Ujumbe kwa Afrika kutoka kwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi

Ujumbe kwa Afrika kutoka kwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827
Ujumbe ulikuwa hivi, unajua nyie waafrica yaani sisi kwamba tuna Tabia ya kimalayamalaya hivi hatuwezi tukawa na msimamo wa kusimama na mmoja ndio maana tulibaki mabubu kwenye kura kule UN, kwa hiyo tutumie rasili Mali zetu, tuachane na Tabia hiyo ili tusiwe tegemezi mfano alisema nyie mnaweza kulima ngano lakini wale hawana ardhi ya kulima ngano wanategemea ya Ukraine.

Akaenda mbali zaidi akasema Umoja wenu Africa (AU) uwe na taasisi za Kifedha ambazo zitakopesha nchi zenu ziweze kuvuna rasilimali zenu na sio kubaki kusubiri wawekezaji , ajenda kuu ya mabeberu kuvuna rasilimali za Africa,na tusiweze kuvuna sisi wenyewe wa Afrika

NB: maneno haya yameniuma sana mpaka nimetetemeka.
 
Gaddafi alijitahidi kupambania rasilimali za nchi yake ili ziwanufaishe wananchi wa Libya pamoja na Waafrica wenzake, ila baada ya kuvamiwa na mabeberu ni nchi gani ilienda kumsaidia kupambana na madhalimu wa kibeberu?
Sio nchi za Afrika wala huyo Mrusi waliojitokeza kumsaidia, mbaya zaidi wananchi wake aliokua anawapigania ndio waliungana na mabeberu kwenda kummaliza mtetezi wao.
Funzo kubwa tunalolipata hapa, ukishakua kiongozi kwenye hizi nchi za giza unatakiwa uungane na mabeberu katika kupambania maslahi ya familia na ukoo wako, maana ukijitia kimbelembele kupambania rasilimali za nchi ziwanufaishe wananchi wako basi ujiandae kupigwa vita na mabeberu halafu mbaya zaidi wananchi wako unaowapigania ndio wanakua mstari wa mbele kuungana na mabeberu ili wakumalize kwa kisingizio cha democrasia.
 
Kawachana ukweli kabisa hasa viongozi wa tz wanapenda kuomba sana msaada hasa hii awamu.Viongozi wa tz wao hawapendi kutumia bongo zao kukabiliana na changamoto zaidi ya kuomba tu msaada
 
Ujumbe ulikuwa hivi, unajua nyie waafrica yaani sisi kwamba tuna Tabia ya kimalayamalaya hivi hatuwezi tukawa na msimamo wa kusimama na mmoja ndio maana tulibaki mabubu kwenye kura kule UN, kwa hiyo tutumie rasili Mali zetu, tuachane na Tabia hiyo ili tusiwe tegemezi mfano alisema nyie mnaweza kulima ngano lakini wale hawana ardhi ya kulima ngano wanategemea ya Ukraine.

Akaenda mbali zaidi akasema Umoja wenu Africa (AU) uwe na taasisi za Kifedha ambazo zitakopesha nchi zenu ziweze kuvuna rasilimali zenu na sio kubaki kusubiri wawekezaji , ajenda kuu ya mabeberu kuvuna rasilimali za Africa,na tusiweze kuvuna sisi wenyewe wa Afrika

NB: maneno haya yameniuma sana mpaka nimetetemeka.
ukiguswa na hayo maneno bas ujue una chemb chemb za kidada umeliwa na kidume cha kwanza hlf anakuja wapil anamponda yule wa kwanza then anakutafuna hlf atakuacha vile vile , mwanaume wa kwel hasubir kuambiwa nini cha kufanya bali , unapaswa kutambua nini unataka na nin inapaswa ufanye sio mpk usaidiwe kufikiri
 
ukiguswa na hayo maneno bas ujue una chemb chemb za kidada umeliwa na kidume cha kwanza hlf anakuja wapil anamponda yule wa kwanza then anakutafuna hlf atakuacha vile vile , mwanaume wa kwel hasubir kuambiwa nini cha kufanya bali , unapaswa kutambua nini unataka na nin inapaswa ufanye sio mpk usaidiwe kufikiri
Nakazia
 
Hayo maneno ni SAwa gitaa kwa mbuzi kwa watawala hawa wa kiafrica ambao kwao uongozi ni ajira na sio wito, thus huwezi kuta afrika kiongozi anajiuzuru.
 
Kawachana ukweli kabisa hasa viongozi wa tz wanapenda kuomba sana msaada hasa hii awamu.Viongozi wa tz wao hawapendi kutumia bongo zao kukabiliana na changamoto zaidi ya kuomba tu msaada

Kwa sababu uongozi kwao ni ajira thus kuomba mikopo na misaada ndio njia ya uhakika kula pesa
 
Back
Top Bottom