Ujumbe kwa Hajar

Hahahaaa. Uzuri inakuwaga ni kweli tumewahiwa.

Pia niseme hakuna mwanamke asiyependa hii kitu hasa ile inayojileta yenyewe. [emoji12] Yaani ningekuwa sina mtu ningeshamzukia huko PM tuyajenge ili nipate ndoa Hajar wa watu. Lol
Mmmmh
 
Asante kwa faraja mkuu
 
Jolie ,laiti ukijua athar ya Dissapointment unayopewa mbele za watu usingesema hivo.

Sasa hapa Hajar yeye ndo amekaa upande wa faida ...ndugu yangu Mikononyuma amejishika mikono nyuma kwelikwelu
Hatari mkuu , ata sijui naelekea wapi toka ngaramtoni kwa miguu mikono nyuma kama jina langu . nikama nimefika katikati ya chekereni na Mandela university
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…