Ujumbe kwa Prof. Assad: Hatutaki Rais anayesikiliza kila mtu na la kila Mtu!

Ujumbe kwa Prof. Assad: Hatutaki Rais anayesikiliza kila mtu na la kila Mtu!

Na. M. M. Mwanakijiji

Mojawapo ya maajabu makubwa ni hili la watu kuamini kuwa ujio wa Katiba Mpya utawapa Rais ambaye ataweza kudhibitiwa na "taasisi". Kwamba, Katiba Mpya itazuia Rais kufanya lolote na kuwa atakuwa analazimishwa kusikiliza mashauri mbalimbali. Prof. Assad ni miongoni mwa watu ambao amejionesha kukerwa mno na jinsi Magufuli alikuwa; hasikilizi, hapigwi maneno ya wataalam, na watendaji wenye maneno ya kitalaamu. Inawezekana siyo yeye tu bali wapo wengine ambao nao walikuwa wanakerwa kuwa Magufuli "hasikilizi". Na tunawaona wengine ambao nao wanafikia mahali pa kusema "Magufuli hakufanya lolote".

Sasa, wanataka tuwe na Rais ambaye anapewa ushauri na kila mtu na anatakiwa kusikiliza kila ushauri kwani asipousikiliza au kuukubali basi anakuwa "haambiliki". Inanikumbusha maneno yaliyosemwa wakati wa Nyerere; aliitwa pia "Haambiliki". Ati Magufuli alikuwa anawakera kwa sababu walitaka awasikilize na asiwaulize; akubali bila maswali! Sasa inawezekana wanaona Rais Samia ni wa kuambiwa kila kitu; kwamba wanampa mashauri ya kila namna na anaonekana anayafuata. Inawezekana wanaona kuwa Rais Samia anawakubalia kila mashauri hata ambayo matokeo yake siyo mazuri. WAnachofurahia ni kuwa wamelipata "sikio la mama".

Ndio maana tunaweza kuona wanashindana kukandia awamu ya tano (ambayo wao walikuwemo). Inaonekana kabisa kuwa ili mama akupe sikio inabidi umpapase kwa maneno mazuri ya kumkandia mtangulizi wake. Magufuli hakujenga kiwanda hata kimoja, uwekezaji ulipungua, maisha yalikuwa Magumu, watalii walikimbia, uchumi ulidorora... wanasema na kusema ili waseme "ila sasa awamu ya sita" mambo yamekavaa vizuri! Wanajaribu kutenda kana kwamba Rais Samia alishinda uchaguzi mahali bila ya Magufuli! Lakini hawa wanaotaka Rais anayesikiliza kila ushauri inabidi tuwakatae.

Tunawapinga na kuwakataa kwa sababu wanataka kumchukua Rais kuwa mateka wa fikra zao na mashauri yao. Watamshauri akikataa wataanza kusema "Rais hatusikilizi tena". Ukweli ni kuwa Rais - hata ije Katiba Haramu Mpya - hatakiwi kukubali ushauri wa kila mtu, hata kama ni maprofesa kama Assad. Anatakiwa kusikiliza na kuuliza; hatakiwi kukubali bila maswali! Na ni hatari zaidi kumtaka Rais awafurahishe kwa kuwa karibu na watu wenye kumsifia na kumwambia mambo mazuri.

Profesa Assad na watu wenye fikra kama zake hawamtakii mema Rais, wanamtega, na wanajaribu kumfanya awe Rais wa picha!

Hili tunawakatalia; waache ufyatu!

MMM
Well [emoji736] 100% Right .

Tunataka watu wakweli wa namna yako Mwanakijiji
 
Mleta mada wewe ni Sukuma Gang

Sukuma Gang tambueni mtu wenu hayupo

Wewe ni mmoja wa watu hapa JF mliokengeuka kisa JPM ni Msukuma kama wewe

Ulishajishushia heshima hapa JF

Wewe ni mkabila kupita Maelezo, Una chuki na waislam

Kila muislam atakaye ongelea mazuri ya Samia, Sukuma Gang hamridhiki

Mlitaka kuligawa Taifa hili vipande kwa kujiona wasukuma ndio watawala

Wakati wa JPM ulitanguliza usukuma mbele kwa kusifia,

Wasukuma hata kiswahili fasaha hamuwezi, Mlitaka Mashuleni tuanze kufundisha watoto masomo kwa kisukuma

You better shut up

Ukiendelea na mada zako za upuuzi tutakuja kukuabisha hapa JF

Usukuma wenu mliotaka kuujenga awamu ya tano unafikirsha sana
Hoja zako zingekuwa na nguvu na maana Sana Kama usingeingiza ukabila na udini
Huwezi kushutumu kabila zima au dini Fulani kwa sababu ya watu wachache tu waliofanya makosa
Hii tabia lazima tuikatae kwa nguvu zote
Kuna watu wanataka kuchafua sura ya kabila zima kwa ajili ya makosa ya watu wachache
Moja ya Mambo mkiti na viongozi Upinzani walipaswa kuyakemea na kujitenga nayo ni Hilo
 
Huwa ninasemaga kiumbe binadamu hakijawahi kueleweka..lakini trust me kuna kiumbe kinachoitwa mtanzania 🙆‍♀️🙆‍♀️ Huyu kiumbe hajawahigi na wala hata kuja kueleweka aise..🤨🤨

Tunachuki na wivu wa ajabu sana.mtu akifanya vizuri watamponda,akifanya vibaya watamponda,akijiua watamponda,akiendelea kuishi na kufanya mambo Yake watamponda😳😳😳ni watu wa kulalamika Kwa kila kitu hatujui kushukuru kabisa😩😩
Wana roho mbaya ! Pamoja na baadhi ya viongozi wao ambao wao wanachokifikiria zaidi ni kujilimbikizia mimali na hawatosheki na vyote walivyokwisha kuvisunda !! Utadhani wataishi milele !!!
 
Labda hakukusikiliza wewe lakini J.P.M Alikuwa anatembea kila mahali kuzikiliza watu wake ambao ndo walimchagua nae huyu wa sasa kutwa anazunguka ulaya na kwa matajiri maana ndo anaamini watamulinda katka urahisi wake
Nyie wafuasi wa marehemu jiwe wengi wenu hamjielewi
 
Siku Rais Samia alianza kuwakatalia na kujipambanua kuwa kufuata "wasomi" na "watalaamu" ni mtego mbaya Afrika watamrarua. Hivi Tanzania haikuwa na wasomi wakati wa Mkapa na Kikwete? Kwani tuna upungufu wa warsha na kongamano za wasomi? Au mmeshasahau MKURABITA, MKUKUTA NA MIKULAKULA?
 
M

Magufuli alikuwa kichaa kabisa na kama vichaa wengine walivyo huwa hawajitambui kuwa na tatizo na hujiona wana akili kuliko watu wote na hawatakagi ushauri. Mwenye akili timamu hupokea ushauri na kuichambua na kufanya maamuzi
Kwani kabla ya kichaa Magufuli si nchi ilikuwa inaongozwa na watu timamu?
 
Siku Rais Samia alianza kuwakatalia na kujipambanua kuwa kufuata "wasomi" na "watalaamu" ni mtego mbaya Afrika watamrarua. Hivi Tanzania haikuwa na wasomi wakati wa Mkapa na Kikwete? Kwani tuna upungufu wa warsha na kongamano za wasomi? Au mmeshasahau MKURABITA, MKUKUTA NA MIKULAKULA?
Tatizo tumegeuza siasa ajira yenye maslahi mazuri yaani siasa imegeuka biashara inayolipa.

Na wasomi wameamua kujitoa ufahamu ili na wao wanufaike, tumechagua njia ngumu mno, wa kulaumiwa ni Ccm.
 
Na. M. M. Mwanakijiji

Mojawapo ya maajabu makubwa ni hili la watu kuamini kuwa ujio wa Katiba Mpya utawapa Rais ambaye ataweza kudhibitiwa na "taasisi". Kwamba, Katiba Mpya itazuia Rais kufanya lolote na kuwa atakuwa analazimishwa kusikiliza mashauri mbalimbali. Prof. Assad ni miongoni mwa watu ambao amejionesha kukerwa mno na jinsi Magufuli alikuwa; hasikilizi, hapigwi maneno ya wataalam, na watendaji wenye maneno ya kitalaamu. Inawezekana siyo yeye tu bali wapo wengine ambao nao walikuwa wanakerwa kuwa Magufuli "hasikilizi". Na tunawaona wengine ambao nao wanafikia mahali pa kusema "Magufuli hakufanya lolote".

Sasa, wanataka tuwe na Rais ambaye anapewa ushauri na kila mtu na anatakiwa kusikiliza kila ushauri kwani asipousikiliza au kuukubali basi anakuwa "haambiliki". Inanikumbusha maneno yaliyosemwa wakati wa Nyerere; aliitwa pia "Haambiliki". Ati Magufuli alikuwa anawakera kwa sababu walitaka awasikilize na asiwaulize; akubali bila maswali! Sasa inawezekana wanaona Rais Samia ni wa kuambiwa kila kitu; kwamba wanampa mashauri ya kila namna na anaonekana anayafuata. Inawezekana wanaona kuwa Rais Samia anawakubalia kila mashauri hata ambayo matokeo yake siyo mazuri. WAnachofurahia ni kuwa wamelipata "sikio la mama".

Ndio maana tunaweza kuona wanashindana kukandia awamu ya tano (ambayo wao walikuwemo). Inaonekana kabisa kuwa ili mama akupe sikio inabidi umpapase kwa maneno mazuri ya kumkandia mtangulizi wake. Magufuli hakujenga kiwanda hata kimoja, uwekezaji ulipungua, maisha yalikuwa Magumu, watalii walikimbia, uchumi ulidorora... wanasema na kusema ili waseme "ila sasa awamu ya sita" mambo yamekavaa vizuri! Wanajaribu kutenda kana kwamba Rais Samia alishinda uchaguzi mahali bila ya Magufuli! Lakini hawa wanaotaka Rais anayesikiliza kila ushauri inabidi tuwakatae.

Tunawapinga na kuwakataa kwa sababu wanataka kumchukua Rais kuwa mateka wa fikra zao na mashauri yao. Watamshauri akikataa wataanza kusema "Rais hatusikilizi tena". Ukweli ni kuwa Rais - hata ije Katiba Haramu Mpya - hatakiwi kukubali ushauri wa kila mtu, hata kama ni maprofesa kama Assad. Anatakiwa kusikiliza na kuuliza; hatakiwi kukubali bila maswali! Na ni hatari zaidi kumtaka Rais awafurahishe kwa kuwa karibu na watu wenye kumsifia na kumwambia mambo mazuri.

Profesa Assad na watu wenye fikra kama zake hawamtakii mema Rais, wanamtega, na wanajaribu kumfanya awe Rais wa picha!

Hili tunawakatalia; waache ufyatu!

MMM
Genius!
 
Rais kuwa msikivu ni kupitia mamlaka za kikatiba zilizowekwa kumshauri kama Bunge.

Rais anayejaribu kulicontrol Bunge ana kuwa na tabia kama za Magufuli, si msikivu tu, bali hata sheria zinazotungwa ni kwa maelekezo.

Prof Assad ni msomi na alilopendekeza ni kwa muktadha huo.
Samia ndo kadhihirsha kabisa anacontrol bunge kwa kukosolewa na Ndugai na kuamua kumtoa uspika!
 
Samia ndo kadhihirsha kabisa anacontrol bunge kwa kukosolewa na Ndugai na kuamua kumtoa uspika!
Ile ilikuwa habari ingine kabisa.
Power struggle.
Siyo siri Ndugai alikuwa nyuma ya kundi lililotaka kuchukua madaraka baada tu ya kifo cha mwendazake.
Ndugai kwa cheo chake alifikiri anaweza kufanya lolote kama mhimili.
Aliula wa chuya.
 
Samia ndo kadhihirsha kabisa anacontrol bunge kwa kukosolewa na Ndugai na kuamua kumtoa uspika!
Anyway ila kwa Ndugai hata kama alilazimishwa kujiuuzulu, hata kama taratibu hazikufuatwa kikatiba, tuunge mkono tu kilichotokea kwa kuwa UFEDHULI aliofanya una madhara kuliko hizo taratibu za kumtoa.

The end justifies the means
 
Na. M. M. Mwanakijiji

Mojawapo ya maajabu makubwa ni hili la watu kuamini kuwa ujio wa Katiba Mpya utawapa Rais ambaye ataweza kudhibitiwa na "taasisi". Kwamba, Katiba Mpya itazuia Rais kufanya lolote na kuwa atakuwa analazimishwa kusikiliza mashauri mbalimbali. Prof. Assad ni miongoni mwa watu ambao amejionesha kukerwa mno na jinsi Magufuli alikuwa; hasikilizi, hapigwi maneno ya wataalam, na watendaji wenye maneno ya kitalaamu. Inawezekana siyo yeye tu bali wapo wengine ambao nao walikuwa wanakerwa kuwa Magufuli "hasikilizi". Na tunawaona wengine ambao nao wanafikia mahali pa kusema "Magufuli hakufanya lolote".

Sasa, wanataka tuwe na Rais ambaye anapewa ushauri na kila mtu na anatakiwa kusikiliza kila ushauri kwani asipousikiliza au kuukubali basi anakuwa "haambiliki". Inanikumbusha maneno yaliyosemwa wakati wa Nyerere; aliitwa pia "Haambiliki". Ati Magufuli alikuwa anawakera kwa sababu walitaka awasikilize na asiwaulize; akubali bila maswali! Sasa inawezekana wanaona Rais Samia ni wa kuambiwa kila kitu; kwamba wanampa mashauri ya kila namna na anaonekana anayafuata. Inawezekana wanaona kuwa Rais Samia anawakubalia kila mashauri hata ambayo matokeo yake siyo mazuri. WAnachofurahia ni kuwa wamelipata "sikio la mama".

Ndio maana tunaweza kuona wanashindana kukandia awamu ya tano (ambayo wao walikuwemo). Inaonekana kabisa kuwa ili mama akupe sikio inabidi umpapase kwa maneno mazuri ya kumkandia mtangulizi wake. Magufuli hakujenga kiwanda hata kimoja, uwekezaji ulipungua, maisha yalikuwa Magumu, watalii walikimbia, uchumi ulidorora... wanasema na kusema ili waseme "ila sasa awamu ya sita" mambo yamekavaa vizuri! Wanajaribu kutenda kana kwamba Rais Samia alishinda uchaguzi mahali bila ya Magufuli! Lakini hawa wanaotaka Rais anayesikiliza kila ushauri inabidi tuwakatae.

Tunawapinga na kuwakataa kwa sababu wanataka kumchukua Rais kuwa mateka wa fikra zao na mashauri yao. Watamshauri akikataa wataanza kusema "Rais hatusikilizi tena". Ukweli ni kuwa Rais - hata ije Katiba Haramu Mpya - hatakiwi kukubali ushauri wa kila mtu, hata kama ni maprofesa kama Assad. Anatakiwa kusikiliza na kuuliza; hatakiwi kukubali bila maswali! Na ni hatari zaidi kumtaka Rais awafurahishe kwa kuwa karibu na watu wenye kumsifia na kumwambia mambo mazuri.

Profesa Assad na watu wenye fikra kama zake hawamtakii mema Rais, wanamtega, na wanajaribu kumfanya awe Rais wa picha!

Hili tunawakatalia; waache ufyatu!

MMM
sahihi sana legend
 
Mwanakijiji hajapinga katiba mpya ,muwe mnasoma na kuelewa, yeye anapingana na maoni ya professor Assad, ya kutaka kulazimisha mkuu wa nchi asikilize na kutetekeleza kila ushauri anaopewa.

Ndio maana mwanakijiji akasema hata katiba mpya ikija haitamlazimisha rais kufuata ushauri wa kila mtu.

Someni muelewe kwanza kabla ya kujibu hoja ya mleta mada
Ni wapi ambapo Prof.Assad amesema Katiba mpya imlazimishe Rais kufuata ushauri wa kila mtu? hiyo ni dhana yenu hasi ambayo mmeijenga dhidi yake na hasa Sukuma gang ambao mnaona Prof. ni mwiba kwa matendo ya hovyo aliyoyafanya "Mwenda zake"
 
Nadhan umeelewa kinyume,yule kubwa lenu la maadui lilijaa kiburi na majivuno na kujiona yy ni kuliko wote waliopita.
SUKUMA GANG kubalini tu kuwa zama zenu zmekwisha
Na. M. M. Mwanakijiji

Mojawapo ya maajabu makubwa ni hili la watu kuamini kuwa ujio wa Katiba Mpya utawapa Rais ambaye ataweza kudhibitiwa na "taasisi". Kwamba, Katiba Mpya itazuia Rais kufanya lolote na kuwa atakuwa analazimishwa kusikiliza mashauri mbalimbali. Prof. Assad ni miongoni mwa watu ambao amejionesha kukerwa mno na jinsi Magufuli alikuwa; hasikilizi, hapigwi maneno ya wataalam, na watendaji wenye maneno ya kitalaamu. Inawezekana siyo yeye tu bali wapo wengine ambao nao walikuwa wanakerwa kuwa Magufuli "hasikilizi". Na tunawaona wengine ambao nao wanafikia mahali pa kusema "Magufuli hakufanya lolote".

Sasa, wanataka tuwe na Rais ambaye anapewa ushauri na kila mtu na anatakiwa kusikiliza kila ushauri kwani asipousikiliza au kuukubali basi anakuwa "haambiliki". Inanikumbusha maneno yaliyosemwa wakati wa Nyerere; aliitwa pia "Haambiliki". Ati Magufuli alikuwa anawakera kwa sababu walitaka awasikilize na asiwaulize; akubali bila maswali! Sasa inawezekana wanaona Rais Samia ni wa kuambiwa kila kitu; kwamba wanampa mashauri ya kila namna na anaonekana anayafuata. Inawezekana wanaona kuwa Rais Samia anawakubalia kila mashauri hata ambayo matokeo yake siyo mazuri. WAnachofurahia ni kuwa wamelipata "sikio la mama".

Ndio maana tunaweza kuona wanashindana kukandia awamu ya tano (ambayo wao walikuwemo). Inaonekana kabisa kuwa ili mama akupe sikio inabidi umpapase kwa maneno mazuri ya kumkandia mtangulizi wake. Magufuli hakujenga kiwanda hata kimoja, uwekezaji ulipungua, maisha yalikuwa Magumu, watalii walikimbia, uchumi ulidorora... wanasema na kusema ili waseme "ila sasa awamu ya sita" mambo yamekavaa vizuri! Wanajaribu kutenda kana kwamba Rais Samia alishinda uchaguzi mahali bila ya Magufuli! Lakini hawa wanaotaka Rais anayesikiliza kila ushauri inabidi tuwakatae.

Tunawapinga na kuwakataa kwa sababu wanataka kumchukua Rais kuwa mateka wa fikra zao na mashauri yao. Watamshauri akikataa wataanza kusema "Rais hatusikilizi tena". Ukweli ni kuwa Rais - hata ije Katiba Haramu Mpya - hatakiwi kukubali ushauri wa kila mtu, hata kama ni maprofesa kama Assad. Anatakiwa kusikiliza na kuuliza; hatakiwi kukubali bila maswali! Na ni hatari zaidi kumtaka Rais awafurahishe kwa kuwa karibu na watu wenye kumsifia na kumwambia mambo mazuri.

Profesa Assad na watu wenye fikra kama zake hawamtakii mema Rais, wanamtega, na wanajaribu kumfanya awe Rais wa picha!

Hili tunawakatalia; waache ufyatu!

MMM
 
Hakika ktk maneno kuna uchawi kubwa linalosumbua wale wa j2 kwa kuwa co mtu wao
Mwanakijiji hajapinga katiba mpya ,muwe mnasoma na kuelewa, yeye anapingana na maoni ya professor Assad, ya kutaka kulazimisha mkuu wa nchi asikilize na kutetekeleza kila ushauri anaopewa.

Ndio maana mwanakijiji akasema hata katiba mpya ikija haitamlazimisha rais kufuata ushauri wa kila mtu.

Someni muelewe kwanza kabla ya kujibu hoja ya mleta mada
 
Na. M. M. Mwanakijiji

Mojawapo ya maajabu makubwa ni hili la watu kuamini kuwa ujio wa Katiba Mpya utawapa Rais ambaye ataweza kudhibitiwa na "taasisi". Kwamba, Katiba Mpya itazuia Rais kufanya lolote na kuwa atakuwa analazimishwa kusikiliza mashauri mbalimbali. Prof. Assad ni miongoni mwa watu ambao amejionesha kukerwa mno na jinsi Magufuli alikuwa; hasikilizi, hapigwi maneno ya wataalam, na watendaji wenye maneno ya kitalaamu. Inawezekana siyo yeye tu bali wapo wengine ambao nao walikuwa wanakerwa kuwa Magufuli "hasikilizi". Na tunawaona wengine ambao nao wanafikia mahali pa kusema "Magufuli hakufanya lolote".

Sasa, wanataka tuwe na Rais ambaye anapewa ushauri na kila mtu na anatakiwa kusikiliza kila ushauri kwani asipousikiliza au kuukubali basi anakuwa "haambiliki". Inanikumbusha maneno yaliyosemwa wakati wa Nyerere; aliitwa pia "Haambiliki". Ati Magufuli alikuwa anawakera kwa sababu walitaka awasikilize na asiwaulize; akubali bila maswali! Sasa inawezekana wanaona Rais Samia ni wa kuambiwa kila kitu; kwamba wanampa mashauri ya kila namna na anaonekana anayafuata. Inawezekana wanaona kuwa Rais Samia anawakubalia kila mashauri hata ambayo matokeo yake siyo mazuri. WAnachofurahia ni kuwa wamelipata "sikio la mama".

Ndio maana tunaweza kuona wanashindana kukandia awamu ya tano (ambayo wao walikuwemo). Inaonekana kabisa kuwa ili mama akupe sikio inabidi umpapase kwa maneno mazuri ya kumkandia mtangulizi wake. Magufuli hakujenga kiwanda hata kimoja, uwekezaji ulipungua, maisha yalikuwa Magumu, watalii walikimbia, uchumi ulidorora... wanasema na kusema ili waseme "ila sasa awamu ya sita" mambo yamekavaa vizuri! Wanajaribu kutenda kana kwamba Rais Samia alishinda uchaguzi mahali bila ya Magufuli! Lakini hawa wanaotaka Rais anayesikiliza kila ushauri inabidi tuwakatae.

Tunawapinga na kuwakataa kwa sababu wanataka kumchukua Rais kuwa mateka wa fikra zao na mashauri yao. Watamshauri akikataa wataanza kusema "Rais hatusikilizi tena". Ukweli ni kuwa Rais - hata ije Katiba Haramu Mpya - hatakiwi kukubali ushauri wa kila mtu, hata kama ni maprofesa kama Assad. Anatakiwa kusikiliza na kuuliza; hatakiwi kukubali bila maswali! Na ni hatari zaidi kumtaka Rais awafurahishe kwa kuwa karibu na watu wenye kumsifia na kumwambia mambo mazuri.

Profesa Assad na watu wenye fikra kama zake hawamtakii mema Rais, wanamtega, na wanajaribu kumfanya awe Rais wa picha!

Hili tunawakatalia; waache ufyatu!

MMM
Unamtaka rais ambae kazi yake kubwa ni kuwadhalilisha wataalam na watendaji wa serikali na kuuaminisha umma kuwa hao ndiyo wanaowasababishia umaskini? Unamtaka rais anayepingana na wataalam wote: ujenzi, maji, tiba, ndege, mazingira, nk? Rais anayejua kila kitu? Rais aligeuka mhandisi kwa sababu tu ya kuwa waziri wa ujenzi kwa miaka kadhaa? Unamtaka rais anayejiamulia tu mwenyewe kupima mapapai, oil ya mitambo, mbuzi, nk kutafuta virusi vya corona na kutangazia ulimwengu kuwa amethibitisha kipimo hakifai? Huyo ni rais au kituko? Rais gani anawakatalia wataalam kuwa virusi vinaweza kuuawa kwa kunyunyuzia dawa? Magufuli hakuwa rais wa kwanza wa nchi hii, alitanguliwa na marais wanne ambao waliheshimisha taasisi ya urais. Mungu hapendi kiongozi wa aina hii kuwa juu ya watu wake.
 
Back
Top Bottom