Ujumbe kwa vijana wanaotumia mitandaoni kumtetea Mzee Baba

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Ujumbe wangu ni huu:

Kusifiwa au kupongezwa ni haki ya kila mtu anaefanya vizuri licha ya kuwa haki hiyo haipo kikatiba wala kisheria. Lakini ukianza kujisifia mwenyewe au kutumia nguvu au watu ili usifiwe, haki hiyo hupotea, na kwakuwa haipo kisheria, huwezi na wala huna haki ya kuidai popote au kutoka kwa mtu yoyote.

Kama vipi, wekeni sheria ya kumsifia ili mtuadhibu tusiotaka kumsifia kama mnaweza. Mkishindwa, pambaneni na hali yenu.

Tusichoshane.
 
Majuha hayo, walirithishwa ujuha na mzee wao,

Kelele zao ni za chura tu hazimzuii tembo kunywa maji watapiga kelele wee kwa sababu now hakuna ulaji wanaoupata cause aliyekuwa anawapa jeuri keshamezwa na ardhi , ila wakae watambue kwamba huu ni wakati wa wengine sasa kuifaidi keki ya taifa watakoma awamu hii wajiandae kubatizwa kwa moto sasa
 
Tuko macho Magufuli amelala kaacha kina magufuli maelfu wako hayo. Nchi haitaibiwa tena. Udalali haupo tena. Jana kuna professor alianza udalali wa mitambo ya umeme.

Alichokipa hatarudia tena kuropoka. Nchi iko salama. Magufuli still hero of Africa. RIP JPM.
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Tundu Lisu ndio anapenda sifa!
 

hahahaha his legacy is immortal, hata mfanye nn hamuwezi kumchafua
 
Nimejifunza jambo moja, wapinzani wanaona aibu kula matapishi yao kwa kuiaminisha dunia kwamba mzee alikuwa anapenda kusifiwa na watu waliokuwa wanamsifia wanapata vyeo. Sasa kaenda zake wala hana cha kutoa tena lakini wale waliokuwa wanamuunga mkono wapo nae mpaka mwisho. Itoshe kusema mwamba anaishi nasi na anatuongoza katika mapambano
 
Ni kweli kabisa nchi haitaibiwa sana sababu wizi uliofanyika toka 2015 -2021 ni mkubwa sana na unawatosha.
 
Mkuu mbowe hajahutubia tu?mna wivu kwa mwendazake mpaka mnamsahau chairman wenu na hotuba yake
 
Hatutaki kusikia ujinga mradi ya ndege,umeme,madaraja,meli. Iendele.JPM hajafaa .bali amejimulply na kuzaliwa kwenye mioyo ya mimilioni wa watz. Anaishi kama phonex, na JPM ameji re-birth na kuzaliwa upya. Sasa DR. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI anaishi milele . Ukijaribu kuchafua utakufa kifo kibaya sana
 
Ramli hizi, kufa ni kufa tu, hakuna rebirth..

OVA
 
We ni matako sana mkuu
 
Trilioni 1.5 ilenda wapi?

Jua tu Magu alikubuhu.
 
Ngonjera za Lumumba!
 
jina lenyewe Salary Slip, njaa inakusumbua tu. Nani aliyekuomba ufanye hivyo kama sio kiherere chako cha kudakia yasiyo kuhusu
 
Kina nani hao mkuu, naona umeandika kwa hasira sana utadhani kipindi hiki pesa itatolewa simple as possible.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…