CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
"Mimi ukinishauri ndio umeharibu kabisa maana sitofanya unacho nishauri".
JPM.
Babaako hashauriki
JPM.
Babaako hashauriki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namsubiri mbunge wenu nimpe za uso...
👇
#WE_NENDA_HATUKUTAKI_HATUJAKUCHAGUA
Hakusema hivyo. Hayo n maneno ya kubumba tuu"Mimi ukinishauri ndio umeharibu kabisa maana sitofanya unacho nishauri".
JPM.
Babaako hashauriki
Niambie tu hata mimi nitamfikishia ujumbe kesho tukikutana pale Ijenga kwenye ugali na nyama choma...[emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe natakiwa kufanyaje?UNAHANGAIKA KAMA PASCAL MAYALLA, JIANGALIE.
Mkuu hujawa_tag vizuri rudia tena.Kawe Alumni, Pascal Mayalla, Stroke, mama D na wengine wengi, nashauri tufanye advocacy kwa wabunge wetu kuhakikisha wanapitia upya baadhi ya sheria hasa masuala ya mafao na makato ya bodi ya mikopo ya elimu ya juu
Ukituhumu inabidi uthibitisheVipi kuiba na kupora haki za watu iko upande gani?
Hulka za watanzania tunazifahamu, hakika huyu mwenye kuyafanya haya hana utanzania. Tunamtaka arudi nchini kwake atuachie nchi yetu.
Nielekeze mkuuMkuu hujawa_tag vizuri rudia tena.
Huo n upumbavuInabidi tuchapane ndipo tutaheahimiana.
Pole sanaYule kwa laana ya wizi na uporaji wa uchaguzi hamalizi mwaka. Akimaliza njoo hapa unisute. Dhuluma mbaya Sana.
Mfano: Amani Msumari , Weka alama @ kisha jina la unayemtaka, usiache nafasi kati ya @ na jina.Nielekeze mkuu
Chuma Kiko ngangari kamili gadoTayari ana afya mgogoro. Si uliona alivyokuwa anashindwa kupiga kampeni?
Amini usiamini. Nakuhakikishia hamalizi mwaka. Utayakimbuka maneno yangu.Pole sana
Acha kazi iendelee kwa Kasi, maarifa na nguvu zaidiAloo umesema. Vijana kazi kazi
Fafanua, hamalizi mwaka kivipi?Amini usiamini. Nakuhakikishia hamalizi mwaka. Utayakimbuka maneno yangu.
Kwasabb dhuluma inaua.Fafanua, hamalizi mwaka kivipi?
Kwani dungai mwanamke? Zamu ya mmama Safari him.Ni imani yangu kuwa Mheshimiwa Ndugai anarudi kuwa spika wa bunge la JMT
Mambo ni hivi mama D, papa ngwasuma
Hafi ataendelea kuishi ili atimize kusudi la Mungu kwa watanzania. Hali kadhalika na wewe hutakufa, utaishi ili uyashuhudie matendo makuu Mungu anayoenda kuyatenda kwa Tanzania kupitia mtumishi wake, John MagufuliKwasabb dhuluma inaua.