekiti Chadema tuliaminishwa kwa kuambiwa Mbowe nae anatumiwa na ccm kudhoofisha harakati kupitia mapesa ya Abdul.

Kwa hiyo sisi tuliamua kujiunga chadema haikuwa kwa bahati mbaya. Kwani hatukuamini kufata watu (wasaliti) bali sera. Na kwa kuwa trust imepungua kwa watu. Sera ya chadema ya majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yetu wenyewe ilikuwa ndio suluhisho la taifa letu.

Titaiogopaje sera hii ambayo ngome ya mwambao ndio chanzo cha mapato ya nchi kwa zaidi ya 85%.

Vijana wa nchi hii kila kanda wanaona potential za kiuchumi za maeneo yao Lkn kikwazo ni mfumo wa Serikali Kuu.

Kwa utafiti nilioufanya mfumo sahihi wa serikali za majimbo tz ni kucopy na kupaste mfumo wa taifa la Switzerland.

Politics of Switzerland - Wikipedia

Nilifanya utafiti wa kuwauliza vijana wa jimboni kwa kwann wamekata tamaa kushiriki kupiga kura. Wengi walijibu. 'Hatutopiga Kura bali tutaungana na jukwaa lolote ambalo linatoa wito na wanahamasisha kugawana fito.

Wako tayari kuunga mkono jukwaa (chama) kinachotoa wito wa kugawana fito.

Kwamba hawamuamini mgombea yyt wa urais atoke huko anakotoka awaeleze anataka kuwatawala ili awaletee maendeleo. Hakuna wanaemuamini. Si Samia, Si Lissu, Si Magufuli kwa case ya 2020.

Nikasema kumbe watu wangu hawajui sera ya majimbo ya CHADEMA. Majimbo yatakayokuwa na Uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yake wenyewe, kiuchumi, kiutamaduni, kisiasa, kijamii ambapo wengi ktk jimbo/kanda husika ndio watunga sheria. Kwa kuanzia mamlaka ya mtaaa.

Kwamba Lissu au Samia anapogombea nafasi ya Urais anapokwa mamlaka yake yote ya kiunga waliyoanayo sasa na kuwa ni mfariji mkuu tu. Kama sasa alivyo Rais wa JMT akienda Znz. Anakuwa hana mamlaka yyt kwa Znz. Case study nyingine ni Rais za Ethiophia.

Sera ya majimbo yenye uhuru zaidi wa majimbo (kanda) kujiamulia mambo yao wenyewe ni mfumo bora zaidi wa muungano kwa tz, EA, afrika. Na ndilo kimbilio la mataifa yote duniani yaliyoungana.

Ni Muungano wa safaru pekee. Sio jeshi, Sio nini.

Sasa nirudi kwenye msingi wa andiko.

Baada ya uchaguzi wa kumtafuta Mwenyekiti wa chadema moja ya ajenda ya mabadiliko ya uongozi mpya wa chadema aliohubiri Lissu ni kuunganisha majukwaa yote ya wapenda mabadiliko.

Bahati mbaya sana, mimi au sisi watu wa ukanda wa mwamvai kama ngome ya wapenda mabadiliko. kwa kuzingatia propaganda za CCM na ACT kuwa CHADEMA ni chama cha Udini na ukanda. Tulitegemea sana uongozi mpya ungekuja kukata hizi cheap propaganda kwa kuunganisha uongozi wa juu na majukwaa haya hasa makubwa. Nazungumzia jukwaa au ngome ya Watu wa mwambao.

Hali iliyojitokeza baada ya uchaguzi ni kama ulikuwa ni uchaguzi wa kutafuta domination kati ya KKKT na Catholic Tz.

Na kwamba kwa maumivu makubwa Catholic wameamua kudominate nafasi zote za juu za chadema.

Kuanzia nafasi za kuchaguliwa na kuteuliwa. Tunajiuliza sisi minority ktk chama lkn majority ktk population ya Tz, ni bahati mbaya au walipanga.

Sisi kama watu wa mwambao Uwakilishi wetu uko wapi chadema. Kwamba wanaamini kabisa sisi tunaweza kupanga foleni ya kupiga kura kuchagua watu wa tabaka moja. Hivi ni kweli inteligensia ya chadema hawakuliona hilo.

Au ni mkakati Maalum wa Mwenyekiti Mpya wa kuwapa Waislam minority ndani ya chama mkono wa kwa heri ili wapeleke nguvu zao kwa chama kilichojiandaa kuwa ngome kuu ya ukanda wa pwani hata kama ni ccm B .

Mwenyekiti Lissu kapoteza nafasi hii adhimu ya kuyaunganisha majukwa nchini. Na kwamba chama kitamshinda mapema sana.

Nipo tayari kusahihishwa ili niweze kurejesha imani yangu kwa chadema. Na ninaamini imani hii ndio imani ya walio wengi ambao kwasasa wamesusa kabisa mambo ya kupiga kura.

Matamanio yangu kwasasa yanavutiwa na CHAUMMA
Competency based ni muhimu kuliko huo udini wako.
 
ACT au CUF haikuwahi kuwa legitimacy? Au uliwahi kuwashauri wateue na wakristo wapate hiyo legitimacy?

Hii ni democratic society, na tunafuata democratic processes, na hatujatoka kwenye vurugu zitokanazo na racse au dini. Ingueni kwenye siasa tafuteni nafasi za uongozi kwa merits siyo kubebwa.

Wakati Bob Makani muislamu alipokuwa katibu mkuu wa kwanza na baadae mwenyekiti wa CHADEMA ilikuwa ni kwa sababu ya uislamu wake? Au profesa Safari makamu mwenyekiti ilikuwa ni sababu ya uislamu wake?

Kama minority mnaijiita kuwa ni waislamu, wenye muelekeo wa kiisalamu hamtaki au hamna qualification au ushawishi wa kuweza kugombea mkachaguliwa kwa sifa za uongozi mnataka kupewa nafasi ili CHADEMA ipate legitimacy kwa waislamu tafuteni chama kitakachowapa legitimacy ya udini. ACT au CCM kutawafaa sana, acheni wanaotaka kujenga secular state ambayo dini siyo kigezo cha kupata uongozi waendelee.

Tatizo hili lipo ndani ya mioyo yenu isiyokuwa na dhamira nzuri
Hakuna siasa zinazoweza kufanyika Tanzania zikasimama bila kushirikisha jiji la dar. Na dar ina wenyeji, sasa utawezaje kumobileze wenyeji wa dar wewe ukiwa wakuja. Utawezaje bila ya kutanguliza wenyeji.

Nywrere alifanikiwa kwa kutambua hili.

Niwaambie tu yawezekana huu ni mkakati wa watu wakuja kuiteka dar.

Wenyeji wa dar wanajulikana kama wajumbe.

Kama mnadhani wenyeji wanataka vyeo kwa njia ya huruma, yawezekana hujui siasa na ktk hali hiyo hebu tuache muda uongee.
 
Haya ndio mambo yanayofanya waislamu waonekane kituko, kumbe ni mjinga mmoja tu
Ahsante mpiganaji wa Keyboard. Mwaka mmoja NCCCR Mageuzi iliamua kwenda pemba na kushiriki uchaguzi. Matokeo yalivyotoka hawakuamini.

Naona chadema inajiandaa na matokeo makubwa wakiamini wao wanaweza kuwapatia waislam nini cha kufanya.

Tuache muda utaongea
 
Unatatizo kubwa sana la UDINI
Nadhani infiriority complex inakusumbua
We are oppressed society by the ccm. Tulidhani chadema tungeweza kupata hifadhi.

Pamoja na hali hiyo tuna kura ya Maamuzi. Lkn hatuwezi ipiga hadi tuwe na wawakilishi wanaweza kutosema maslahi yetu ktk taifa hili

Tofauti na chadema walipitia mateso kwa miaka 7 Watu wa pwani wamedhibitiwa kwa miaka 60.

Anyway binafsi mwelekeo wangu ni CHAUMMA
 
1.Hapa Kuna harufu ya udini.

2.Ndio kwanza watu wamekabidhiwa ofisi jana ila una rap kama wana mwaka ofisini.

3.Mahalimu kwenda ACT ni CHADEMA hawakuwa active ili kuinasa sahihi yake.

4.Kila mtu alikuwa na haki ya kugombea kama alikidhi vigezo,kama unaushahidi hebu tuambie ni Akina nani walienguliwe baada ya kuomba nafasi kwa kigezo cha udini.

5.kuhusu ukanda bado unazidi kupotosha,Lisu,Heche,Nshala,Mnyika,Lema ,BOB NK,Hawa ni wa kanda moja na kabila moja?

6.Punguza hisia za mapema subiri watu waingie kazini rasmi.
Umeanza kunialewa baada ya kuona umejenga hoja ingawa ni finyu.

Waislam wengi wako ACT. Wengi ni wenzangu tuliotoka CUF Ngangari. Nilipowauliza kwann mmeamua kwenda ACT wengi walijibu tunafata Sief, mimi sifati mtu, dini wala kabila. Ninafata falsafa cha taasisi. Na nimeridhika na ile ya Serikali ya majimbo (Federal States). Lkn kuna hawa wenzangu wa kufata upepo, kufata mtu, mtu wao. Ndio lengo la kumzingua Lissu ktk Uzi huu.

Sisi minority hatuna njia ya kuendelea kuwashawishi kundi kubwa ambalo kufata watu, hufata upepo.

Sasa kama wawakilishi wao hawako chadema tunafanyaje mabadiliko kwa kuondoa dola
 
Umeanza kunialewa baada ya kuona umejenga hoja ingawa ni finyu.

Waislam wengi wako ACT. Wengi ni wenzangu tuliotoka CUF Ngangari. Nilipowauliza kwann mmeamua kwenda ACT wengi walijibu tunafata Sief, mimi sifati mtu, dini wala kabila. Ninafata falsafa cha taasisi. Na nimeridhika na ile ya Serikali ya majimbo (Federal States). Lkn kuna hawa wenzangu wa kufata upepo, kufata mtu, mtu wao. Ndio lengo la kumzingua Lissu ktk Uzi huu.

Sisi minority hatuna njia ya kuendelea kuwashawishi kundi kubwa ambalo kufata watu, hufata upepo.

Sasa kama wawakilishi wao hawako chadema tunafanyaje mabadiliko kwa kuondoa dola
Ondoa adha ya udini
 
Kwa ufupi nilimshari mwenyekiti achague katibu mkuu Muoslam na ingewezekana naibu katibu mkuu wake. Na nilipendekeza Sheikh Ponda angekuwa katibu mkuu wa chadema.
Duh hii mpya, sheikh Ponda katibu mkuu wakati hana kadi ya chadema!! Watu wanachagua mabadiliko sio dini, mbona Lissu alipata kura nyingi kuliko Membe huko zanzibar licha ya ACT kuwa ndio kinawavutia zaidi wazanzibari kuliko chadema?
 
Waislam wengi wako ACT.
Acheni ujinga, mbona huwa wanapata kura laki 1? Ina maana nchi hii kuna waislam wapo laki 1? Embu jiulize ilikuwaje chadema iwazidi kura ACT hapa dar wakati ni Muslim majority?

Tuache udini, tufocus kwenye chama Imara maana umaskini na ufisadi wa CCM hauathiri dini moja
 
Back
Top Bottom