Ujumbe kwa Hajar

Ujumbe kwa Hajar

Acha tu unajua kumuombea mtu kifo ni zambi !!!lakini nahisi shetani ananijaribu eti natamani uanze eda ukimaliza tu niwahi
Duuh! Hii yako kali ujue mikononyuma.

Inabidi umkemee huyo shetani kwa kweli. Sababu inaweza kutokea hivyo na bado ukajikuta mwisho wa siku unamkosa Hajar halafu wakawahi wengine. Teh teh
 
Back
Top Bottom