Ujumbe kwa vijana wanaotumia mitandaoni kumtetea Mzee Baba

Kumbuka kunawa kwa maji tiririka pia tumia barakoa ya vitenge. Maendeleo hayana chama.
 
Asilimia kubwa ni Masukuma
tena utuache mhuni wewe,maviwanda yote aliyoacha Nyerere yalienda wapi? Wauaji siyo ninyi wachaga? Kazi kumsingizia marehemu wizi wakati kafanya yaliyo washinda nyie miaka na miaka.hata hivyo waTz wameona nyie hangaikeni tu.
 
tena utuache mhuni wewe,maviwanda yote aliyoacha Nyerere yalienda wapi? Wauaji siyo ninyi wachaga? Kazi kumsingizia marehemu wizi wakati kafanya yaliyo washinda nyie miaka na miaka.hata hivyo waTz wameona nyie hangaikeni tu.
Kweli kafanya kilichowashinda wenzie.. wizi ule uliwashinda watangulizi wake.
 
upinzani Hakuna kiongozi lbd zaidi ya dikteta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…