Ujumbe kutoka kwa wanachama minority wa CHADEMA kwenda kwa mwenyekiti mpya Tundu Lissu

Ujumbe kutoka kwa wanachama minority wa CHADEMA kwenda kwa mwenyekiti mpya Tundu Lissu

Wewe ni mpuuzi mno, CHADEMA iliwahi kuongoza jiji kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2010 na 2015, walipigiwa kura na wenyeji wa Dar es salaam. Dar hakuna kwenye siasa hakuna majority wala minority ya waislamu au jamii yeyote ile. Ni sera zako na ushawishi wako. Kama kweli una chembe ya akili nikumbushe kwenye uchaguzi wowote kwa research yako uislamu uli play any part.

Mwisho wenyeji wa Dar hawana kabila wala dini. Na wazaramo wageni tu hapa, hili ni metropolitan city siyo kijijini cha Mwanalumango
Unazungumzia kipindi cha Prof Jafari na Mzee saidi. Au ushindi wakati wa ukawa. Nikupe tu alert kuwa kuna majimbo bila makubaliano chadema hatoboi. Kinondoni, ubungo, ilala, temeke, mbagala, kigamboni.

Nafikiri unakumbuka majibu ya wenyeji wa Dar ktk mkutano wa kwanza wa chadema na jukwaa sauti ya Watanzania, operasheni okoa Bandari.

Mwitikio wa mkutano ule ulisababishwa operesheni kuhama dar kuelekea sumbawanga, ngorongoro na kuvuna wafuasi wengi. Wenye bandari hawakuwa na uchungu kuliko wale ambao hata bandari hawaijui.

Ndio maana tumeikimbilia chadema kupitia sera ya majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yake wenyewe. Ili watu hawa wa milimani tupiganie mambo ya madini munayoyajua. Sio bandari au gesi. Lkn tunashindwa kabla ya muda kwasababu ya umimi, ubinafsi na ego
 
Mimi ni muislam Minority chadema.

Ubaduguzi wa ccm kwa waislam, kuwadhulu na kuwatumia sheria kali dhiki ya waislam ndio sababu ya waislam wengi kuchukua ccm. Kwass SISIEM inachukua madaraka kwa wizi. Si kwa ridhaa ya wananchi. Kimbilio ni chama kikuu cha upinzani chadema. Lkn mbona sasa nayo ni wabaguzi kama ccm. Mfumo kristo, Mfumo Kristo ni anguko
Kwenye kutaka maendeleo na haki hatutazami dini muhimu anaepewa nafasi awe ana uwezo wakuifanya hiyo kazi pasipo kupendelea
 
Unazungumzia kipindi cha Prof Jafari na Mzee saidi. Au ushindi wakati wa ukawa. Nikupe tu alert kuwa kuna majimbo bila makubaliano chadema hatoboi. Kinondoni, ubungo, ilala, temeke, mbagala, kigamboni.

Nafikiri unakumbuka majibu ya wenyeji wa Dar ktk mkutano wa kwanza wa chadema na jukwaa sauti ya Watanzania, operasheni okoa Bandari.

Mwitikio wa mkutano ule ulisababishwa operesheni kuhama dar kuelekea sumbawanga, ngorongoro na kuvuna wafuasi wengi. Wenye bandari hawakuwa na uchungu kuliko wale ambao hata bandari hawaijui.

Ndio maana tumeikimbilia chadema kupitia sera ya majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yake wenyewe. Ili watu hawa wa milimani tupiganie mambo ya madini munayoyajua. Sio bandari au gesi. Lkn tunashindwa kabla ya muda kwasababu ya umimi, ubinafsi na ego
Boni alikuwa meya wa manispaa ya wapi? Kisarawe? Profesa safari alikuwa makamu mwenyekiti, huyo Mzee Saidi ni nani na alikuwa na impact gani kuinfluence matokeo? Makubaliano CHADEMA afanye na nani? Research ipi iliyioonhesha kuwa majority ya wakazi wa majimho hayo ni waislamu au maamuzi yao ya kisiasa yanakuwa influenced na uislamu? Mmekaa kwa mtoro mnakunywa kahawa mnadanganyana. CHADEMA ni chama cha watanzania, hakina ukanda wala udini. Kajiunge ACT. CHADEMA hakina siasa za udini na ukabila. Huo ni upumbavu
 
Mimi ni muislam Minority chadema.

Ubaduguzi wa ccm kwa waislam, kuwadhulu na kuwatumia sheria kali dhiki ya waislam ndio sababu ya waislam wengi kuchukua ccm. Kwass SISIEM inachukua madaraka kwa wizi. Si kwa ridhaa ya wananchi. Kimbilio ni chama kikuu cha upinzani chadema. Lkn mbona sasa nayo ni wabaguzi kama ccm. Mfumo kristo, Mfumo Kristo ni anguko
CHADEMA haina na haijawahi kuwa na kundi la waislamu minority, hiyo ni theory yenu huko kwa mtoro. CHADEMA ina wanachama watanzania bila kujali dini wala kabila. Na hutoweza kuja kupanda mbegu hiyo ya muislamu minority ndani ya CHADEMA.

Mmeleta chokochoko hizo ndani ya CCM mmeshindwa, unaweza kunieleza hizo sheria kali ambazo CCM imeweka shidivya waislamu?
 
We are oppressed society by the ccm. Tulidhani chadema tungeweza kupata hifadhi.

Pamoja na hali hiyo tuna kura ya Maamuzi. Lkn hatuwezi ipiga hadi tuwe na wawakilishi wanaweza kutosema maslahi yetu ktk taifa hili

Tofauti na chadema walipitia mateso kwa miaka 7 Watu wa pwani wamedhibitiwa kwa miaka 60.

Anyway binafsi mwelekeo wangu ni CHAUMMA
Vizuri kama mwelekeo wako ni CHAUMMA, CHADEMA itakuwa imepunguza mpumbavu mmoja. Hapa ukiulizwa CCM imewafanyaje kwa hiyo miaka 60? Au ilikataa kuwateua kwenye uongozi? Nonsense.
 
Unashindwa kuelewa. Kama ungekuwa mtihani ungepata zero.

Kwani hujui maana na kazi ya sosholojia.

Ngoja nikupeleke shule kidogo.

Sosholojia ni elimu ya kufikiri inayohusiana na namna gani imani, itikadi, mila, desturi, hali za jamii moja inavyoweza kushawishi jamii nyingine.


Elimu ya Sosholojia ni silaha muhimu ktk kutafuta ushindi wa vita, kwa kufanya utafiti ili ufahamu jamii na jinsi wanayoishi. Na kwa kutumia matokeo ya ushawishi huo hubuni njia itakayowahamasisha jamii hizo kushiriki ktk mchakato wa ustawi au mabadiliko kuanzia hatua ya kufanya maamuzi hadi utendaji.

Pengine nusu ya watz ni waislam, lkn fikra za chadema hazina tofauti na ccm, kutaka wafate utamaduni wa wanachedema na kuacha mila na tamaduni zao.

Wahaelewi kuwa kazi namba moja ya demokrasia ni kulinda tamaduni (dini) za kila jamii
Bure kabisa, haihusiani na kushawishi bali kuifahamu value zake za jamii husika. Angalia jinsi ulivyo shallow eti kutaka wafuate utamaduni wa wanachadema na kuacha mila na tamaduni zao?

Mimi sijawahi kukutana na majnun kama wewe, hivi utamaduni wa CHADEMA ni upi kiasi kwamba ni tofauti na mila na hizo tamaduni za kufikirika? Kuna sehemu ambayo CHADEMA ni popular kama Dar es salaam?

Kazi ya demokrasia siyo kulinda dini au tamaduni labda hiyo ni falsafa ya kwa mtoro. Nchi inayolinda dini mojawapo ni Saudi Arabia, je ni nchi inayoongoza kwa demokrasia?
 
Hukumbuku Lissu alixhofanya kwa ACT.

Umesahau. Walitamka na kuwataka wanaCHADEMA wote walio Unguja wampigie Kura Maalim.

Na Maalim akamuunga Mkono Lissu. Bila ya kauli ya Maalim kwa wana ACT, Lissu angeangukia pua.

Sasa kama kuna mkakakti wa Waislam kupewa mkono wa kwa kheri chadema ili waende vyama vingine vilivyo na wawakilishi wao. Basi njia ile ile ya kuanzisha ukawa.

Hilo nitaunga mkono kuwa vyama vya upinzani vijigawe ktk ngome zao na wasiingiliane. Na kuna haja kwa watu wa mwambao kuwa na chama (chaumma) ambacho kitakuwa ngome ya chani chenye sera ya utawala wa majimbo yenye nguvu zaidi ya kujiamulia mambo yao wenyewe. Sio hivi vya falsafa kufuru ya ujamaa.

Na chadema wataendelea kukaba ngome yake ya kaskazini na kusini nyanja za juu
Dar es salaam siyo ngome ya waislamu usitudanganye, tumezaliwa, tumesoma, tumekulia na tunazeekea Dar. Huna cha kutudanganya, sehemu mnazoendekeza udini ni Zanzibar labda na lindi
 
Nazungumzia vipi chadema inaweza kuongeza ushawishi ukanda wa pwani.

Kinyume chake chadema wajadili kushika dola wakati ambapo haina uwakilishi kwa watu wa ukanda wa pwani.
Mpka hapo tushapata point za kuikataa pwani znz tanga na dar es salaam wajikite kinda ya kati na kaskazini
 
Nazungumzia vipi chadema inaweza kuongeza ushawishi ukanda wa pwani.

Kinyume chake chadema wajadili kushika dola wakati ambapo haina uwakilishi kwa watu wa ukanda wa pwani.
Sheikh kwani uchaguzi wa chadema ulifanyika kwa misingi ya dini flani? Dini ni imani na kila mtanzania ana imani yake. Kama kweli dini ingekuwa na mchango mkubwa kwenye mustakabali wa maendeleo ya Tanzania basi viongozi wetu wote wasingekuwa na roho za kikatili kiasi cha kufikia kutoa roho za Watanzania wenzao, rejea marehemu Alli Kibao, Ben Saanane, Azroy just to mention a few of them. Dini ya kweli ni "UPENDO" hizo nyingine sijui Christian, Muslims etc. ni projects za walimwengu tu! No wonder hao unawaona ni wa maana sana kwa sababu ya dini zao, wamediriki kufanya mambo mengi sana kama siyo yote kwa kutumia mwamvuli wa dini flani tena wakiwa wamekula kabisa kiapo kwa vitabu vitakatifu vya dini (imani) zao. Nakusihi ujinasue haraka sana kutoka kwenye huo utumwa wa kifikra kwa kuamini kuwa dini inaweza kutoa suluhisho katika maendeleo ya binadamu, rejea mifano ya dini ambazo sasa wameamua wanaume kwa wanaume wafirane na kuoana kabisa huku wanawake kwa wanawake nao wakisagana visimi na kuoana kabisa!
 
Sheikh kwani uchaguzi wa chadema ulifanyika kwa misingi ya dini flani? Dini ni imani na kila mtanzania ana imani yake. Kama kweli dini ingekuwa na mchango mkubwa kwenye mustakabali wa maendeleo ya Tanzania basi viongozi wetu wote wasingekuwa na roho za kikatili kiasi cha kufikia kutoa roho za Watanzania wenzao, rejea marehemu Alli Kibao, Ben Saanane, Azroy just to mention a few of them. Dini ya kweli ni "UPENDO" hizo nyingine sijui Christian, Muslims etc. ni projects za walimwengu tu! No wonder hao unawaona ni wa maana sana kwa sababu ya dini zao, wamediriki kufanya mambo mengi sana kama siyo yote kwa kutumia mwamvuli wa dini flani tena wakiwa wamekula kabisa kiapo kwa vitabu vitakatifu vya dini (imani) zao. Nakusihi ujinasue haraka sana kutoka kwenye huo utumwa wa kifikra kwa kuamini kuwa dini inaweza kutoa suluhisho katika maendeleo ya binadamu, rejea mifano ya dini ambazo sasa wameamua wanaume kwa wanaume wafirane na kuoana kabisa huku wanawake kwa wanawake nao wakisagana visimi na kuoana kabisa!
Shukran Maalim kwa falsafa yako. Napenda kukuuliza na sihitaji unijibu. Kwann viongazi wa chadema wanapotembelea mikoa ya mwambao huvaa kanzu za kiislam na kofia.?

Au kwanini wakati wa kampeni kuwatumia viongozi wenye ushawishi wa kiislam kama tambara la deki au bulldozer.

Hiki ndicho nimejaribu kuwakumbusha viongozi wetu.

Pili Nasikitika sana neno dini limejazwa sumu na Maccm kiasi kwamba likitamkwa tu laonekana ni udini.

Basi badala ya dini tutumie neno imani.

Kwani dini has nothing to do than imani. Kwa mujibu wa Uislam dini has nothing to do than mfumo wa maisha.

tuje na definition iliyo common kiaa dini ni imani. Tunaelewa kuwa Ujamaa ni Imani. Hivyo kama dini ni imani na Ujamaa ni imani them Ujamaa ni dini.

Ktk katiba yetu tunaambiwa taifa la tz linafata imani (dini) ya Ujamaa.

Nikija ktk tafsiri ya pili kuwa Dini ni mfumo wa maisha. Na kwamba hakuna anaeishi bila ya mfumo wa maisha.

Kwa maana zote mbili ni kwamba hakuna mtu asie na imani. Kwani hata chadema ni imani.

Kwani dini ni imani yako.

Na Ujamaa ni imani.

Na hivyo chadema, na Ujamaa ni dini kwa mujibu wa watu wa mwambao. Hivyo chama kinapaswa kulinda values za imani nyingine ili kikubalike. Kama bado utakuwa na dhana kuwa values zetu tuache pembeni wakati tunapigania mtanzania mwenye imani tofauti. Hii ni sababu nyingine kwann napenda sera ya chadema ya majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao wenyewe. Ambapo kama kanuni ya kidemokrasia ya Majority lead. Tuna hakika sisi tulio majority ukanda wa pwani kupitia sera ya majimbo tutawatawala minority.

Shida iliopo ni kuwa jamii zote 85% ya watu wake ni bendera tu kufata upepo. Vile wale watu wanaowategemea kama wawakilishi na icon zao waliko nao hufata huko. Sasa watakujaje chadema iwapo haina wawakilishi wao. Tunapompendekeza Shekh Ponda apewe nafasi. Pamoja na weledi alonao lkn ana wafuasi wengi ambao wanamfata kokomo aliko. Kuliko viongozi wetu wakati wa uchaguzi kuvaa kanzu na kofia kufananisha na watu wa mwambao au kumtumia shekh Ponda wakati wa kampeni tu kama tambara la deki.
 
Nilitaka Mwenyekiti na Chawa wale waweze kuona vinavyopaswa kuonwa sawa na lengo alilojipambanua halo Mwenyekti. Kuunganisha majukwaa ktk kuleta mabadiliko ya utawala.

Kwa ufupi nilimshari mwenyekiti achague katibu mkuu Muoslam na ingewezekana naibu katibu mkuu wake. Na nilipendekeza Sheikh Ponda angekuwa katibu mkuu wa chadema.

Lkn hajachelewa kwa msaada wa idara ya intelijensia ya chadema wanapaswa kufanya utafiti wa muislam gani awe mgombea Urais. Anaweza pia kuleta OMo wa ACT au Prof Njozi wa Mum kuwa mgombea Urais wa JMT

Kinyume cha hapo falsafa ya nguvu ya umma, au strong together itaishia kwenye mabango tu.
Sheikh Issa Ponda ana elimu kiasi gani mpaka awe katibu mkuu wa chama cha siasa.
 
KWAHIYO maalim seif kutokwenda Chadema ndio sababu umuone kuwa alikuwa CCM? Hopeless kabisa
 
CHADEMA ni chama cha wagalatia, waislamu wanajipendekeza tu
 
Hukumbuku Lissu alixhofanya kwa ACT.

Umesahau. Walitamka na kuwataka wanaCHADEMA wote walio Unguja wampigie Kura Maalim.

Na Maalim akamuunga Mkono Lissu. Bila ya kauli ya Maalim kwa wana ACT, Lissu angeangukia pua.

Sasa kama kuna mkakakti wa Waislam kupewa mkono wa kwa kheri chadema ili waende vyama vingine vilivyo na wawakilishi wao. Basi njia ile ile ya kuanzisha ukawa.

Hilo nitaunga mkono kuwa vyama vya upinzani vijigawe ktk ngome zao na wasiingiliane. Na kuna haja kwa watu wa mwambao kuwa na chama (chaumma) ambacho kitakuwa ngome ya chani chenye sera ya utawala wa majimbo yenye nguvu zaidi ya kujiamulia mambo yao wenyewe. Sio hivi vya falsafa kufuru ya ujamaa.

Na chadema wataendelea kukaba ngome yake ya kaskazini na kusini nyanja za juu

mkuu waislamu wanaoshabikia CHADEMA wengi wana tatizo la kutokujielewa
 
Baada ya CUF kusambaratika wako wanachama waliofatia Maalim Seif, (MwenyeziMungu amsamehe makosa yake) na kundi jengine lilikwenda kwa Mzee Lipumba. Kundi la tatu ambao pengine ni wachache ni kundi lile linaloamini 'You can only Fool some Pple some time, but you can't fool all the pple all the time.

Sisi wachache tusikubali kuburuzwa (bendera kufata upepo)tuliamini kama kweli Maalim Seif alikuwa mtaka mabadiliko angejiunga na chadema, kwasababu hoja ya Prof Lipumba kujitoa kwa muda CUF ktkt ya harakati za uchaguzi ilikuwa ni kuwapinga Chadema kumsimamisha Lowasa nafasi ya Urais.

Hivyo kama Lipumba hakuwa sahihi, ilibidi Maalim aungane na chadema. Lkn matokeo yake anajiunga na ACT.

Hivyo wote ACT na CUF walituthibitishia kuwa wanatumiwa na ccm kuvuruga Umoja wa wataka mabadiliko.

Lkn ktk uchaguzi wa Mwenyekiti Chadema tuliaminishwa kwa kuambiwa Mbowe nae anatumiwa na ccm kudhoofisha harakati kupitia mapesa ya Abdul.

Kwa hiyo sisi tuliamua kujiunga chadema haikuwa kwa bahati mbaya. Kwani hatukuamini kufata watu (wasaliti) bali sera. Na kwa kuwa trust imepungua kwa watu. Sera ya chadema ya majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yetu wenyewe ilikuwa ndio suluhisho la taifa letu.

Titaiogopaje sera hii ambayo ngome ya mwambao ndio chanzo cha mapato ya nchi kwa zaidi ya 85%.

Vijana wa nchi hii kila kanda wanaona potential za kiuchumi za maeneo yao Lkn kikwazo ni mfumo wa Serikali Kuu.

Kwa utafiti nilioufanya mfumo sahihi wa serikali za majimbo tz ni kucopy na kupaste mfumo wa taifa la Switzerland.

Politics of Switzerland - Wikipedia

Nilifanya utafiti wa kuwauliza vijana wa jimboni kwa kwann wamekata tamaa kushiriki kupiga kura. Wengi walijibu. 'Hatutopiga Kura bali tutaungana na jukwaa lolote ambalo linatoa wito na wanahamasisha kugawana fito.

Wako tayari kuunga mkono jukwaa (chama) kinachotoa wito wa kugawana fito.

Kwamba hawamuamini mgombea yyt wa urais atoke huko anakotoka awaeleze anataka kuwatawala ili awaletee maendeleo. Hakuna wanaemuamini. Si Samia, Si Lissu, Si Magufuli kwa case ya 2020.

Nikasema kumbe watu wangu hawajui sera ya majimbo ya CHADEMA. Majimbo yatakayokuwa na Uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yake wenyewe, kiuchumi, kiutamaduni, kisiasa, kijamii ambapo wengi ktk jimbo/kanda husika ndio watunga sheria. Kwa kuanzia mamlaka ya mtaaa.

Kwamba Lissu au Samia anapogombea nafasi ya Urais anapokwa mamlaka yake yote ya kiunga waliyoanayo sasa na kuwa ni mfariji mkuu tu. Kama sasa alivyo Rais wa JMT akienda Znz. Anakuwa hana mamlaka yyt kwa Znz. Case study nyingine ni Rais za Ethiophia.

Sera ya majimbo yenye uhuru zaidi wa majimbo (kanda) kujiamulia mambo yao wenyewe ni mfumo bora zaidi wa muungano kwa tz, EA, afrika. Na ndilo kimbilio la mataifa yote duniani yaliyoungana.

Ni Muungano wa safaru pekee. Sio jeshi, Sio nini.

Sasa nirudi kwenye msingi wa andiko.

Baada ya uchaguzi wa kumtafuta Mwenyekiti wa chadema moja ya ajenda ya mabadiliko ya uongozi mpya wa chadema aliohubiri Lissu ni kuunganisha majukwaa yote ya wapenda mabadiliko.

Bahati mbaya sana, mimi au sisi watu wa ukanda wa mwamvai kama ngome ya wapenda mabadiliko. kwa kuzingatia propaganda za CCM na ACT kuwa CHADEMA ni chama cha Udini na ukanda. Tulitegemea sana uongozi mpya ungekuja kukata hizi cheap propaganda kwa kuunganisha uongozi wa juu na majukwaa haya hasa makubwa. Nazungumzia jukwaa au ngome ya Watu wa mwambao.

Hali iliyojitokeza baada ya uchaguzi ni kama ulikuwa ni uchaguzi wa kutafuta domination kati ya KKKT na Catholic Tz.

Na kwamba kwa maumivu makubwa Catholic wameamua kudominate nafasi zote za juu za chadema.

Kuanzia nafasi za kuchaguliwa na kuteuliwa. Tunajiuliza sisi minority ktk chama lkn majority ktk population ya Tz, ni bahati mbaya au walipanga.

Sisi kama watu wa mwambao Uwakilishi wetu uko wapi chadema. Kwamba wanaamini kabisa sisi tunaweza kupanga foleni ya kupiga kura kuchagua watu wa tabaka moja. Hivi ni kweli inteligensia ya chadema hawakuliona hilo.

Au ni mkakati Maalum wa Mwenyekiti Mpya wa kuwapa Waislam minority ndani ya chama mkono wa kwa heri ili wapeleke nguvu zao kwa chama kilichojiandaa kuwa ngome kuu ya ukanda wa pwani hata kama ni ccm B .

Mwenyekiti Lissu kapoteza nafasi hii adhimu ya kuyaunganisha majukwa nchini. Na kwamba chama kitamshinda mapema sana.

Nipo tayari kusahihishwa ili niweze kurejesha imani yangu kwa chadema. Na ninaamini imani hii ndio imani ya walio wengi ambao kwasasa wamesusa kabisa mambo ya kupiga kura.

Matamanio yangu kwasasa yanavutiwa na CHAUMMA
Katibu wa makanisa ya Wakatoliki ni ndugu yake Lissu.
 
Back
Top Bottom