Ujumbe kwa Hajar

Ujumbe kwa Hajar

Anaweza eeeeeh
Si umemcheki mwenyewe Mrembo Demis, kuna nyepesinyepesi nilizisikia eti baada ya Mshana kufanya yake dada alitoka usiku wa manane anatafuta usafiri wa kumpeleka Msata kwa Mshana! Saivi ndo kama unavyosikia tena yaani hasikii haelewi kwa yule jamaa. Ila ukikosea masharti nasikia vinageuka, demu atakuchukia ile mbaya yaani waeza kumsalimia tu Hajar ukaoga vichambo vya kufa mtu
 
Ila washenga wa Dar hua hawaaminiki aisee, kuna mmoja aliwahi kupewa ushenga si akajifanyia ushenga mwenyewe! Kwa bahati(utachagua mwenyewe hapo kama ni nzuri au mbaya) mchumba akashtuka na akawapiga chini wote akawaona wahuni, nikimkumbuka yule jamaa mshenga msambaa na lafudhi yake ilivokua akiongea hua nacheka peke yangu
Wote wanapotezwa kama binti yupo serious.
 
Ila washenga wa Dar hua hawaaminiki aisee, kuna mmoja aliwahi kupewa ushenga si akajifanyia ushenga mwenyewe! Kwa bahati(utachagua mwenyewe hapo kama ni nzuri au mbaya) mchumba akashtuka na akawapiga chini wote akawaona wahuni, nikimkumbuka yule jamaa mshenga msambaa na lafudhi yake ilivokua akiongea hua nacheka peke yangu
Hahahahaahaaaaa

Watu hawachezei fursa aisee
 
Si umemcheki mwenyewe Mrembo Demis, kuna nyepesinyepesi nilizisikia eti baada ya Mshana kufanya yake dada alitoka usiku wa manane anatafuta usafiri wa kumpeleka Msata kwa Mshana! Saivi ndo kama unavyosikia tena yaani hasikii haelewi kwa yule jamaa. Ila ukikosea masharti nasikia vinageuka, demu atakuchukia ile mbaya yaani waeza kumsalimia tu Hajar ukaoga vichambo vya kufa mtu
Hahahahahahahahaaaaaa

Couple ya mshana na Dwmiss imeteka majukwaa ya MMU na Chit-Chat takribani mwezi mzima sasa na inaendelea kuimarika kila siku
 
Back
Top Bottom