mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,588
- 11,668
Swali la kijinga!!! umeshindwa kujua hata akili za Ndugai wakati Magafuli yupo madarakani na Ndugai wa sasa?Mbona ww hujauawa na kutekwa kama mambo yalikuwa mabaya hivyo😂!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali la kijinga!!! umeshindwa kujua hata akili za Ndugai wakati Magafuli yupo madarakani na Ndugai wa sasa?Mbona ww hujauawa na kutekwa kama mambo yalikuwa mabaya hivyo😂!
Mbona wengine hutajiChacha wangwe yuko wapi?
Upendo wako kwa mwendazake ni wa dhati! Ikukupendeza hamia tu kule angels’ republic!Ni vyema tukaweka kumbumbu sawa.
Unapoongelea legacy usioongelee kijuujuu au kimasihara. Katika nchi hii tunaweza kuongelea legacies mbili muhimu. Yaani legacy ya Mwalimu Nyerere iliyotuwekea maono na miongozo baada ya Uhuru.
Halafu tutaongelea legacy ya Magufuli katika utekelezaji wa maono na miongozo baada ya uhuru ambayo yalikwama kutekelezwa.
Yoyote mwenye kutoa maoni anapaswa kuwa honest na tena asiye na mawaa.
Tukubali au tukatae awamu ya 1 na awamu ya 5 ni awamu muhimu kwa taifa letu na kamwe hadi sasa hatutaweza kuzilinganisha na awamu nyingine.
Tusidilute mada bana.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Sasa umeandika nini tena hapo loh, pole yako! Raha ya milele umpe Bwana na mwanga wa milele umuangazie mpendwa shujaa wetu Mh Dr JPM 🙏! Mwalimu JK Nyerere, naamini amekupokea kwa nderemo na vifijo! MiSwali la kijinga!!! umeshindwa kujua hata akili za Ndugai wakati Magafuli yupo madarakani na Ndugai wa sasa?
Anzory gwandaNi vyema tukaweka kumbumbu sawa.
Unapoongelea legacy usioongelee kijuujuu au kimasihara. Katika nchi hii tunaweza kuongelea legacies mbili muhimu. Yaani legacy ya Mwalimu Nyerere iliyotuwekea maono na miongozo baada ya Uhuru.
Halafu tutaongelea legacy ya Magufuli katika utekelezaji wa maono na miongozo baada ya uhuru ambayo yalikwama kutekelezwa.
Yoyote mwenye kutoa maoni anapaswa kuwa honest na tena asiye na mawaa.
Tukubali au tukatae awamu ya 1 na awamu ya 5 ni awamu muhimu kwa taifa letu na kamwe hadi sasa hatutaweza kuzilinganisha na awamu nyingine.
Tusidilute mada bana.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Nyerere hakua wakosoaji wake. Hakupora wananchi mazao yao na hakuvunja katina yetunew nyerere of our time
Sasa kwa upande wa Mwendazake ambaye hakua mbovu kwanini hukumtetea? Si ungelishika Ziraili shingo ulitupe kule? Au na Wewe ni kama Rashid Gwajboy, mlikaa kimya tu kama hamfufuagi?!Huwa sitetei wabovu
Kwa watoto wa miaka ya tisini watasema hakuna kilichofanyika baada ya Nyerere kitu ambacho si kweli hata kidogo.Zamani enzi za Mwinyi tulikuwa tunagawiwa madaftari,mikebe ,kalamu shuleni je huyo aliyesema elimu bure hayo yalikuwako? Enzi za Mkapa kulizaliwa taasisi mbali mbali ambazo zimeajiri watanzania wengi je kwa awamu ya tano yalitendeka hayo?Enzi za Kikwete miundo mbinu ya kuunganisha mikoa yote nchini ilifanyika kwa 98% je awamu ya tano yametendeka hayo?Ni vyema tukaweka kumbumbu sawa.
Unapoongelea legacy usioongelee kijuujuu au kimasihara. Katika nchi hii tunaweza kuongelea legacies mbili muhimu. Yaani legacy ya Mwalimu Nyerere iliyotuwekea maono na miongozo baada ya Uhuru.
Halafu tutaongelea legacy ya Magufuli katika utekelezaji wa maono na miongozo baada ya uhuru ambayo yalikwama kutekelezwa.
Yoyote mwenye kutoa maoni anapaswa kuwa honest na tena asiye na mawaa.
Tukubali au tukatae awamu ya 1 na awamu ya 5 ni awamu muhimu kwa taifa letu na kamwe hadi sasa hatutaweza kuzilinganisha na awamu nyingine.
Tusidilute mada bana.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
kama ulivyo mpumbavu tukisema ni mjinga tumekuheshimu.Sijawahi kuona kiumbe kijinga kama mfuasi wa Chadema
Mkuu kajipange upya japo hu jirani but wapotea mkuuNi vyema tukaweka kumbumbu sawa.
Unapoongelea legacy usioongelee kijuujuu au kimasihara. Katika nchi hii tunaweza kuongelea legacies mbili muhimu. Yaani legacy ya Mwalimu Nyerere iliyotuwekea maono na miongozo baada ya Uhuru.
Halafu tutaongelea legacy ya Magufuli katika utekelezaji wa maono na miongozo baada ya uhuru ambayo yalikwama kutekelezwa.
Yoyote mwenye kutoa maoni anapaswa kuwa honest na tena asiye na mawaa.
Tukubali au tukatae awamu ya 1 na awamu ya 5 ni awamu muhimu kwa taifa letu na kamwe hadi sasa hatutaweza kuzilinganisha na awamu nyingine.
Tusidilute mada bana.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Do not compare Nyerere to an idiot person who believed in things but not in humanity.new nyerere of our time
Uko sawa mtu wa Mungu.Anzory gwanda
Ben Sanane
Alphonso mawazo
Akwilin akwilin
Kubambikiza watu cases
Kupora korosho za wakulima huko kusini... wale kangomba bado wapo
Kutopandisha watumishi mishahara na maharaja.
Kuminya uhuru wa habar na madini
Wizi wa kura hapo 2019/ 2020.
Legacy anaipatta wapi yule MSHENZI NA KATILI?
note; kumlinganisha magufuli na Nyerere inanyesha ni kwa kiasi gani hata hiyo nyerere we humfahamu.
Katiba iliyopo imetungwa kwa kivuli chake lakini aliiheshimu! Hajawahi kuivunja.
Magufuli kavunja katina mara ngapi???? Unawalinganishaje hawa?
Kamfukue
Bado kumtangaza mtakatifu tu ndio zenu na namna ya kutiana moyo na faraja mara baada ya msiba, wapeleekeeni RC wakamtangaze mtakatifu ndio mtakapoelewa watu mambo yenu na propaganda zenu wanazo wanakula ganzi muda uende tu.Ni vyema tukaweka kumbumbu sawa.
Unapoongelea legacy usioongelee kijuujuu au kimasihara. Katika nchi hii tunaweza kuongelea legacies mbili muhimu. Yaani legacy ya Mwalimu Nyerere iliyotuwekea maono na miongozo baada ya Uhuru.
Halafu tutaongelea legacy ya Magufuli katika utekelezaji wa maono na miongozo baada ya uhuru ambayo yalikwama kutekelezwa.
Yoyote mwenye kutoa maoni anapaswa kuwa honest na tena asiye na mawaa.
Tukubali au tukatae awamu ya 1 na awamu ya 5 ni awamu muhimu kwa taifa letu na kamwe hadi sasa hatutaweza kuzilinganisha na awamu nyingine.
Tusidilute mada bana.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
kweli kabisa.Bado kumtangaza mtakatifu tu ndio zenu na namna ya kutiana moyo na faraja mara baada ya msiba, wapeleekeeni RC wakamtangaze mtakatifu ndio mtakapoelewa watu mambo yenu na propaganda zenu wanazo wanakula ganzi muda uende tu.
Hizi ndizo tawala zilizoacha majonzi makubwa katika mioyo ya watu kwa kutokutaka kusikiliza watu na kutumia muda mwingi kujisifia na propaganda.
"Baki na mavi yako nyumbani".Huwa sitetei wabovu